Una mdomo mchafu utadhani unakula mavi,ebu jadili hoja kwa sitaha akuna asiye jua kutukanana.
Mm nimetembea na nina uwelewa juu ya mambo mengi ya dunia kuliko ww ndio maana nakuelimisha.
Ukienda mashariki ya kati ,China, Uturuki wanao fanya umachinga ni waafrica
Kwani hao waswahili wamekatazwa kufanya huo uchuuzi, alafu waasia wakaruhusiwa wafanye peke yao?
Dunia ya sasa ni dunia ya kibepari akili yako ndo itakayo kufanya ufanikiwe na kama ww ni kilaza utakuwa masikini na ukoo wako wote.
Kitendo cha waasia kutoka huko watokako na kuja hapa na kutafuta fursa za huo unao uita uchuuzi na kufanikiwa wakati nyinyi wenyeji mpo inaonesha jinsi gani mlivyo wajinga na vilaza.
Yaani dhahabu imedondoka njiani ila kwa sababu ya ukosefu wenu wa akili mnaiona kama jiwe la kawaida alafu mtu mwenye akili kutoka mbali aje aiokote akaiuze akatajirike muaze kelele?
Ina kuwaje watu wageni wana kuja kutoka mbali na wanafanikiwa kuteka wateja kuliko nyinyi wenyeji?
Kwann na nyinyi msitumie hizo akili kama wanazo tumia waasia ili mfanikiwe?
Wachuuzi wenyewe wa bongo ni wamejaa utapeli mtupu uaminifu zero,kitu cha 1000 analazimisha akuuzie 20,000.
Amin ali wafukuza wahindi ebu niambie Waganda walipata maendeleo gani?
Mgabe aliwanyaganya mashamba wazungu niambie wazimbabwe wana maendeleo gani?
Waafrica tutaedelea iwapo tutakubaliana ya kuwa umasikini wetu unasababishwa na ukosefu wetu wa akili badala ya kusingizia waraabu wahindi na wazungu.
Tuliza kalio wewe kuli wa mhindi mwanaharamu wewe pimbi , kaa ukielewa ,gharama inayolipa taifa la watu milioni 65 ni kubwa kuliko hizo hoja zako cheap za kiseng€ wewe unaongelea capitalism ,unajua capitalism fala wewe ?
Hebu nenda Asia ukafanya shughuli za uchuuzi mitaani halafu utupe mrejesho ,
Acha upumbavu .
Capitalism unaijua wewe tu ?
Kmamaee kalambe lolo la mhindi uendelee kupewa kibarua cha ukarani na ukuli huo ***** zako
Mazafaka@#$$
Umekariri Capitalism na wewe unaingia kichwa kichwa ,kilaza mmoja ,illiterate .
Pumbafu
Wewe unaona ni wajinga nchi kama Marekani ,Japan ,Germany nk ,hizo zote ni nchi zilizoendelea sana ,wanaweka restrictive rules kuzuia influx ya cheap labour na wachuuzi na watu wa kuja kuharibu access ya wazawa kwenye vitu ambavyo wana comperative advantage ya kufanya ili kuendelea kuwapa fursa raia wao za kupata kipato .
Tanzania watu raia wazawa wanathrive kwenye shughuli za uchuuzi , kilimo na hizi shughuli za kibunge jiko kama uboda boda ,ujenzi nk ,na wewe unaenda kuleta kuleta competition toka kwa foreigners , unategemea nini ?
Mpumbavu wewe uliyekariri neno "Capitalism " na elimu yako ya kata ,unakuja kuropoka hapa .
Kawafundishe hayo mataifa sasa waanzilishi wa Capitalism kuhusu Capitalism zeta wewe !
Umenichefua sana ,sina kawaida ya kuvurugwa hivi !
Acha upumbavu