Dully alaumu wasanii ambao hawakuja kumzika baba yake

Kuna mdau kasema Dai kachelewa kuzika kwa sababu ndege zilikuwa zinasumbua, watalii walikuwa wengi hivyo alisota sana uwanjani, Sasa sijui walitaka apaeee...
 
Hivi michango walikusanya tumilioni tungapi? Misiba deal siku hizi.
 
Nimekumbuka msemo wa mbwiga anasema usipokuja kwenye ngoma ya mwanangu, msiba wa baba yako sijiiii....hahaaaa chezea wazaramoo,

Hivi kwenye besdei alikuja au anataka twende msibani tuuuu...hahahaaaa (natania jamaniii)

Teh Teh
 
Huyo Dully kuongelea pesa na kusema alishapata inaelekea kabisa kuwa alitakawaje wampe pesa za kutumia baada ya kumzika baba yake, kwa kweli hana aibu kijana huyo duh unaongelea wasanii wenzako na kusema pesa....maruwe ruwe mie

sasa pesa alishazipangia na hazijatimia...hata baba yake atakuwa anasikitika kuwa mwanae hakufikiria kushukuru waliokuja bali kutaka kumchafua Chibu kama vile yeye ni maisha yake. eti alimwita brother so lazima asingekosa...haujui kuwa kuitana dada na kaka kama sio ndugu ni heshima mnapeana. au ndio unadhani mngepeana na damu mzichanganye miilini mwenu?

May he RIP. ila mtoto ndio tamaa ya kujiona star basi na Almasi angekuja kumsaidia kuonekana nae ana marafiki kumbeeeeeee...nimesoma juu mdau anasema hakupata ndege so inabidi aheshimu fikra za mtu as lazima waliongea simuni.

ila kufikiria pesa kutajirika kidogo kwa sababu ya msiba mie naona alishajipangiaga kiwango alichotegemea kupata sasa majonzi zaidi ni pesa na roho mbaya au niseme wivu.

na hao wanamtukana Diamond wanyamaze maneno yote yatawarudia ninyi na ndio mtajua.

hata mama yake kuugua wangapi kweli kama walivyosema wengine ni wameenda kumpa pole.

mbadirike nyie watanzania mnaopenda kubebwa na kulalamika kila wakati na kama msanii ni aibu sana.
 
Sorry mkuu,Je walimuuliza kwanini hakuwepo? Kuna mtu alithibitisha kuwa alishindwa kuja kwasababu ya kula bata na Zari?
 
Mambo mengine wakuu,,,ss kutokutokea kwenye msiba kama alikua ana mambo yake binafsi?
Pia kikubwa sio kwenda unaenda kuzika ili watu wakuone kuwa umeenda hapo lengo la msiba hakuna.

Hao wasanii watakua WAMBEA tu ndio maana hawakutaka kutaka majina yao yaandikwe.(kweli umaarufu gunia la MISUMARI)
 

Wa kwanza kulalamika ni mfiwa.
 

Nipo hapa tangu mda. Ila nikitizama suala hli kwa jicho la 3.

Ni wazi kabisa mkusanyiko wote shida yao ilikua ni DIAMOND tu.

Na ni wazi yale matimu yalijipanga vyema ili yapate pa kusemea. Nasema DIAMOND hongera kwa USALAMA WAKO, WAMEKUSHAURI VYEMA.

MSIBA HAUISH SIKU MOJA. ILA UPUUZI MKUBWA KAUFANYA DULLY KWA KUANZA ROPOKA KTK MEDIA ATI WATU HAWAJAJA MSIBANI. SIJAWAH ONA TANGU NIZALIWE.

KAMA DULLY NAE ALIPANGA FANYA HABARI NA GPL, IMENG'ATA KWAO.

SHHHHH!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…