muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Huyu dogo hayupo katima ile List ya Konki?...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusemaje mkuu? Kwamba tayari kawekwa rehani?Huyu dogo hayupo katima ile List ya Konki?...
Kidukulilo huwa namuona twitter aki tweet kama mwanamke wakati huku jf ana comment kama mwanaume.Kaka una Undugu na Kiduku Lilo?
hahaha kaawulize waalimu wa Atlas kila mwaka mwenye shule hutoa zawadi ya magari 10 kwa waalimu waliofaulisha lakini ukihamakabla ya miaka mitano anakunyanganyaZawadi ni zawadi kisheria hiyo ndinga ni ya kwake
Benz za watu wengi zilizoko dsm hazina utofauti wa bei na gari za toyota kama harrier matako ya nyani sema tu kuwa na jina benz ndiyo shida ila bei mle mle BMW ndo kabisa nyingine zinalinga bei na arionWamempa gari au wamempa Mercedes Benz?
Gari ndio hayo mnayoyanunua nyie mnasema spea zimejaa Kariakoo, consumption ni lita moja kwa 49 km
Sasa mbona mnayaogopa Mara spea Bei, Mara Kariakoo unaweza ukakosa, Mara yanakula Mafuta etcBenz za watu wengi zilizoko dsm hazina utofauti wa bei na gari za toyota kama harrier matako ya nyani sema tu kuwa na jina benz ndiyo shida ila bei mle mle BMW ndo kabisa nyingine zinalinga bei na arion
Ni mentality tu ya sisi watanzania na mafundi kajanja utasikia fundi anakwambia gari flani bovu kisa hajui jinsi ya kudeal naloSasa mbona mnayaogopa Mara spea Bei, Mara Kariakoo unaweza ukakosa, Mara yanakula Mafuta etc
Hayo sio magari, nyie kwenu mnayaona ni anasa
Mchaga asingekubali Hilo Benz ange-negotiate kwenye mshahara. Ila ndugu zetu waswahili wanapagawa na vitu vya ajabu ajabu kwenda kutambishia kwao Kisiju hukooAKIONDOKA ana hama nalo au analiacha
Benz za watu wengi zilizoko dsm hazina utofauti wa bei na gari za toyota kama harrier matako ya nyani sema tu kuwa na jina benz ndiyo shida ila bei mle mle BMW ndo kabisa nyingine zinalinga bei na arion.
Mchaga asingekubali Hilo Benz ange-negotiate kwenye mshahara. Ila ndugu zetu waswahili wanapagawa na vitu vya ajabu ajabu kwenda kutambishia kwao Kisiju hukoo
Baada ya kuona insta kuwa dullah kapewa zawadi ya benz na eatv radio, nkasema kumbe kampuni za habari zinaingiza hela nyingi nyingi..