Dulla Makabila: Moyo wangu nahisi unawaka moto naumia sana sitaki tena mapenzi wala mahusiano sitaki

Dulla Makabila: Moyo wangu nahisi unawaka moto naumia sana sitaki tena mapenzi wala mahusiano sitaki

Sina Maneno meengi

Mkiambiwa huwa HAMSIKIII..

=====

Mtu yeyote atakaekuja kuniskia nasema nampenda mwanamke yeyote basi mtu uyo kama nipo naye karibu yani uso kwa uso basi naruhusu anipige ata kofi sababu nimegundua mwanamke sio mtu wakumuamini ata kidogo.

Haijalishi atakuaminisha kiasi gani nafikili muda niliobaki nao ni bora nikautumia kupambania maisha yangu na kuhakikisha nakuwa na hela zaidi ya hapa ila sidhani kama ni sahihi kuwekeza tena hisia zangu kwa mwanamke yeyote yule tena uwenda ikawa nilichelewa kuligundua hili ila sasa nimeelewa.

Sio kama nimeamua hivi kwa hasira hapana ila ni kwa sababu kwenye maisha yangu alibakia mwanamke mmoja tu wa kumuamini mwanamke ambae niliamini atakuwa kwaajiri yangu tu na sio mtu mwengine ata kama tutapitia situation yeyote ambayo itampush kufanya kitu tofauti niliamini hawezi kuniumiza na hatokuja kuweza ila kama yeye kaweza basi hakuna ambae atashindwa.

Maana yeye ndo alikuwa wa mwisho kumuamini katika maisha yangu 😭😭

Nimeumizwa nimeumizwa niseme nimeumia sana hii sio kiki wala trending za mitandaoni ni maisha halisi kiukweli napitia kipindi kigumu sana nakumbuka @hassanmwakinyojr Aliwahi kuniambia mapenzi kwake ameyapa 5% tena ata izo 5 bado anaziona nyingi.

Ila naamini sasa ata akinipigia simu tutakuwa tunaongea lugha moja moyo wangu nahisi unawa moto naumia sana sitaki tena mapenzi wala mahusiano sitaki sitaki sitaki sitaki tena 🙌🙌😭😭😭😭

Another Satisfied Customer 😌

View attachment 2753646
Huyu ni mwanaume!!?

Ehh.

Man Down...
My Condolences
 
Sina Maneno meengi

Mkiambiwa huwa HAMSIKIII..

=====

Mtu yeyote atakaekuja kuniskia nasema nampenda mwanamke yeyote basi mtu uyo kama nipo naye karibu yani uso kwa uso basi naruhusu anipige ata kofi sababu nimegundua mwanamke sio mtu wakumuamini ata kidogo.

Haijalishi atakuaminisha kiasi gani nafikili muda niliobaki nao ni bora nikautumia kupambania maisha yangu na kuhakikisha nakuwa na hela zaidi ya hapa ila sidhani kama ni sahihi kuwekeza tena hisia zangu kwa mwanamke yeyote yule tena uwenda ikawa nilichelewa kuligundua hili ila sasa nimeelewa.

Sio kama nimeamua hivi kwa hasira hapana ila ni kwa sababu kwenye maisha yangu alibakia mwanamke mmoja tu wa kumuamini mwanamke ambae niliamini atakuwa kwaajiri yangu tu na sio mtu mwengine ata kama tutapitia situation yeyote ambayo itampush kufanya kitu tofauti niliamini hawezi kuniumiza na hatokuja kuweza ila kama yeye kaweza basi hakuna ambae atashindwa.

Maana yeye ndo alikuwa wa mwisho kumuamini katika maisha yangu 😭😭

Nimeumizwa nimeumizwa niseme nimeumia sana hii sio kiki wala trending za mitandaoni ni maisha halisi kiukweli napitia kipindi kigumu sana nakumbuka @hassanmwakinyojr Aliwahi kuniambia mapenzi kwake ameyapa 5% tena ata izo 5 bado anaziona nyingi.

Ila naamini sasa ata akinipigia simu tutakuwa tunaongea lugha moja moyo wangu nahisi unawa moto naumia sana sitaki tena mapenzi wala mahusiano sitaki sitaki sitaki sitaki tena 🙌🙌😭😭😭😭

Another Satisfied Customer 😌

View attachment 2753646
Mapenzi yenyewe ni yale aliyokua akiambiwa vaa dela ana vaa, akiambiwa vaa wigi anavaa, na akiambiwa cheza kibao kata anacheza, halafu bado akaachwa?
 
Sina Maneno meengi

Mkiambiwa huwa HAMSIKIII..

=====

Mtu yeyote atakaekuja kuniskia nasema nampenda mwanamke yeyote basi mtu uyo kama nipo naye karibu yani uso kwa uso basi naruhusu anipige ata kofi sababu nimegundua mwanamke sio mtu wakumuamini ata kidogo.

Haijalishi atakuaminisha kiasi gani nafikili muda niliobaki nao ni bora nikautumia kupambania maisha yangu na kuhakikisha nakuwa na hela zaidi ya hapa ila sidhani kama ni sahihi kuwekeza tena hisia zangu kwa mwanamke yeyote yule tena uwenda ikawa nilichelewa kuligundua hili ila sasa nimeelewa.

Sio kama nimeamua hivi kwa hasira hapana ila ni kwa sababu kwenye maisha yangu alibakia mwanamke mmoja tu wa kumuamini mwanamke ambae niliamini atakuwa kwaajiri yangu tu na sio mtu mwengine ata kama tutapitia situation yeyote ambayo itampush kufanya kitu tofauti niliamini hawezi kuniumiza na hatokuja kuweza ila kama yeye kaweza basi hakuna ambae atashindwa.

Maana yeye ndo alikuwa wa mwisho kumuamini katika maisha yangu 😭😭

Nimeumizwa nimeumizwa niseme nimeumia sana hii sio kiki wala trending za mitandaoni ni maisha halisi kiukweli napitia kipindi kigumu sana nakumbuka @hassanmwakinyojr Aliwahi kuniambia mapenzi kwake ameyapa 5% tena ata izo 5 bado anaziona nyingi.

Ila naamini sasa ata akinipigia simu tutakuwa tunaongea lugha moja moyo wangu nahisi unawa moto naumia sana sitaki tena mapenzi wala mahusiano sitaki sitaki sitaki sitaki tena 🙌🙌😭😭😭😭

Another Satisfied Customer 😌

View attachment 2753646

Screenshot_20230821_101143_Chrome.jpg


#UkichapiwaKausha
 
Yeye ndiye mwenye matatizo haiwezekani uoe wanawake mara tatu halafu wote huseme wana matatizo. Ajitizame yy kwani kwa asilimia zote yeye ndiye mwenye matatizo.
 
Tatizo vijana hawasikii wakiambiwa.

Dunia ya Sasa haitaki watu wenye mioyo laini laini.. Dunia haitaki commitments.

Utaua au Utakufa
 
NDOA ZA BUKU TATU NAZO NI NDOA?
ALIZALISHWA NA MWINGINE NA WAKASHINDWANA HUKO, WEWE NI NANI WA KUWEZA?
WANASEMA NDEGE WANAO FANANA HURUKA PAMOJA,.
ALIYEKOMAA AKILI HAWEZIFANYA UTUMBO HUU.👇👇
SANA SANA WA KUOLEWA NDIO WANAFANYA HIVI
images.jpeg
 
Back
Top Bottom