Duka la waarabu Alwasif lanunua kipande cha lami Kariakoo, parking system wamuuzia parking 3 ila hapaki hata gari

Duka la waarabu Alwasif lanunua kipande cha lami Kariakoo, parking system wamuuzia parking 3 ila hapaki hata gari

Hata angekuwa mkinga ningesema ukweli tu, nimemtaja uarabu wake kwa kuwa si mtanzania, kama hamkubali basi siwalazimishi
Huu ni ubaguzi ndugu. Una ushahidi wowote kwamba sio Mtanzania? Au unasema sio Mtanzania kwa sababu ya rangi yake? Mbona wapo Watanzania wengi tu wenye asili ya Uarabuni.
 
Nina akili za kutosha ALHAMDULILLAH, na ndio maana najua haki zangu,

Mwarabu amenunua parking za maduka mengine, je inaruhusiwa? Yaani yeye duka lake ni moja, halafu anunue na maeneo ya mbele ya maduka mengine mawili yaani kwa jirani zake je ni haki? Kuwanyima jirani kufanya harakati tema kwenye maeneo yao?

Mwisho wa yote si mtanzania anaishi kijanja janja tu

Kweli wapo weusi wengi warundi, congo, rwanda, uganda na hata wakenya wanaishi kijanja janja
Ila hawa waarabu wananyanayasa wanainchi

Hakuna mwarabu mtanzania
Hakuna muarabu mtanzania hayo maneno una yaongea ww kama nani ndani ya nchi hii?
Suala la kuwa uhalali au lah kwa yeye kununua hizo packing hilo sio juu yake bali hilo ni juu ya serikali yako, yeye kanunua kwa ajili ya masilahi yake suala la ni halali au sio halali sio jukumu lake.
Kila mtu tukisema aende aishi kwenye chimbuko la asili yake basi hata ww ulipo huna uhalali wa kuwepo.
 
Una mdomo mchafu utadhani unakula mavi,ebu jadili hoja kwa sitaha akuna asiye jua kutukanana.

Mm nimetembea na nina uwelewa juu ya mambo mengi ya dunia kuliko ww ndio maana nakuelimisha.

Ukienda mashariki ya kati ,China, Uturuki wanao fanya umachinga ni waafrica

Kwani hao waswahili wamekatazwa kufanya huo uchuuzi, alafu waasia wakaruhusiwa wafanye peke yao?
Dunia ya sasa ni dunia ya kibepari akili yako ndo itakayo kufanya ufanikiwe na kama ww ni kilaza utakuwa masikini na ukoo wako wote.

Kitendo cha waasia kutoka huko watokako na kuja hapa na kutafuta fursa za huo unao uita uchuuzi na kufanikiwa wakati nyinyi wenyeji mpo inaonesha jinsi gani mlivyo wajinga na vilaza.
Yaani dhahabu imedondoka njiani ila kwa sababu ya ukosefu wenu wa akili mnaiona kama jiwe la kawaida alafu mtu mwenye akili kutoka mbali aje aiokote akaiuze akatajirike muaze kelele?

Ina kuwaje watu wageni wana kuja kutoka mbali na wanafanikiwa kuteka wateja kuliko nyinyi wenyeji?
Kwann na nyinyi msitumie hizo akili kama wanazo tumia waasia ili mfanikiwe?
Wachuuzi wenyewe wa bongo ni wamejaa utapeli mtupu uaminifu zero,kitu cha 1000 analazimisha akuuzie 20,000.

Amin ali wafukuza wahindi ebu niambie Waganda walipata maendeleo gani?
Mgabe aliwanyaganya mashamba wazungu niambie wazimbabwe wana maendeleo gani?
Waafrica tutaedelea iwapo tutakubaliana ya kuwa umasikini wetu unasababishwa na ukosefu wetu wa akili badala ya kusingizia waraabu wahindi na wazungu.
Tuliza kalio wewe kuli wa mhindi mwanaharamu wewe pimbi , kaa ukielewa ,gharama inayolipa taifa la watu milioni 65 ni kubwa kuliko hizo hoja zako cheap za kiseng€ wewe unaongelea capitalism ,unajua capitalism fala wewe ?
Hebu nenda Asia ukafanya shughuli za uchuuzi mitaani halafu utupe mrejesho ,
Acha upumbavu .
Capitalism unaijua wewe tu ?
Kmamaee kalambe lolo la mhindi uendelee kupewa kibarua cha ukarani na ukuli huo ***** zako
Mazafaka@#$$

Umekariri Capitalism na wewe unaingia kichwa kichwa ,kilaza mmoja ,illiterate .
Pumbafu

