Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Aaah nimeshajifunza kuheshimu machaguzi ya MTU mkuuPunguza kiburi bro ,sasa mbona kama unasusa?
Jamaa ana pisi ya maana MNO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah nimeshajifunza kuheshimu machaguzi ya MTU mkuuPunguza kiburi bro ,sasa mbona kama unasusa?
Hakika hiki ni kiburi cha uzima , hauna tofauti mtoto anaenyimwa kula kabla ya kunawa halafu akasusa na kula kabisa.Aaah nimeshajifunza kuheshimu machaguzi ya MTU mkuu
Jamaa ana pisi ya maana MNO
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81]at Mimi ningesema nipo busy
🤣🤣🤣🤣Hakika hiki ni kiburi cha uzima , hauna tofauti mtoto anaenyimwa kula kabla ya kunawa halafu akasusa na kula kabisa.
Anyway me natania tu mkuu 🤣 🤣nipo kimya tu mie, ila mitusi kwa binti ya nini..
😹😹Wanasema ww ni mzuri kuliko Binti?!nipo kimya tu mie, ila mitusi kwa binti ya nini..
Ubaya wa binti huyo ni upi?😹😹Wanasema ww ni mzuri kuliko Binti?!
Wote wazuri ila sio sana lkiniUbaya wa binti huyo ni upi?
Huyu dada ni mzuri sana tu, sema lishe nzuri na matunzo kidogo utaogopa hata kumingo nae.Wote wazuri ila sio sana lkini
Uzuri hataki matunzoHuyu dada ni mzuri sana tu, sema lishe nzuri na matunzo kidogo utaogopa hata kumingo nae.
Sio kwamba hataki ni kwamba hajayapata tu, huyu nikimpata kwanza namlima dawa za minyoo dozi kama mbili , halafu namfungia ndani kama miezi mitatu nampangilia lishe na mazoezi,akitoka hapo utamsahau kabisa.Uzuri hataki matunzo
Kwahio huyo dada ana Minyooo?????🤣🤣🤣Sio kwamba hataki ni kwamba hajayapata tu, huyu nikimpata kwanza namlima dawa za minyoo dozi kama mbili , halafu namfungia ndani kama miezi mitatu nampangilia lishe na mazoezi,akitoka hapo utamsahau kabisa.
Huyu unamchapa, pyrantel pamaote dozi utamsahau kabisa.Kwahio huyo dada ana Minyooo?????🤣🤣🤣
Dada yupo in wrong handsHuyu unamchapa, pyrantel pamaote dozi utamsahau kabisa.