Dumu la mafuta ya kupikia lita 20 ni 82000 na cement ni 24000, hakuna wa kuongea tena!

Dumu la mafuta ya kupikia lita 20 ni 82000 na cement ni 24000, hakuna wa kuongea tena!

Kwa nini usianze kumuuluza yule aliekuuluza?
Kama nilivyo sema watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia

Tatizo lipo na Tatizo lenyewe Watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
Utafaidi matunda ya awamu hii ya Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Vinginevyo utaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
imani za kipumbavu hizi...
 
imani za kipumbavu hizi...
Mkuu hii nchi sio ile ya Akina jakaya wachache Ndio walikua wanafaidi
Nchi hii kwa sasa kila mtu ananufaika na kweli watanzania tuna maisha bora na Hali nzuri sana kuliko wakati wowote ule
Unafikiri mpaka benki ya dunia kutusifia na kutuweka Sisi Uchumi wa kati kama Afrika kusini ni mchezo?
Yaani majirani wanatuonea wivu sana
 
Bado iyoo bei walaji wanamudu ingefika 20ltr kwa 500, 000 au cement kwa 200, 000 apo kweli ingekuwa mbaya
 
Bado iyoo bei walaji wanamudu ingefika 20ltr kwa 500, 000 au cement kwa 200, 000 apo kweli ingekuwa mbaya
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
Utafaidi matunda ya awamu hii ya Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Vinginevyo utaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
 
Mkuu hii nchi sio ile ya Akina jakaya wachache Ndio walikua wanafaidi
Nchi hii kwa sasa kila mtu ananufaika na kweli watanzania tuna maisha bora na Hali nzuri sana kuliko wakati wowote ule
Unafikiri mpaka benki ya dunia kutusifia na kutuweka Sisi Uchumi wa kati kama Afrika kusini ni mchezo?
Yaani majirani wanatuonea wivu sana
Haya Mkuu nimekusoma nje ya box mikumi tena........
 
Ingekuwa ni nchi nyingine watu wangeshaandamana na bei ingerekebishwa fasta lakini ndo hivo
 
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
Utafaidi matunda ya awamu hii ya Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Vinginevyo utaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
Watu wapige kazi mkuu bado bei ipo poa sana watu wanataka cement yenye ubora na mafuta yenye ubora wanataka wanunuwe 20ltr kwa 50, 000 haiwezekani kabisa cement bado bei ya ata 30, 000 bado ni rahisi mfuko mmoja unatoa tofali imara za kutosha
 
Ingekuwa ni nchi nyingine watu wangeshaandamana na bei ingerekebishwa fasta lakini ndo hivo
Hakuna bei elekezi bei zita kipanga zenyewe kama TRA wanavyo panga kodi bila majadiliano na mteja 😂
 
Kinachopandisha bei ni kodi za kukurupuka.
Maadam serikali inapata kodi wewe mwananchi pambana na hali yako
 
Baba Jiweeeee Tuhurumie Twafaa uwiii!!!!!!!!!!!!![emoji86]
 
Nani atawasemea tena Watanzania kuhusu hizi gharama za kila kitu kupanda?

Je, bado hatuoni faida ya Wapinzani Tanzania?

Je, ni Wapinzani pekee wanaumizwa na gharama hizi? Maoni yako tafadhali.

Tukumbuke cement haitoki nje (kisingizio cha covid-19 hakipo).

Tunalima alizeti mikoa mingi tu, karanga, mawese kitu gani kinapandisha hizi gharama?
Yaani mtapiga vuvuzera hadi mtanyamaza tu maisha ndiyo hayahaya na akili zenu.

Mafuta siyo kitu cha msingi katika maisha ya mwanadamu kwani asilimia kubwa ya wananchi hawatumii mafuta ya alizeti.

Hivyo ni ujinga tu unaongea chapa kazi bei ndiyo hiyo huna acha kutumia mafuta.

Ishi maisha kadri ya uwezo wako acheni tamaa
 
Hata kama itarejea haitafika lita 3000 ka mwanzo tena
Wewe nymba ulikuwa unalioa kodi huko nyuma sawa na sasa? au nauli ya daladala ilikuwa ni hii unayolipa sasa?

Mbona nauli za mabasi zinepanda hamsemi?

Acheni chuki binafsi haifai mnaona mabaya ya wenzenu tu kwa akili za kushikiwa
 
Tuliamua wenyewe.... So tusilaumiane wala kutukanana....

Tuvumilie.....
Hakuna aliyelaumu zaidi ya majungu yenu,wavivu ndiyo mnalalamika watu wanapiga kazi hawana muda wa kuloloma ati.

Maisha yamewashinda na bado aisee mtakimbia wote nchi kenge nyie
 
Na ninachojiuliza zaidi na sipati jibu kila siku ni kwamba kwa gharama hizi zinazoendelea tunaoumia ni sisi wote au wapinzani tu kama ni sisi wote hawa wenzetu wanaraha gani ya kufurahia miaka mitano mingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tuanzie hapo kwanza
Watu wangekuwa wanaumia wasingeipa ccm ushindi.

Sema maisha yamewashinda upinzani brabra watu hawataki kusikia.

Na wameyakubali maisha wanayoishi na utakula kwa jasho pimbi nyie
 
Achana na mambo ya fursa kaka tuzungumzie gharama za maisha kupanda alafu serikali ya wanyonge ipo kmy nini maana yake ndio CCM mbele kwa mbele na tumeitaka wenyewe acha ushabiki wa kijinga
Na wewe acha chuki za kijinga maisha ndiyo hayahaya fanya kazi,congo watu wanatembea na magunia ya hela kwenda sokoni sembuse TZ.

Kuna nchi wananchi wanamaisha ya juu kuliko TZ mnalalamika tu kwa uvivu wenu,pjgeni kazi acheni siasa taka!!
 
Serikali Ninayoiongoza Mimi Halitakuwa Na Michakato, Wala Upembuzi.
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Back
Top Bottom