Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la dulla ana ule USELA MAVI!!mwingi, hayupo ki proffesional zaidi!!mfano kama angekuwa makini ile round ya kwanza angeweza kumaliza pambano, kisheria za boxing pale alipomuangusha kiduku, alitakiwa aludi kwenye kona yake kule, ili refa aanze kuhesabu hadi kumi, na kama angeshindwa kusimama, pambano lingemalizika pale pale, sasa yeye, aliendelea kuwa pale pale, kutafuta misifa, na refa hakuweza kuanza kuhesabu, huku kiduku, anazidi ku gain nguvu, na kweli baada ya muda akawa tayari yuko fiti kuendelea!!Raund ya kwanza nkajua kiduku kapoteza asee, ila niyule kiwete nahis ndo mganga wa dulla kafanya mambo mpaka raund ya kwanza ikawa vile
We Umejuaje kama katumiaDulla licha ya kutumia ushirikina bado akaambulia kichapo cha mbwa koko.