Duka la waarabu Alwasif lanunua kipande cha lami Kariakoo, parking system wamuuzia parking 3 ila hapaki hata gari

Duka la waarabu Alwasif lanunua kipande cha lami Kariakoo, parking system wamuuzia parking 3 ila hapaki hata gari

Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
Huyo ni Mwarabu ambaye hataki Usumbufu wa Nyani karibu na makazi yake ya biashara

Nyani zinakera ujue

Kama serikali ya manyani walishindwa kuweka miundombinu vizuri kwa miaka yote sio sababu ya kumsumbua binadamu
 
Nafanya sana tu na hichi kipande cha lami ni cha jamhuri ya muungano wa tanzania sio cha yemen ujue
Wewe ni mpumbavu na umetawaliwa na roho ya kibaguzi,kwa roho hiyo utakufa masikini,hutakua na maendeleo yeyote yale,

Ungeweza kuwasilisha mada yako bila kua na lugha ya kibaguzi,

Punguani mmoja wewe.
 
Huyo ni Mwarabu ambaye hataki Usumbufu wa Nyani karibu na makazi yake ya biashara

Nyani zinakera ujue

Kama serikali ya manyani walishindwa kuweka miundombinu vizuri kwa miaka yote sio sababu ya kumsumbua binadamu
Endelea kuota, karibu kutakucha
 
Na mimi ndio baarabu benyewe nanunua pale,swahili shenzi sana wallahi inakuja chongea mimi huku kwa jf nikinyang'anywa mimi pale itapewa mama yako?
 
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
Waarabu siyo watu nadhani ni uzao mmoja na shetani.
 
Mleta mada huna akili, usitake kuficha ajenda yako nyuma ya huyo jamaa kuwa mwarabu.
Hutakiwi kuwa na digree kumi kuelewa anchofanya mwarabu, kanunua parking na hapaki gari sababu hataki duka lake li zibwe na pengine anataka aachie nafasi kwa ajili ya wateja wake. Wakifika pale wasipate tabu na sehemu ya kupaki.


Asipende kujianika upunguani wako mbele za watu hivi. Acha ujinga!
😅😅😅Muhogo ampa za uso Mahindi
 
Back
Top Bottom