Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Na meli ya cement inakuja lini kurejesha cement katika bei yake ya awali ?Waovu tu mnasherekea kutangaza mabaya. changamoto zinazojitokezea ni kawaida, sio kwamba serikali haioni na imelala, inashughulikia meli ya mafuta inakuja na bei itarejea kikawaida.