Sofa Sets House
New Member
- Aug 25, 2018
- 4
- 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mil 4 Nyng sana mkuu! Kuhusu taaluma aslimia kubwa wenye maduka halsia hawana taaluma huska wanatumia taaluma ya mtu. Hapo cost n kuandaa Jengo tu la ilo Duka bt kuhusu dawa mpaka mia 3 au mia 8 unapata ktk duka la jumla hku mtaan tunanunua elf 5 na tunaona sawa tu.Hi guys,Naomba mwenye uzoefu na biashara ya Duka la Madawa anielezee changamoto za hii biashara. Nina 4M na nimekuwa na ndoto za kufungua duka la madawa. Wadau ni maeneo gan naweza kuanzisha duka hii.Je pesa hyo itatosha au niendelee kukomaa kutafuta zaid?
Nashukuru
Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry mkuu, hapo hzo bei sijakuelewa unamanisha nini.Mil 4 Nyng sana mkuu! Kuhusu taaluma aslimia kubwa wenye maduka halsia hawana taaluma huska wanatumia taaluma ya mtu. Hapo cost n kuandaa Jengo tu la ilo Duka bt kuhusu dawa mpaka mia 3 au mia 8 unapata ktk duka la jumla hku mtaan tunanunua elf 5 na tunaona sawa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndionaomba kuuliza kama we ni tabibu na unataka kuanzisha pharmacy kuna haja ya kuingia mkataba na mfamasia ambae atakua ana angalia duka lako
Ntaku pmKuna ukiritimba mkubwa sana kama huna pesa ya kuhonga mfamasia wa wilaya usitegemee kupata leo.Ila kama ni famasi unatafuta cheti cha mfamasia unakilipia si chini ya sh.milion kila mwezi alafu unatafuta mtu yoyote anayejua majina ya dawa anakaa dukani kuuza dawa!
Uzuri hawa jamaa ukishaweka cheti cha mfamasia tu dukani hilo duka wataliheshimu sana!Ole wako uwe afisa tabibu alafu ufungue duka la dawa baridi halafu wakukute unauza antibiotic,utadhalilishwa kama hujaenda shule ingawa ukiwa hospitali yoyote wewe ndo unawaandikia dawa hizo wagonjwa!
Kifupi tu funguka mkwanja kwa mfamasia hata kama huna cheti huwa wanajua jinsi ya kufanya utapewa hata kopi ya mtu aliye dedi.
Naomba kujua huyo mfamacia n wa level gan hasa kwa kubwa (pharmacy)Ndio
DegreeNaomba kujua huyo mfamacia n wa level gan hasa kwa kubwa (pharmacy)
Certificate?
Diploma?
Degree?
Master?
Phd?
Mi nitaomba nafasi nifanye kazi hapo kwenye hilo duka.Hapana mkuu mi nmesoma mambo mengne,nilifikiri nifungue halafu niajiri mtu nimsimamie tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo dawa vipi zipo? na MSD tayari washaanza kukataa kuwakopesha serikali mana wana madeni sugu.Magufuli kasema kila hospital itakua na dawa za kutosha sasa nani atanunua?
Hivi makabati ya mbao siku hizi hawayataki?Maelezo sahihi kabsa kwa kiwango tofauti na post zingine. Pia kwa kuongezea, hata yeye mmiliki wa hiloduka (DLDM) lazma awe amepita mafunzo y umiliki wa dula la dawa.
CHUMBA CHA DLDM
Kwamba, ukubwa wa duka (frame) ni lazma iwe na vipimo visivyopungua; upana (Width) 4m, urefu (Length) 4m. Pia store/sehemu ya kuhifadhi dawa iwe na kipimo kisichopungua Upana 2m na urefu 4m.
Na kwamba, ndani shelf, Milango, Meza, na Madrisha ya fresh hyo lazma ziwe ALUMINIUM. Roof iwe na CEILLING BOARD na floor iwe na TILES.
Sababu mbili kuu za frame kuwa na Aluminium na Tiles ni;-
(a) Material haya huleta ubaridi kwny chumba kama dawa zinavyo hitaji. (<30°C)
(b) Usafi, ni rahisi kwa material haya ku_maintain usafi km vumbi, tando, n.k
hukwenda jeshini? wenzako wamekula mashavu huko JWTZMimi ni muhitimu wa course ya uuguzi, nimejiminya kitaa maana ajira ni ngumu hivyo nilipigana kufanya vitu mbalimbali na sasa nimepata million2 sasa nafikiria kuanzisha duka la dawa muhimu ! naombeni ushauri kwa mtaji huo naweza fanikisha ? changamoto zake kwa anaefahamu anaweza nisaidia!! mm nipo Dar kwa sasa hata kama kuna allocation nzuri karibu na Dar ambapo naweza anzisha pia mnaweza nisaidia coz bado cjapata sehemu!!
naomba msaada sana
Si kila mtu ana moyo na jeshi. Walichonifanya JKT imetoshaHukwenda jeshini? wenzako wamekula mashavu huko JWTZ