Dulla mbabe hamuwezi Twaha Kiduku, atake asitake



๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Atii nini
 
Dulla ni bondia mzuri tu, ila ukweli ni kwamba hamuwezi twaha hata kama yatapigwa mapambano 10, labda aotee knockout kama ilivyotaka kutokea round ya kwanza.
Tatizo kubwa dulla ni mrefu lakini anamruhusu twaha arushiane naye ngumi wakiwa karibu so anashindwa kukunjuka mikono yake na kuguard. Watu wanasema mikono yake Haina nguvu, lakini ukweli ni kwamba anashindwa kuvuta ngumi vizuri. Watu warefu wanawaeka mabondia wafumbi mbali sana na wanakuwa wanatupa ngumi wakiwa mbali tu.

Kitu Cha pili dula anashindwa kabisa kuguard. Twaha kiduku akiweka mikono haachi nafasi katikati ya mikono yake, lakini dulla anaiacha nafasi sana kwasababu ni mrefu na twaha ni mfupi, so Kila ngumi ikitumwa inapenya.
 
Dulla Mbabe kelele nyiingi kumbe uwanjani sifuri.

Aibu sana yaani anapigwa ngumi tatu yeye anarudisha moja tena isiyo na macho mpaka mwisho anaamua kukimbia kimbia tu ili walau ashindwe kwa points. Lol.


Sema Dulla kikomazi, mvumilivu na mbishi. Kwa Ngumi zile Kama ni bondia mwingine asingetoboa raundi ya 7.
 


Umesema vizuri Sana.

Dulla pia ni kikomazi, mvumilivu na anajua kustahimili Ngumi. Angekuwa bondia mwingine Kwa Ngumi zile wala asingefika Raundi ya 7.

Na Kama Twaha ndio angekuwa anapigwa vile nakuhakikishia Pambano lingeisha mapema Sana.
 
Umesema vizuri Sana.

Dulla pia ni kikomazi, mvumilivu na anajua kustahimili Ngumi. Angekuwa bondia mwingine Kwa Ngumi zile wala asingefika Raundi ya 7.

Na Kama Twaha ndio angekuwa anapigwa vile nakuhakikishia Pambano lingeisha mapema Sana.
Kweli dulla kumpiga KO ni ngumu sana, ila hatokaa ashinde pambano dhidi ya kiduku bila KO
 
Tatizo huyo dulla anaamini maushirikina zaidi. Utaona kipindi cha kwanza kiduku alikuwa kama zezeta aliyelewa.Baada tuu ya kushindwa raundi ya kwanza nguvu za matunguri zilipungua ila hazikuisha kabisa ndio maana kiduku hakuwa katika uchangamfu wake mwanzo mwisho
 
Daa ile ngumi aliyopigwa Twaha na kuanguka, niliumia mnooo nikasema leo bondia wangu Twaha kazi ipo, lakini shukrani kwa kocha na Twaha mwenyewe kwa kurudi kwenye mchezo na kumtwanga Dullah mwanzo mwisho.

Hii ndio maana halisi ya Makodinda Makostamina, bendela chuma mlingoti chuma, ngumi zimesimama haina konakona, haina kamwambie nani, show show. Easy Power. Twaha Kiduku Mnyama.
 

Twaha alimgeuza Dulla Mnyonge punching bag.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