Duka la waarabu Alwasif lanunua kipande cha lami Kariakoo, parking system wamuuzia parking 3 ila hapaki hata gari

Duka la waarabu Alwasif lanunua kipande cha lami Kariakoo, parking system wamuuzia parking 3 ila hapaki hata gari

mahindi hayaoti mjini

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
2,120
Reaction score
2,709
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
 
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa kariakoo, mtaa wa ndanda na narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zezote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yeyote hapo.
At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yeyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi
Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu tanzania yetu
Mleta mada huna akili, usitake kuficha ajenda yako nyuma ya huyo jamaa kuwa mwarabu.
Hutakiwi kuwa na digree kumi kuelewa anchofanya mwarabu, kanunua parking na hapaki gari sababu hataki duka lake li zibwe na pengine anataka aachie nafasi kwa ajili ya wateja wake. Wakifika pale wasipate tabu na sehemu ya kupaki.


Asipende kujianika upunguani wako mbele za watu hivi. Acha ujinga!
 
Mleta mada huna akili, usitake kuficha ajenda yako nyuma ya huyo jamaa kuwa mwarabu.
Hutakiwi kuwa na digree kumi kuelewa anchofanya mwarabu, kanunua parking na hapaki gari sababu hataki duka lake li zibwe na pengine anataka aachie nafasi kwa ajili ya wateja wake. Wakifika pale wasipate tabu na sehemu ya kupaki.


Asipende kujianika upunguani wako mbele za watu hivi. Acha ujinga!
Kwa kuwa ni mwarabu mwenzako umepanik?
Unalipiaje parking kwa ajili ya kufungua duka? Trna kwenye lami? Kama ni hivyo si awe tu machinga?
Waalabu watawanyonya mpaka macho hayo subirini tu watumwa wakubwa,

Halafu huyu wala si mtanzania huyu, hakuna mwalabu yoyote mtanzania
 
Hutakiwi kuwa na digree kumi kuelewa anchofanya mwarabu, kanunua parking na hapaki gari sababu hataki duka lake li zibwe na pengine anataka aachie nafasi kwa ajili ya wateja wake
Amenunua parking ya duka lake, hamna shida

Sasa hizi parking za maduka mawili mengine kwanini nazo anazuia?ameweka na vibao kabisa za jina lake
Halafu sio mtanzania sasa
 
Mleta mada huna akili, usitake kuficha ajenda yako nyuma ya huyo jamaa kuwa mwarabu.
Hutakiwi kuwa na digree kumi kuelewa anchofanya mwarabu, kanunua parking na hapaki gari sababu hataki duka lake li zibwe na pengine anataka aachie nafasi kwa ajili ya wateja wake. Wakifika pale wasipate tabu na sehemu ya kupaki.


Asipende kujianika upunguani wako mbele za watu hivi. Acha ujinga!
Mbona juzi humu ililetwa mada ya kuwaondosha wachina kariakoo wanaofanya biashara za maduka vipi mbona haukukurupuka hivi kuteteA?
 
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa kariakoo, mtaa wa ndanda na narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zezote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yeyote hapo.
At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yeyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi
Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu tanzania yetu
weka picture tuone.
 
anachojaribu ni kuzuia watu kufungua duka mbele.mana siku hiz kkoo unakuta duka zima lipo barabaran imagine.only in africa. na wenginw kuziba duka kwa kuweka magari . kama na wewe unahitaji parking space lipia upewe uache unaa wako hapa
 
Back
Top Bottom