Dume rijali la JF. Hajibu SMS zangu, nifanyaje jamaniii?

Aaah nimeshajifunza kuheshimu machaguzi ya MTU mkuu

Jamaa ana pisi ya maana MNO
Hakika hiki ni kiburi cha uzima , hauna tofauti mtoto anaenyimwa kula kabla ya kunawa halafu akasusa na kula kabisa.
 
Hakika hiki ni kiburi cha uzima , hauna tofauti mtoto anaenyimwa kula kabla ya kunawa halafu akasusa na kula kabisa.
🤣🤣🤣🤣

Anyway just joking, ila Wanawake wanaoolewa ndio hao hao. Ila point ni kwamba mwanamke huyo hampendi
 
Sio kwamba hataki ni kwamba hajayapata tu, huyu nikimpata kwanza namlima dawa za minyoo dozi kama mbili , halafu namfungia ndani kama miezi mitatu nampangilia lishe na mazoezi,akitoka hapo utamsahau kabisa.
Kwahio huyo dada ana Minyooo?????🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…