SOLD: Duka la vipodozi linauzwa milioni 1,950,000 tu, lipo Stendi Tabata Segerea

SOLD: Duka la vipodozi linauzwa milioni 1,950,000 tu, lipo Stendi Tabata Segerea

Status
Not open for further replies.

Bujoro

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,115
Reaction score
2,231
Nawasalimu watu wote, baada ya salam nijielekeze kweny kichwa cha habari kama kinavojieleza, Lina uzwa duka la vipodoz lipo mitaa ya Segerea stendi duka lina makabati 2 ya ukutani kwa ajili ya kuwekea body spray, shelfu safii, feni 2, kabati la aluminium kuwa la urefu wa futi 6 safii pamoja na Vipodozi vyenyewe

Duka Linauzwa tsh million moja ya laki tisa na elfu hamsini yaani 1.95 au 195,0000 hiyo bei inaweza kupungua kidogo, pia kodi yake bado haijaisha ina miezi 3 mbele itaisha mwezi wa 6 mwaka huu .. kodi ya frem ya kila mwezi ni tsh 120,000 inaruhusiwa kulipa miwzi hata 6 au chini ya hapo ni makubaliano yako na mwenye nyumba, umeme ni elf10 kwq kila mwezi, mlinzi ni elf10 pia kila mwezi ukipenda usipotaka mlinZi hapana shida wala history ya wiZi toka nifike hapa ni mwaka wa 3 sasa na hajawahi kutokea wizi kweny duka hata la jirani. Hali ya duka lilivo ukilizimua kidogo tu unafanya biashara maana haliko vibaya sana

Duka lipo eneo zuri na kuna wateja kipindi cha nyuma nilikuwq nauza mpaka laki 3 kwa siku ila kwa sasa hamna asiejua kama uchumi wa watu umeshuka mauzo yamepungua kidogo ila duka likiwa limependeza unauza tu mchawi mtaji, mimi nimeshindwa kuliendesha kwa sababu za kiuchumi nimekumbana na mambo mengi yaliyopelekea kuyumba na bado nina mambo mengi hata nikichkua mkopo naona itakuwa shida naweza jikuta nagombana na watu wa taasisi za mikopo ndio maana nimeamua kuuza.

Hii bei nayouza ni sawa na bure maana ukifanya ukisema ufungue jipya ukarabati tu wa shelfu, feni, kabati la aluminium la futi 6 na kabati zingine 2 ukutani kwa ajili ya bodyspray unaweza kutumia gharama karibia na hii nayouza mimi duka zima na bidhaa zake pamoja na kodi ya miezi mi3, kama una ndugu ana hera hajui afanyue nn alikuwa anawaza nn afanye mahitue kabla halijachukuliwa hata kama hatakaa yy anaweza kuweka mdada au mkaka au dogo akamuuzia na akawa anapata kipato cha ziada kikapush maisha.

Kwa maelezo zaidi nitafute kwa 0756 695846 for call, whatsapp.



20200311_145701.jpeg
20200311_145707.jpeg
20200311_145734.jpeg
20200311_145721.jpeg
 
Mkuu hakuna mgogoro wowote iwe umeme uko poa mita ya frem inajitemea, sina deni wala mkopo bank yoyote mtu akija atajiridhisha kwa kuwauliza majirani watamuambia ukweli pia nina documents kama tin namba ya T R A na leseni, Kibari cha TfDA na list za wazoa takataka zote zinasoma jina langu au mweny nyumba anakaa hapa hapa karibu... Karibuni sana hili ni zari
Bei nzuri kama hakuna migogoro au madeni makubwa.
 
Nawasalimu watu wote, baada ya salamu nijielekeze kweny kichwa cha habari kama kinavojieleza, Linauzwa duka la vipodoz lipo mitaa ya Segerea stendi duka lina makabati 2 ya ukutani kwa ajili ya kuwekea body spray, shelfu safii, feni 2, kabati la aluminium kuwa la urefu wa futi 6 safii pamoja na Vipodozi vyenyewe

Duka Linauzwa tsh million moja ya laki tisa na elfu hamsini yaani 1.95 au 1,950,000. Hiyo bei inaweza kupungua kidogo, pia kodi yake bado haijaisha ina miezi 3 mbele itaisha mwezi wa 6 mwaka huu. Kodi ya frem ya kila mwezi ni Tsh 120,000 inaruhusiwa kulipa miezi hata 6 au chini ya hapo ni makubaliano yako na mwenye nyumba, umeme ni elf10 kwq kila mwezi, mlinzi ni elf10 pia kila mwezi ukipenda usipotaka mlinzi hapana shida wala history ya wizi toka nifike hapa ni mwaka wa 3 sasa na hajawahi kutokea wizi kwenye duka hata la jirani. Hali ya duka lilivo ukilizimua kidogo tu unafanya biashara maana haliko vibaya sana.

Duka lipo eneo zuri na kuna wateja kipindi cha nyuma nilikuwa nauza mpaka laki 3 kwa siku ila kwa sasa hamna asiejua kama uchumi wa watu umeshuka mauzo yamepungua kidogo ila duka likiwa limependeza unauza tu mchawi mtaji, mimi nimeshindwa kuliendesha kwa sababu za kiuchumi. Nimekumbana na mambo mengi yaliyopelekea kuyumba na bado nina mambo mengi hata nikichkua mkopo naona itakuwa shida, naweza jikuta nagombana na watu wa taasisi za mikopo ndio maana nimeamua kuuza.

Hii bei nayouza ni sawa na bure maana ukifanya ukisema ufungue jipya ukarabati tu wa shelfu, feni, kabati la aluminium la futi 6 na kabati zingine 2 ukutani kwa ajili ya bodyspray unaweza kutumia gharama karibia na hii nayouzia mimi duka zima na bidhaa zake pamoja na kodi ya miezi mi3. Kama una ndugu ana hela hajui afanyie nini, alikuwa anawaza nini afanye mshitue kabla halijachukuliwa hata kama hatauza yeye anaweza kuweka mdada au mkaka au dogo akamuuzia na akawa anapata kipato cha ziada kikapush maisha.

Kwa maelezo zaidi nitafute kwa 0756 695846 for call, WhatsApp.



Kila la kheri mkuu
 
Assessment yangu ya haraka haraka stock iliyokuwepo sio fast moving items , hivyo basi kunahitajika mtaji ili biashara iende mbele . Kama unauza shelfu na leseni inbox
 
[emoji23] [emoji23] Mkuu sio sana ukizimua kidogo tu unapiga kazi fresh njoo upaone
Assessment yangu ya haraka haraka stock iliyokuwepo sio fast moving items , hivyo basi kunahitajika mtaji ili biashara iende mbele . Kama unauza shelfu na leseni inbox
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom