Dah naona wataalamu wameingia mitini...hiyo biashara inalipa sana...kwa kukushauri japo mie sifanyi hiyo biashara..kaonane na wazoefu wa hiyo biashara japo ni wachache watakaokupa siri ya mafanikio si unajua watz na kiroho cha wivu..badae onana na madaktari wa dispensary/health center/ Hospital zilizo karbu na location utakayofungua duka, waulizie magonjwa yanayosumbua sana hilo eneo na possible drugs, badae ukiweza onana na mphamasia wa wilaya atakupa mchongo wa dawa zinazoruhusiwa...kila lakheri na Mungu akutangulie