Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona pisi yenyewe mbovu mnoo, Sasa anakutesaje huyooo
Afadhali usemee tu maana naona kama kichekesho Fulani hiviiiNdio mpenzi mwenyewe huyu?
Mkuu ukiona mbovu ujue haipo kwa ajili yako ila inawenyewe , tujifunze kuheshimu machaguo ya mtu.Mbona pisi yenyewe mbovu mnoo, Sasa anakutesaje huyooo
Ndio muhimu pale pawepo tu .Ndio mpenzi mwenyewe huyu?
Kwanini😹😹at Mimi ningesema nipo busy
😹😹😹Unataka kunichonganisha humu jfKwanini
SAWA kaka basi ni pisi ya kwenda hiyooMkuu ukiona mbovu ujue haipo kwa ajili yako ila inawenyewe , tujifunze kuheshimu machaguo ya mtu.
Punguza kiburi bro ,sasa mbona kama unasusa?SAWA kaka basi ni pisi ya kwenda hiyoo
Kama sio Msukuma niuwawe 😀😀😀kabila gani ww?
Mkuuu hizi ndoa zetuuu usihisii tunatoka na asura za kina mobeto weeee else ndoa ZETU zisingekaa mpaka Leo hii....mimi ni dume rijali la j.f miaka 35 sijaoa,miezi kama miwili iliyopita nikampata binti baada ya kuongea nae akakubali tuwe wachumba ila muda mwingi sipo nae karibu anaishi kwa wazazi wake..
Tatizo linakuja nikimpigia simu anajibu kwa mkato, ana kazi. inafika kipindi namtumia sms asubuhi anajibu jioni, nikiuliza anadai kazi nyingi.. je kuna mapenzi kweli hapo? tukikutana anaongea sana nashindwa kumwelewa kuwa ni uvivu wa mawasiliano au ana mtu wake,na mimi nilimgomea mapenzi hadi tupime kwanza.jee nifanyeje .
picha zaidi za huyo bint zipo kwenye comment
Haha ukibeba hiki kizazi utachanganyikiwa ,bora ukishushe usonge mbele kwa wepesi zaidi mkuu.Wewe ni lofa, hiki kizazi sijui tunakipeleka/fikisha wapi
Wewe utajuaje kama ana nyota kaliMkuuu hizi ndoa zetuuu usihisii tunatoka na asura za kina mobeto weeee else ndoa ZETU zisingekaa mpaka Leo hii....
Usichague sura Wala umbooo angalia ana nyotaaa na nyota inangaa kuna zilizofifia kama ndio
HUYO max yas mkuuuu pita nae tu
Namalizia kitu ntakujuza mkuuWewe utajuaje kama ana nyota kali