victor moshi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 829
- 1,061
Zawadi ni zawadi kisheria hiyo ndinga ni ya kwake
Soma sheria zikusaidie mkuu, lasivyo utadhurumiwa sana mali
Soma sheria zikusaidie mkuu, lasivyo utadhurumiwa sana mali
Wamempa zawadi gari binafsi, hawajampa gari ya offisiWamempa kadi?.
Isije baadae wakasema ni Mali ya kampuni.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
ππππππ
Wamempa zawadi gari binafsi, hawajampa gari ya offisi
Kaka una Undugu na Kiduku Lilo?Wamempa gari au wamempa Mercedes Benz?
Gari ndio hayo mnayoyanunua nyie mnasema spea zimejaa Kariakoo, consumption ni lita moja kwa 49 km
hivi kumbe rais na king ni kitu kimoja eh ?Wamempa na cheo cha rais wa bongo flavor sijui anayejiita king wa bongo flavor hawamjui????π€π€π€πππ
kwenye king hakuna rais. Uliona wapi king na rais wanatawala kitu kimoja???hivi kumbe rais na king ni kitu kimoja eh ?
unachanganya makabichi na molasesi.kwenye king hakuna rais. Uliona wapi king na rais wanatawala kitu kimoja???
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] aisee hiyo gari sasa si in cc 200Wamempa gari au wamempa Mercedes Benz?
Gari ndio hayo mnayoyanunua nyie mnasema spea zimejaa Kariakoo, consumption ni lita moja kwa 49 km