Wewe unaona ni wajinga nchi kama Marekani ,Japan ,Germany nk ,hizo zote ni nchi zilizoendelea sana ,wanaweka restrictive rules kuzuia influx ya cheap labour na wachuuzi na watu wa kuja kuharibu access ya wazawa kwenye vitu ambavyo wana comperative advantage ya kufanya ili kuendelea kuwapa fursa raia wao za kupata kipato .
Tanzania watu raia wazawa wanathrive kwenye shughuli za uchuuzi , kilimo na hizi shughuli za kibunge jiko kama uboda boda ,ujenzi nk ,na wewe unaenda kuleta kuleta competition toka kwa foreigners , unategemea nini ?
Mpumbavu wewe uliyekariri neno "Capitalism " na elimu yako ya kata ,unakuja kuropoka hapa .
Kawafundishe hayo mataifa sasa waanzilishi wa Capitalism kuhusu Capitalism zeta wewe !

Umenichefua sana ,sina kawaida ya kuvurugwa hivi !
Acha upumbavu
 
Nenda kazalie kwao uone kama mtoto wako atatambuliwa kama mzawa na kupewa haki sawa na hao waarabu wenyeji,.....bado ataitwa MGENI na Mtumwa tu na hiyo ngozi yenu yenye rangi ya laana,.....Hao watabaki kuwa wageni tu, na kwa kulijua hilo , angalia wao wenyewe wanavyo JITENGA na NYINYI , ilihari wapo kwenye ardhi yenu lakini hawawaoni kwa usawa huo mnaouina nyinyi...musidanganyike na kujipendekeza pendekeza kwa hao WAGENI,...
Huna huo ushahidi wa unacho kiongea zaidi ya kumsikiliza kwenye story za kahawa.
Lakini hata kama ingelikuwa ni kweli hicho unacho kisema bado hakikupi uhalali wa kuwabagua kwa sababu kila nchi ina sheria zake ,wao kama sheria zao zinaruhusu kufanya hayo unayo yasema ,kwetu sisi ni haramu kumbagua mtz mwenzio kwa misingi ya kikabila,rangi,dini au kanda.

Mkuu kinacho mpa mtu uhalali wa kuwa mwenyeji wa sehemu fulani sio langi yake wala asili yake na ndio maana hata ww hapo ulipo pengine sipo uliko zaliwa lakini unajiita mwenyeji wa eneo hilo.

Leo hii tukisema kila mtu aende anaishi kwenye chimbuko la asili yake hata ww utakuta huna haki ya kuishi hapo unapo paita nyumbani.

Hata ww unaye wananga waarabu kuwa asili yao sio Tz tukikuambia kuwa tupe ushahidi iwapo chimbuko la ukoo wako ni kutoka Tz huwezi kutuonesha.

Wangoni chimbuko lao ni S.Africa kwa hiyo kuseme wangoni sio waTz hivyo tuwabague?
Hawa na wahangaza chimbuko lao ni kutoka Burundi kwahiyo tuseme waha wote sio Watz?
Wanyambo kutoka karagwe chimbuko lao ni Uganda kwa hiyo wanyambo sio Watz?

Alafu kingine unacho takiwa kujua ni kuwa kizazi cha waarabu kina karne zaidi ya 5 ndani ya nchi hii hivyo usiwachulie poa.
Hata kama wangekuwa ni wageni kwa hiyo ww wazazi wako wamekufundisha kuwa mtu akiwa mgeni unatakiwa kumnynyapaa na kumnyanyasa?
Cha mwisho watu weupe sio sababu ya umasikini wetu bali sababu kuu ya umasikini wetu ni upumbavu ulio tujaa vichwani mwetu.
 
Wanaotetea wote wameshindwa kujibu swali hili,

Je naweza kununua parking mbele ya duka la mtu na nifungue biashara?
Au nilipie parking lakini nisiweke gari?
Au nilipie na ibaki tu wazi mimi nisiitumie na wengine wasiitumie japo wanaihitaji?

Huu ujinga uliwepo kwa makaburu tu
Mkuu hayo maswali ulitakiwa uhiulize serikali yako iliyo mkodishia.
 
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
Na hiyo ndiyo ikafanya jengo lianguke?
 
Bila amini kuwafukuza waganda leo huo Uganda ingekuwa imegawanyika kama Sudani .

Iddi hakuna jambo kubwa kama wananchi kushika 80% ya uchumi wa nchi yao wenyewe na ardhi yao .

Huu ujinga wa kusifia wanyonyaji ni wa kupuuzwa sana .

