inatosha kabisa. sababu dawa ziuzwazo ni kama 160.
Mkuu kufungua dula la dawa muhimu ni mpaka uwe na taaluma ua madawa hayo.. yaani uwe nesi au dokita...??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inatosha kabisa. sababu dawa ziuzwazo ni kama 160.
Sio lazima ila kunakozi ya 40 days hutolewa kwa msimu na TFDA. hiyo ni lazima.Mkuu kufungua dula la dawa muhimu ni mpaka uwe na taaluma ua madawa hayo.. yaani uwe nesi au dokita?
sio lazima ila kunakozi ya 40 days hutolewa kwa msimu na TFDA. hiyo ni lazima.
Ndiyo, pia ukiajiri mtu aliepitia hayo mafunzo hautaitajika nawe kupitia.Nashukuru mkuu. Kwa hiyo mtu yeyote anayetaka kufanya biashara ya duka la dawa muhimu anaruhusiwa maadam atahudhuria hayo mafunzo..?
sababu dawa ziuzwazo ni kama 160.
Hizi dawa wameweka zile ambazo matumizi kwa wingi kama za malaria, maumivu ,za fangasi za kupaka, antibiotic kama fragyl na amoxicillin na dawa za minyoo. madawa unapata kwenye famasi za jumla.Red Giant heshima mbele sana mkuu,
Hapo unamaanisha nini mkuu, je ni aina ya dawa ambazo ndiyo zenye matumizi kwa wingi?. na je madawa yanapatikana wapi kama ukiamua kujikita kwenye huduma hii ili kusaidia ndugu zetu walio pembezoni.
Na nini zaidi mtoa huduma anahitaji kujua kabla ya kuanzisha huduma hii?
hapo kidogo pagumu. inatakiwa uwe na chati cha mfamasia wa kusimammia utayemlipa kama 1m kwa mwezi, uwe na fremu ya vyumba viwili,, AC na friji. pia jamaa wanakaagua eneo kama linafaa na ukijenga pia wanakuja kucheki ili wakupe kibali.
Kumuweka mfamasia fulltime ujipange kuanzia 2.5m. mkataba wa usimamizi unamtaka kuhudhuria 15hrs kwa wiki.Hayo mengine si neno sana, lakin hapo kwa Mfamasia, si unaweza kukubaliana naye tu ukatumia cheti chake halafu unamlipa part time anakuwa anakuja mara moja moja, au anatakiwa kuwa full time?
kumuweka mfamasia fulltime ujipange kuanzia 2.5m. mkataba wa usimamizi unamtaka kuhudhuria 15hrs kwa wiki.
kumuweka mfamasia fulltime ujipange kuanzia 2.5m. mkataba wa usimamizi unamtaka kuhudhuria 15hrs kwa wiki.
Habari za wakati huu.
Naomba fahamu taratibu za kufungua duka la dawa za binadamu.
Karibuni kwa michango mbalimbali ndugu zangu.
Ili kufungua DUKA LA DAWA MUHIMU masharti ni kama ifuatavyo;
Endapo duka linafunguliwa maeneo ya Kijijini linatakiwa kuwa umbali wa Mita 200 kutoka duka lingine, endapo lipo Mjini
umbali ni Mita 300.
Mahitaji
- Uwe na vyumba viwili Chumba cha kwanza (duka lenyewe): Ukubwa ft 10x10 urefu ft 9 na Chumba cha pili (stoo): ft 4x8 urefu ft9
- Mmilikii na muuzaji wapate mafunzo ya TFDA (wasiliana na halmashauri husika ili kujua ratiba za mafunzo)
- Jaza fomu za maombi ambazo zinapatikana wilayani; zinapitishwa kitongoji, kata, wilaya.
ANGALIZO: KAMA UNATAKA KUANZISHA PHARMACY INA MASHARTI TOFAUTI NA DUKA LA DAWA MUHIMU. FIKA OFISI ZA WILAYA ONANA NA MFAMASIA WA WILAYA AKUPE DETAILS ZA KUTOSHA