Duka la waarabu Alwasif lanunua kipande cha lami Kariakoo, parking system wamuuzia parking 3 ila hapaki hata gari

Duka la waarabu Alwasif lanunua kipande cha lami Kariakoo, parking system wamuuzia parking 3 ila hapaki hata gari

Kwa kuwa ni mwarabu mwenzako umepanik?
Unalipiaje parking kwa ajili ya kufungua duka? Trna kwenye lami? Kama ni hivyo si awe tu machinga?
Waalabu watawanyonya mpaka macho hayo subirini tu watumwa wakubwa,

Halafu huyu wala si mtanzania huyu, hakuna mwalabu yoyote mtanzania
Ada iliyokusomesha bora baba yako angecheza dubwi la kichina
 
Nadhani una matatizo zaidi ya haya malalamiko unayotoa hapa

Mtu kanunua viwanja vyake kihalali na hati anazo

Wewe mchuma chumvi unakuja mpangia matumizi ya hivyo viwanja

Ustaarabu gani huo?

Private property ni private property huna cha kusema juu yake.

Wewe kama unataka ardhi kanunue ufanyie hapo biashara

Ushenzi wa kuzunguka kwenye vipande vya watu na kujifanya eti unataka kufanya umachinga hapo ni ukichaa

Hoja yako ya kipumbavu sana,eti zamani zilikua parking,sasa hivi kanunua yeye,anapanga matumizi anavyotaka yeye na sio wewe

Masikini ni hatari sana,majitu ya hovyo sana...Masikini ndio chanzo cha wizi,uuaji,hali zote mbaya

Na wewe ni tatizo na umasikini wako kaa nao huko
Mjomba taratibu basi, wapi nimesema ni viwanja?
Rudia kusoma tena

Labda nigusie tu ni sehemu ya parking pembeni ya barabara, mbele ya maduka, angenunua au kulipia kwenye duka lake tu tungeelewa,

Ila huyu kalipia mpaka parking za maduka mengine wakati ni public spaces, kama bado unadhani yupo sahihi bila shaka utakua wewe ndie maskini na mtumwa mkubwa kuwahi kutokea duniani
 
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
HAPANA sio watanzania sema ww, mm nina ushahidi weusi wakitajirika ni wakorofi kuliko hata hao waarabu
 
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
Hii ni post ya kipumbavu sana tangu mwaka huu uanze
 
HAPANA sio watanzania sema ww, mm nina ushahidi weusi wakitajirika ni wakorofi kuliko hata hao waarabu
Hii ni post ya kipumbavu sana tangu mwaka huu uanze
Ngojeni sasa tuchukue hatua halafu ndio muanze kutafta pa kutokea, unadhani wahusika wakishindwa kuchukua hatua watanzania kama watanzania watashindwa kumshughulikia huyu? Dakika sifuri tu mbona huyu anarudi kwao omani sijui Yemeni huko
 
Ngojeni sasa tuchukue hatua halafu ndio muanze kutafta pa kutokea, unadhani wahusika wakishindwa kuchukua hatua watanzania kama watanzania watashindwa kumshughulikia huyu? Dakika sifuri tu mbona huyu anarudi kwao omani sijui Yemeni huko
Jaribu uone, haya mambo unawajibika kwa jina lako, hao "wa Tanzania" Hutawaona ukiwa unaenda gerezani, gerezani unaingia kwa jina lako
 
Back
Top Bottom