Hivi unawezaje kuwaleta waarabu kuja kulima mpunga Tanganyika ?
Unagawa ardhi kwa waarabu walime mkonge ni akili kweli au ni kuhujumu Taifa lako ?
Kuna mjordan amepewa elari elfu sita alime ufuta halafu akashindwa kuzuia ndege sasa amekimbilia kwenye mkonge maana ni rahisi kulima wakati huo huo wananchi waliomba hata Hekari tanotano walime mkonge wananyimwa sasa hapo unataka waende China wakauze midoli wakati mipango mibovu ya watawala inawakosesha hata fursa za nyumbani?
Huyu kilaza hana akili
 
Tuliza kalio wewe kuli wa mhindi mwanaharamu wewe pimbi , kaa ukielewa ,gharama inayolipa taifa la watu milioni 65 ni kubwa kuliko hizo hoja zako cheap za kiseng€ wewe unaongelea capitalism ,unajua capitalism fala wewe ?
Hebu nenda Asia ukafanya shughuli za uchuuzi mitaani halafu utupe mrejesho ,
Acha upumbavu .
Capitalism unaijua wewe tu ?
Kmamaee kalambe lolo la mhindi uendelee kupewa kibarua cha ukarani na ukuli huo ***** zako
Mazafaka@#$$

Umekariri Capitalism na wewe unaingia kichwa kichwa ,kilaza mmoja ,illiterate .
Pumbafu

Wewe unaona ni wajinga nchi kama Marekani ,Japan ,Germany nk ,hizo zote ni nchi zilizoendelea sana ,wanaweka restrictive rules kuzuia influx ya cheap labour na wachuuzi na watu wa kuja kuharibu access ya wazawa kwenye vitu ambavyo wana comperative advantage ya kufanya ili kuendelea kuwapa fursa raia wao za kupata kipato .
Tanzania watu raia wazawa wanathrive kwenye shughuli za uchuuzi , kilimo na hizi shughuli za kibunge jiko kama uboda boda ,ujenzi nk ,na wewe unaenda kuleta kuleta competition toka kwa foreigners , unategemea nini ?
Mpumbavu wewe uliyekariri neno "Capitalism " na elimu yako ya kata ,unakuja kuropoka hapa .
Kawafundishe hayo mataifa sasa waanzilishi wa Capitalism kuhusu Capitalism zeta wewe !

Umenichefua sana ,sina kawaida ya kuvurugwa hivi !
Acha upumbavu
Bila shaka ww mimba yako alipatikania kwenye madanguro.
Siwezi kuendelea kujadilia na mtu mwenye mdomo mchafu kama choo.
 
Nina akili za kutosha ALHAMDULILLAH, na ndio maana najua haki zangu,

Mwarabu amenunua parking za maduka mengine, je inaruhusiwa? Yaani yeye duka lake ni moja, halafu anunue na maeneo ya mbele ya maduka mengine mawili yaani kwa jirani zake je ni haki? Kuwanyima jirani kufanya harakati tema kwenye maeneo yao?

Mwisho wa yote si mtanzania anaishi kijanja janja tu

Kweli wapo weusi wengi warundi, congo, rwanda, uganda na hata wakenya wanaishi kijanja janja
Ila hawa waarabu wananyanayasa wanainchi

Hakuna mwarabu mtanzania
Sidhani kama hao wenye maduka wana haki za parking bila kulipia. Wao wanamiliki maduka na si parking. Hizo parking ni za serikali kwa hiyo mtu yoyote anaweza kuzimiliki kwa muda kwa kulipia. Kuna ofisi nyingi tu wanalipia parking, na ukifika unakuta zimeandikwa reserved for ... staff au guests.
 
Mjomba mbona umepanic?
Umeelewa nilicholalamikia lakini?
Kwanza sio mtanzania, pili kanunua parking za maduka mengine, tatu hazitumii hizo parking kwa kuweka magari, inne unaweza kufika pale ndanda/ narungombe kama upo dar es salaam ujionee mwenyewe, tano mimi sijatukana mtu kwanini wewe unitukane? Sita waarabu wote warudi kwao, hii inchi ni ya wabantu
Nadhani una matatizo zaidi ya haya malalamiko unayotoa hapa

Mtu kanunua viwanja vyake kihalali na hati anazo

Wewe mchuma chumvi unakuja mpangia matumizi ya hivyo viwanja

Ustaarabu gani huo?

Private property ni private property huna cha kusema juu yake.

Wewe kama unataka ardhi kanunue ufanyie hapo biashara

Ushenzi wa kuzunguka kwenye vipande vya watu na kujifanya eti unataka kufanya umachinga hapo ni ukichaa

Hoja yako ya kipumbavu sana,eti zamani zilikua parking,sasa hivi kanunua yeye,anapanga matumizi anavyotaka yeye na sio wewe

Masikini ni hatari sana,majitu ya hovyo sana...Masikini ndio chanzo cha wizi,uuaji,hali zote mbaya

Na wewe ni tatizo na umasikini wako kaa nao huko
 
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
Umeenda kuweka dau kubwa zaidi yake ukakataliwa?
 
