Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
imani za kipumbavu hizi...Kwa nini usianze kumuuluza yule aliekuuluza?
Kama nilivyo sema watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Tatizo lipo na Tatizo lenyewe Watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
Utafaidi matunda ya awamu hii ya Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Vinginevyo utaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa