rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Wapi 😄Ndio muhimu pale pawepo tu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi 😄Ndio muhimu pale pawepo tu .
Poajamanii moyo na hela zanguuu zanguuu dah...😭😭
Pale😁Wapi 😄
Mmh 😀Pale😁
Kwenye picha kama ndo wewe ana haki ya kuwa mkato sura ya sita mstari wa tatu
Tafuta hela uchumba/ndoa bila kuwa na hela ni shida tu.
🤣🤣🤣🤣babe babeNikajua bonge la toto kama sweery kumbe ni pisi ya shambani huko porini maginga ndani ndani 🤣🤣
Achana naye we jikite kwenye kulima utatoboa tu!mimi ni dume rijali, la mbegu, la j.f miaka 35 sijaoa,miezi kama miwili iliyopita nikampata binti baada ya kuongea nae akakubali tuwe wachumba ila muda mwingi sipo nae karibu anaishi kwa wazazi wake..
Tatizo linakuja nikimpigia simu anajibu kwa mkato, ana kazi. inafika kipindi namtumia sms asubuhi anajibu jioni, nikiuliza anadai kazi nyingi.. je kuna mapenzi kweli hapo? tukikutana anaongea sana nashindwa kumwelewa kuwa ni uvivu wa mawasiliano au ana mtu wake,na mimi nilimgomea mapenzi hadi tupime kwanza.jee nifanyeje .
picha zaidi za huyo bint zipo kwenye comment
Hehehe!!!jamanii moyo na hela zanguuu zanguuu dah...😭😭