SOLD: Duka la vipodozi linauzwa milioni 1,950,000 tu, lipo Stendi Tabata Segerea

SOLD: Duka la vipodozi linauzwa milioni 1,950,000 tu, lipo Stendi Tabata Segerea

Status
Not open for further replies.
Mkuu hayo ni makosa katk typing ukizingatia kichwa cha habari hatujapewa mamlaka ya kuedit kwa iyo ukikosea umekosea hamna namna ingekuwa huku kwingine ningeweza kuedit, ila nashukuru kwa kuwa wote mmenielewa vilivo kuwa nilimaanisha 1,950,000
milioni 1,950,000 = 1,950,000,000,000
 
Ni hapa kweny hii barabara ya kuja makabulini, sokoni au kweny haya magenge mengi na kweny supermarket upande wa kulia ukitokea mjini na wa kushoto ukitokea kinyerez
mkuu nistand upande upi?naweza kutoa m kwanza kisha nimalizie kiasi kitakachobaki
 
Kuhusu kulipa ml harafu umalizie zingine bado sjalifikilia hilo ngoja unajua mpaka nimeamua kuuza ofisi yangu maana yake nina shida natamani nipate chash ili nitatue mambo yangu
mkuu nistand upande upi?naweza kutoa m kwanza kisha nimalizie kiasi kitakachobaki
 
Kumbe hata nikinunua bado hiyo frame inakuwa sio yangu, kwa hiyo unatoa na vitu vyako au unabakisha kwa hiyo hela, labda mimi nataka nibadilishe matumizi ila nalihitaji hilo pango, bei gani.
Kwa kuwa nakuona kama unauza banda ambalo sio lako, ila unauza nafasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu yaani unataka uuziwe na jengo la frem ya watu tena kwa 1.95M mimi bado ni mpangaji harali wa hiyo frem na kuna biashara au bidhaa zangu kwaiyo nauza bidhaa zilizomo na vitu vingine kama shelfu, feni, taa, kabat kama ambavo nimeeleza vizuri kweny uzi kuhusu frem miezi yangu ikiisha utalipa kodi ww kama ww kwa mweny nyumba wala sio kwangu, cjui umenielewa mkuu..

Au kodi ikiisha una hiari ya wewe kulipa tena nyingine au uhame uende sehemu nyingine ni wewe tu na uamzi wako au hata sasa ukipenda unaweza kuja tukaongea ukanunia bidhaa na kila kitu then ukapeleka sehemu nyingine yoyote sio lazima ukae hapa japo ni pazur na watu tayari wameliziea hili duka kwa iyo huji kuanza upya kusaka wateja wanakuja wenyewe automatically maana wanapafahamu kuwa pana duka, lakini pia wewe ukipanunua unaweza kuweka biashara nyingine yoyote utakayo ww kwa iyo maamzi ni yako.. Karibuni njooni bado lipo watu wengi wanatoa ahadi ya kuja weekend.
Kumbe hata nikinunua bado hiyo frame inakuwa sio yangu, kwa hiyo unatoa na vitu vyako au unabakisha kwa hiyo hela, labda mimi nataka nibadilishe matumizi ila nalihitaji hilo pango, bei gani.
Kwa kuwa nakuona kama unauza banda ambalo sio lako, ila unauza nafasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa mkuu, ila kama unauza frame na vitu kama vinavyoo ekana pichani basi bei ni nafuu sana, hivi hiyo bei ya 1.95mln umeipataje, au umefanya stock taking ya vitu vyako vya dukani?
Mkuu yaani unataka uuziwe na jengo la frem ya watu tena kwa 1.95M mimi bado ni mpangaji harali wa hiyo frem na kuna biashara au bidhaa zangu kwaiyo nauza bidhaa zilizomo na vitu vingine kama shelfu, feni, taa, kabat kama ambavo nimeeleza vizuri kweny uzi kuhusu frem miezi yangu ikiisha utalipa kodi ww kama ww kwa mweny nyumba wala sio kwangu, cjui umenielewa mkuu..

Au kodi ikiisha una hiari ya wewe kulipa tena nyingine au uhame uende sehemu nyingine ni wewe tu na uamzi wako au hata sasa ukipenda unaweza kuja tukaongea ukanunia bidhaa na kila kitu then ukapeleka sehemu nyingine yoyote sio lazima ukae hapa japo ni pazur na watu tayari wameliziea hili duka kwa iyo huji kuanza upya kusaka wateja wanakuja wenyewe automatically maana wanapafahamu kuwa pana duka, lakini pia wewe ukipanunua unaweza kuweka biashara nyingine yoyote utakayo ww kwa iyo maamzi ni yako.. Karibuni njooni bado lipo watu wengi wanatoa ahadi ya kuja weekend.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usemayo ni kweli mkuu hii bei ni nzuri sana maana unanunua bidhaa zote zilizomo dukani na shelfa zake, feni 2, taa,na kabati la aluminium la futi 6 pamoja na kodi ya frem ya miezi mitatu yote hayo kwa hera hata mlioni 2 kazifiki kwa iyo ni sawa na buree

Hata kama ingekuwa unanivua hii frem pekee yake haina vitu yaani nitoe kioa kitu changu nikuachie frem ndo ingekuwa sawa lakini mimi nakupa kila kitu mpaka taa, na radio ya Suwboofer. . Ndo maana nawasisitiza njooni jmn hili ni zari la mentari haijirudii ikipita imepita
Nimekuelewa mkuu, ila kama unauza frame na vitu kama vinavyoo ekana pichani basi bei ni nafuu sana, hivi hiyo bei ya 1.95mln umeipataje, au umefanya stock taking ya vitu vyako vya dukani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom