SOLD: Duka la vipodozi linauzwa milioni 1,950,000 tu, lipo Stendi Tabata Segerea

SOLD: Duka la vipodozi linauzwa milioni 1,950,000 tu, lipo Stendi Tabata Segerea

Status
Not open for further replies.
Vile hujui tu kama kuna vitu vinauzwa ghari ni Vipodozi na Urembo yaani ukenda kariakoo na laki5 au 4 vitu vyake unafungiwa kweny kabox kadogo tena unakabeba wewe mwenyewe maana kanakuwa kadogo kuanzia leo ukiona duka la vipodoz limejaa ogopa ni hera ndefu mno ni tofaut na Duka la mchele au soda na maji.
Mleta tangazo kachemka, duka linauzwa million nyingi hivyo, alafu ni duka la urembo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kumbe wewe umeamua kuelewa vibaya na kuja kinyume na mimi mbona tulishalimaza hilo nmesha kubali kuwe nimekosea kweny trying ya headline na kama unavojua sisi member wa kawaida hatuna uwezo wa kuedit headline mpaka mods
Mkuu soma tena heading ya habari yako, umesema mwenyewe duka linauzwa million hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mwandiko wako unaleta mashaka sana. Cha ajabu eti na wewe unamiliki duka
Mkuu yaani unataka uuziwe na jengo la frem ya watu tena kwa 1.95M mimi bado ni mpangaji harali wa hiyo frem na kuna biashara au bidhaa zangu kwaiyo nauza bidhaa zilizomo na vitu vingine kama shelfu, feni, taa, kabat kama ambavo nimeeleza vizuri kweny uzi kuhusu frem miezi yangu ikiisha utalipa kodi ww kama ww kwa mweny nyumba wala sio kwangu, cjui umenielewa mkuu..

Au kodi ikiisha una hiari ya wewe kulipa tena nyingine au uhame uende sehemu nyingine ni wewe tu na uamzi wako au hata sasa ukipenda unaweza kuja tukaongea ukanunia bidhaa na kila kitu then ukapeleka sehemu nyingine yoyote sio lazima ukae hapa japo ni pazur na watu tayari wameliziea hili duka kwa iyo huji kuanza upya kusaka wateja wanakuja wenyewe automatically maana wanapafahamu kuwa pana duka, lakini pia wewe ukipanunua unaweza kuweka biashara nyingine yoyote utakayo ww kwa iyo maamzi ni yako.. Karibuni njooni bado lipo watu wengi wanatoa ahadi ya kuja weekend.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kumbe wewe umeamua kuelewa vibaya na kuja kinyume na mimi mbona tulishalimaza hilo nmesha kubali kuwe nimekosea kweny trying ya headline na kama unavojua sisi member wa kawaida hatuna uwezo wa kuedit headline mpaka mods
Nimekuelewa mkuu, ila angalia sana mwandiko wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei sawa na bure!, labda mtu awe na wasi wasi wa bidhaa zenyewe kwamba zinaweza kuwa zinakaribia ku expire, sababu ni vipodozi, ukizingatia kuwa usawa huu wa JPM purchasing power ya watu imepungua, watu wananunua vitu muhimu tu vipodozi sio kipaumbele, unaweza shangaa dukani unauza vi vocha tu visivyo na faida, vipodozi vina faida nzuri lakini sio muhimu.
Changamoto kubwa sana usawa huu, vitu vinaharibika madukani, unaweza kuuza duka ukanunua pikipiki ufanye boda boda.
Usemayo ni kweli mkuu hii bei ni nzuri sana maana unanunua bidhaa zote zilizomo dukani na shelfa zake, feni 2, taa,na kabati la aluminium la futi 6 pamoja na kodi ya frem ya miezi mitatu yote hayo kwa hera hata mlioni 2 kazifiki kwa iyo ni sawa na buree

Hata kama ingekuwa unanivua hii frem pekee yake haina vitu yaani nitoe kioa kitu changu nikuachie frem ndo ingekuwa sawa lakini mimi nakupa kila kitu mpaka taa, na radio ya Suwboofer. . Ndo maana nawasisitiza njooni jmn hili ni zari la mentari haijirudii ikipita imepita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuuza biashara ni jambo zuri,
Ila unatakiwa ufanye yafuatayo,Kwanza uchukue stock kamili ya bidhaa zote zilizoko dukani pamoja na bei yake ya kununulia na kuuzia,kisha uweke kumbukumbu sahhi za cashflow kwa angalau miezi sita yaani mapato,matumizi,Na kama kuna mikataba yoyte uwe na nakala zake.Vile vile unaweza kuwa na taarifa za sehemu unapochukua mzigo wako,gharama za vitu vingine vilivyopo kama makabati etc.

Unaweza kumuandalia mtu Balance Sheet ya biashara yako ambayo itampa picha kamili ya nini unachouza.Kwa kufanya hivyo utauza kwa bei nzuri zaidi na unaweza kujikuta ukijifunza zaidi kuhusu jinsi ya kuweka mambo ya kibiashara vizuri.Ukihitaji ushauri zaidi tafadhali tuwasiliane.
 
[emoji23] [emoji23] Hamna mkuu mbona lakin nmefafanua kweny maelezo yangu vizuri tu kuwa nauza 1.95 yaani 1,950,000 yaani million moja na laki tisa na hamsini elf. Karibu sana mkuu hii bahati yako
Nimekuelewa mkuu, ila angalia sana mwandiko wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] Asante sana mkuu sio kila mtu amepata bahati ya kusoma sana kama wewe mwenzetu harafu hizi smartphone si unazijua lakini kwa kubadilisha maneno unaweza hata muandikia mama ako au mkwe mambo ambayo hukupanga hivo sio ajabu ila samahani kama umekwazika
Ila mwandiko wako unaleta mashaka sana. Cha ajabu eti na wewe unamiliki duka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukur sana mkuu kwa ushauri wako uwe na siku njema nitakutafuta
Mkuu kuuza biashara ni jambo zuri,
Ila unatakiwa ufanye yafuatayo,Kwanza uchukue stock kamili ya bidhaa zote zilizoko dukani pamoja na bei yake ya kununulia na kuuzia,kisha uweke kumbukumbu sahhi za cashflow kwa angalau miezi sita yaani mapato,matumizi,Na kama kuna mikataba yoyte uwe na nakala zake.Vile vile unaweza kuwa na taarifa za sehemu unapochukua mzigo wako,gharama za vitu vingine vilivyopo kama makabati etc.

Unaweza kumuandalia mtu Balance Sheet ya biashara yako ambayo itampa picha kamili ya nini unachouza.Kwa kufanya hivyo utauza kwa bei nzuri zaidi na unaweza kujikuta ukijifunza zaidi kuhusu jinsi ya kuweka mambo ya kibiashara vizuri.Ukihitaji ushauri zaidi tafadhali tuwasiliane.
 
Mkuu nashukur pia kwa mawazo na ushar wako
Bei sawa na bure!, labda mtu awe na wasi wasi wa bidhaa zenyewe kwamba zinaweza kuwa zinakaribia ku expire, sababu ni vipodozi, ukizingatia kuwa usawa huu wa JPM purchasing power ya watu imepungua, watu wananunua vitu muhimu tu vipodozi sio kipaumbele, unaweza shangaa dukani unauza vi vocha tu visivyo na faida, vipodozi vina faida nzuri lakini sio muhimu.
Changamoto kubwa sana usawa huu, vitu vinaharibika madukani, unaweza kuuza duka ukanunua pikipiki ufanye boda boda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona mpo kimya sana vip mnatafakari maisha au mpaka sasa kuna mmoja kafika 1.5M vp hakuna mwingine anaewwza kuzidi hapa ili tufanye biashara!?
 
Jmn karibuni sana mi nipo msije kusema sipo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom