😀😀 Poleni sana Mkuu round ya kwanza mlianza kwa mbwembwe nikajua mshamaliza kazi baada ya pale sasa mkaoga ngumi za kutosha. 😀Yule mpembavu katutia aibu sisi wanaume wa dar,leo gari limeondoka ipo siku hata wakezetu wataondoka kwa stahili hii[emoji24][emoji24]
Mie natamani Twaha Kiduku aje apigane na yule Mjeda Selemani Kidunda au uzito haukaribiani?Mwakinyo hatoboi
Ila naye mjanja Sana ndio maana anakwepa kupigana humu ndani ya nchi.
Na siku akipigana amekwisha
Sijui this time atasema kang'atwa na kitu gani mana amekula konde za kutosha.Wanaume wa daslam ukipigana nao kwa maneno huwawez kuwashinda hapo wanachukua had kombe la dunia ila mvute kati kwenye ulingo mpige jab 1, left-hook 1, Right-hook 1, overhand Right 1 alaf mmalizie na uppercut 1 anaanguka chali miguu juu haamki tena.
Zile kelele za sijui "niling'atwa na mbuzi" zinaishia hapo
Swahiba kumbe nawe umekesha kuangalia ngumiSijui this time atasema kang'atwa na kitu gani mana amekula konde za kutosha.
Huwa hawakosi Cha kuongea ukimpa nafas kidogo ya kuongea tu utashangaa unaweza kusema alishinda yeyeSijui this time atasema kang'atwa na kitu gani mana amekula konde za kutosha.
Mwakinyo yupo kimataifa kurud kcheza chin inaweza kumchafulia status ikitokea amepigwa ndo maana anaona ni bora acheze kimataifa ili ikitokea amepigwa huko isiwe issue kubwa sana, kiduku sahiv anatakiwa atafute mechi nyng za kimataifa ili aonyeshe ubora wake kupitia njia yake na badae mashabik ndo waamue Nan ni boraNingependa kuona kiduku vs mwakinyo ila mwakinyo hataki itokee siku apigane na kiduku
Mie natamani Twaha Kiduku aje apigane na yule Mjeda Selemani Kidunda au uzito haukaribiani?
Na siku ikitokea naamini hapatatosha mana wote wana makonde mazito.
Wote ni vijana wetu,,tuzidi kuwaombea taifa liwe na watu kama hao 20 ,, asante mleta mada[emoji1319][emoji1319]
Raund ya kwanza nkajua kiduku kapoteza asee, ila niyule kiwete nahis ndo mganga wa dulla kafanya mambo mpaka raund ya kwanza ikawa vile
Dula sio bondia yule.ni msela tu aliyejiingia kwenye boxing kutafuta maisha.Hana nidhamu wala weledi wowote wa boxing ndo maana anapigana rafu rafu na hana utulivu.Kwa jinsi alivyojengeka kimwili na jinsi anavyopigana unaona kabisa kuna vitu vingi anavikosa kwenye huo mchezo.
Sawa Mwanamume wa Dar..pole sanaYule mpembavu katutia aibu sisi wanaume wa dar,leo gari limeondoka ipo siku hata wakezetu wataondoka kwa stahili hii[emoji24][emoji24]
[emoji16][emoji3][emoji3][emoji23]wazaramo ndo tulivyo kwa mikwara! nd omaana wazaramo wa dar wengi wajumbe au wenyeviti serikali za mitaa..[emoji16]