Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

Dah naona wataalamu wameingia mitini...hiyo biashara inalipa sana...kwa kukushauri japo mie sifanyi hiyo biashara..kaonane na wazoefu wa hiyo biashara japo ni wachache watakaokupa siri ya mafanikio si unajua watz na kiroho cha wivu..badae onana na madaktari wa dispensary/health center/ Hospital zilizo karbu na location utakayofungua duka, waulizie magonjwa yanayosumbua sana hilo eneo na possible drugs, badae ukiweza onana na mphamasia wa wilaya atakupa mchongo wa dawa zinazoruhusiwa...kila lakheri na Mungu akutangulie
asante sana best umenisaidia itabidi nionane nao hao watu umenisaidia sana mkuu
 
hakuwahi kunijibu mkuu labda ulimjibu mwingine naona utakuwa umechanganya labda niwe nimesahau mm niko serious sana na nina nia ya kufungua duka la dawa ninachokuomba nipe mwongozo na nipe list ya madawa mkuu pls kama utojali
Angalia kwenye notification zako nime reply utaona kua nili quot ulipoomba ushauri angalia please heading ulizo subscribe za biashara ya maabara ya binadamu
 
pia angalia wateja waliokuzunguka. Kama kiduka kiko uswazi usije ukawaka madawa ya bei kubwaaaa.... kule watu wananunua dozi ya siku moja moja
 
Uza dawa za kuongeza nguvu ya tendo uone usipokua milionea ndani ya muda mfupi.... (kidding)
Waliotangulia hapo juu wamekushauri vyema, jaribu pata ushauri kwa wafamasia na watabibu wanaweza kupa mwanga zaidi, ila cha kuongezea jaribu fungua biashara yako eneo lisilokua na ushindani mkubwa kwani hizi pharmacy nazo zimetapakaa kila kona
 
Angalia kwenye notification zako nime reply utaona kua nili quot ulipoomba ushauri angalia please heading ulizo subscribe za biashara ya maabara ya binadamu
haya ngoja niangalie asante
 
Uza dawa za kuongeza nguvu ya tendo uone usipokua milionea ndani ya muda mfupi.... (kidding)
Waliotangulia hapo juu wamekushauri vyema, jaribu pata ushauri kwa wafamasia na watabibu wanaweza kupa mwanga zaidi, ila cha kuongezea jaribu fungua biashara yako eneo lisilokua na ushindani mkubwa kwani hizi pharmacy nazo zimetapakaa kila kona
asante best nashukuru sana itabidi nifanye hivyo
 
Upo maeneo gan? Na je duka lako limesajiliwa kama limesajiliwa nenda kwa mfamasia wa wilaya akupe list ya dawa. Pia nngejua location yako nngekushaur zaid. Mm nmesomea mambo ya pharmacy miaka 3
 
Upo maeneo gan? Na je duka lako limesajiliwa kama limesajiliwa nenda kwa mfamasia wa wilaya akupe list ya dawa. Pia nngejua location yako nngekushaur zaid. Mm nmesomea mambo ya pharmacy miaka 3

nataka kufungua duka eneo la kinondoni, dar es salaam na bado sijapata hizo registration ila niko kwenye mchakato huo mkuu

ina maana niende wilayani kumwona mfamasia ndo atanipa list maana sijakuelewa
 
Kuepuka usumbufu duka lako linatakiwa kiwe katika kata zlizopendekezwa, na pia mfamasia wakinondon ndo atakupa list ya dawa znazohitajika
 
Anaehitaji mfamasia wa kusimamia pharmacy yake aniPM
 
Ahsante sana mleta uzi na wote waliochangia hii mada.
Naomba kwa wale ambao walipitia hapa na kupata ushauri huu na wakaanzisha hii biashara ni vyema wakaturejeshea mwenendo wa hiyo biashara kwa kuzingatia mafanikio, changamoto na mengine mengi yanayohusiana na hiyo biashara ili tuweze kuendelea kujifunza zaidi na kushauriana pia.
 
wasalaam wakuu!
natumaini mpoo poa na mnaendelea kuumiza ndonga ni kwa jinsi gani mtazichanga hizi shekeri, na akili inacheza kweli haswa kwa kipindi hiki..!
nilitaka kusahau kidogo. poleni ndugu zangu wa D9..
sasa wakuu kama heading inavyojieleza, nilitaka kujua mchakato mzima wa biashara hii ya pharmacy/duka la dawa unakuaje.. yaani gharama zipo vipi kwenye proccess nzima. nikimaanisha yale mavioo na aluminium zile na mtaji wa dawa zenyewe na mambo mengine mengine kama yapo ningependa kuyafahamu
wadau wenye kujua haya mambo tusaidiane kufunguka na kutiririka juu ya hili.

wasalaam,
 
Fanya hivi,
Tengeneza frem/duka lako kisha Nenda phamacy council katafute kibali
Suala la mtaji wa dawa ulio nao unatosha toka kayapitie maduka k/koo ulinganishe bei
Usiwe mvivu unapotaka biashara
 
Nadhani ni vema ukafanya research kwanza kwa waliokutangulia,nahisi utapata mwanga zaidi na pa kuanzia
 
Fanya hivi,
Tengeneza frem/duka lako kisha Nenda phamacy council katafute kibali
Suala la mtaji wa dawa ulio nao unatosha toka kayapitie maduka k/koo ulinganishe bei
Usiwe mvivu unapotaka biashara
asante kwa ushauri wako mkuu
 
Back
Top Bottom