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
Acha ujinga wewe
 
Huna huo ushahidi wa unacho kiongea zaidi ya kumsikiliza kwenye story za kahawa.
Lakini hata kama ingelikuwa ni kweli hicho unacho kisema bado hakikupi uhalali wa kuwabagua kwa sababu kila nchi ina sheria zake ,wao kama sheria zao zinaruhusu kufanya hayo unayo yasema ,kwetu sisi ni haramu kumbagua mtz mwenzio kwa misingi ya kikabila,rangi,dini au kanda.

Mkuu kinacho mpa mtu uhalali wa kuwa mwenyeji wa sehemu fulani sio langi yake wala asili yake na ndio maana hata ww hapo ulipo pengine sipo uliko zaliwa lakini unajiita mwenyeji wa eneo hilo.

Leo hii tukisema kila mtu aende anaishi kwenye chimbuko la asili yake hata ww utakuta huna haki ya kuishi hapo unapo paita nyumbani.

Hata ww unaye wananga waarabu kuwa asili yao sio Tz tukikuambia kuwa tupe ushahidi iwapo chimbuko la ukoo wako ni kutoka Tz huwezi kutuonesha.

Wangoni chimbuko lao ni S.Africa kwa hiyo kuseme wangoni sio waTz hivyo tuwabague?
Hawa na wahangaza chimbuko lao ni kutoka Burundi kwahiyo tuseme waha wote sio Watz?
Wanyambo kutoka karagwe chimbuko lao ni Uganda kwa hiyo wanyambo sio Watz?

Alafu kingine unacho takiwa kujua ni kuwa kizazi cha waarabu kina karne zaidi ya 5 ndani ya nchi hii hivyo usiwachulie poa.
Hata kama wangekuwa ni wageni kwa hiyo ww wazazi wako wamekufundisha kuwa mtu akiwa mgeni unatakiwa kumnynyapaa na kumnyanyasa?
Cha mwisho watu weupe sio sababu ya umasikini wetu bali sababu kuu ya umasikini wetu ni upumbavu ulio tujaa vichwani mwetu.
Endelea kuwashobokea waume wako,..subiria huo ushahidi unaoutaka,...
 
Hili ni duka la waarabu la kuuza vitambaa Kariakoo, mtaa wa Ndanda na Narun'gombe, anamikiki duka moja tu ila amenunua maeneo ya frame mbili zingine pembeni ya duka lake ,

Lengo lake la kununua kipande cha barabara ni kuzuia harakati zozote za watanzania wengine kujitafutia kipato,

Hizi ni open space kwa ajili ya parking, sasa yeye amezinunua kwa kulipia ili tu watanzania wasizitumie ingawa hata yeye hapaki gari yoyote hapo.

At least angenunua moja tungeelewa, lakini parking tatu na hapaki gari yoyote zaidi ya kuweka mavitambara yake hii si sahihi kabisa,

Tunaipenda Tanzania yetu so mwarabu anakuja kutunyanyasa hivi kweli ni haki?
Kweli muuza inchi ni mwanainchi

Weusi wenzetu watu wa parking wamemuuzia mwarabu Tanzania yetu
Ungetumia lugha ya staha,isiyo ya kibaguzi ungeeleweka,kwenye hitimisho lako nakuona mtu mwenye chuki na husda ambazo hazitakusaidia kufika popote kimaisha.
 
Shida ni kununua parking space na kutoitumia kama parking kwa kupanga vitambaa AU shida ni mwarabu sio mtanzania???
 
Bila shaka ww mimba yako alipatikania kwenye madanguro.
Siwezi kuendelea kujadilia na mtu mwenye mdomo mchafu kama choo.
JF ilikuwa brand ya " great minds ", saa hizi imejaa wajinga ambao hawana uwezo wa scholarly discussions. JF imejaa wahuni tu.
 
Mleta mada huna akili, usitake kuficha ajenda yako nyuma ya huyo jamaa kuwa mwarabu.
Hutakiwi kuwa na digree kumi kuelewa anchofanya mwarabu, kanunua parking na hapaki gari sababu hataki duka lake li zibwe na pengine anataka aachie nafasi kwa ajili ya wateja wake. Wakifika pale wasipate tabu na sehemu ya kupaki.


Asipende kujianika upunguani wako mbele za watu hivi. Acha ujinga!
Mkuu naunga mkono hoja yako ×10000
 
Back
Top Bottom