Dumu la mafuta ya kupikia lita 20 ni 82000 na cement ni 24000, hakuna wa kuongea tena!

Dumu la mafuta ya kupikia lita 20 ni 82000 na cement ni 24000, hakuna wa kuongea tena!

Nani atawasemea tena Watanzania kuhusu hizi gharama za kila kitu kupanda?

Je, bado hatuoni faida ya Wapinzani Tanzania?

Je, ni Wapinzani pekee wanaumizwa na gharama hizi? Maoni yako tafadhali.

Tukumbuke cement haitoki nje (kisingizio cha COVID-19 hakipo).

Tunalima alizeti mikoa mingi tu, karanga, mawese kitu gani kinapandisha hizi gharama?
Hii ndio maana ya rais wa wanyonge...kuwafanya Watanzania wanyonge na mafukara
 
Waovu tu mnasherekea kutangaza mabaya. changamoto zinazojitokezea ni kawaida, sio kwamba serikali haioni na imelala, inashughulikia meli ya mafuta inakuja na bei itarejea kikawaida.
Hata kwenye sukari mlikuja na kauli kama hizi. Ajabu mpaka leo sukari haijashuka
 
Nyinyi wenye akili ndio wa Kwanza kusema serikali inaua biashara ikipangia wafanyabiashara. Tatizo hamjitambui,hamjui mnataka nini. Kikitokea hiki mnasema hivi,kikitokea kingine mnasema vingine. Kumbukeni sakata la sukari mlisema nini baada ya serikali kuingilia.
Kwani kwenye sukari serikali iliingia kupanga bei au kuharibu biashara ya sukari?.maana toka ilivyoingia sukari haijakaa sawa hadi leo.Sasa hapo huwezi kusema soko linaachwa lijiendeshe wakati ni dhahiri ziko sababu zinazopelekea hivyo vitu kupanda bei na sidhani kama tatizo liko kwenye kiwango cha uzalishaji.
 
Iringa dumu la lita 20 tayari lishafika tsh 100,000/=, mafuta ya kupikia bei yake inapanda kwa masaa.
 
Nani atawasemea tena Watanzania kuhusu hizi gharama za kila kitu kupanda?

Je, bado hatuoni faida ya Wapinzani Tanzania?

Je, ni Wapinzani pekee wanaumizwa na gharama hizi? Maoni yako tafadhali.

Tukumbuke cement haitoki nje (kisingizio cha COVID-19 hakipo).

Tunalima alizeti mikoa mingi tu, karanga, mawese kitu gani kinapandisha hizi gharama?
Umesahau kumalizia na #MitanoTena
 
Sasa mnatakaje? Serikali iwapangie wafanyabiashara bei halafu mseme wanaua biashara? Si ndio biashara huru mnayoitaka hii?
Serikali wamesema kuna uhaba wa mafuta na meli ya mafuta inakuja uhaba utaisha. Demand vs supply.
Kipindi cha Mkapa serikali ilikuwa inapanga bei za bidhaa zote mbona biashara hazikufa?

Kipindi cha kikwete serikali ilikuwa haipangi bei wafanyabiashara walikuwa wanauza kiholela mbona biashara hazikufa

What's wrong???
 
Mkuu ukiwa muadilifu kama Sisi viongozi wa CCM yaani wala hayo makali ya maisha hutayahisi
Unaijua vieite wewe!!!
Sisi tunatembelea vieitee

USSR's mighty was compromised and later collapsed by the same approach to leading people. You cant create classes in the society and succeed for a long time
 
USSR's mighty was compromised and later collapsed by the same approach to leading people. You cant create classes in the society and succeed for a long time
If you can't fight us just join us
Maalim Seif now in our group and he is enjoying the fruit as well as
Halima mdee with other 18
 
Vile viwanda vyenu 8000 mlivyojenga ndani ya miaka mitano hakuna viwanda vya kutengeneza mafuta ya kula???
Waovu tu mnasherekea kutangaza mabaya. changamoto zinazojitokezea ni kawaida, sio kwamba serikali haioni na imelala, inashughulikia meli ya mafuta inakuja na bei itarejea kikawaida.
 
If you can't fight us just join us
Maalim Seif now in our group and he is enjoying the fruit as well as
Halima mdee with other 18

It is not about fighting. It is not about opposing for the sake of opposing. It is about wishing well for our mother land.
Tunataka progress hata baada ya miaka hii 10.
 
It is not about fighting. It is not about opposing for the sake of opposing. It is about wishing well for our mother land.
Tunataka progress hata baada ya miaka hii 10.
You have to relax cos our country is in good hands
 
Back
Top Bottom