Dumu la mafuta ya kupikia lita 20 ni 82000 na cement ni 24000, hakuna wa kuongea tena!

Dumu la mafuta ya kupikia lita 20 ni 82000 na cement ni 24000, hakuna wa kuongea tena!

RRONDO RRONDO RRONDO nimekuita mara tatu ndugu yangu usizungumze ukayamaliza maneno humu ndani kuna baba zako,kaka zako wadogo zako walilie na kuwasemea hawa usijiangalie wewe tu mwangalie na yule aliyekuwa kijijini samvula chole[emoji57]
Hata mimi naishi Tz hii hii. Hivi hukumbuki sakata la sukari serikali ilivyolaumiwa kuwapangia bei hawa jamaa?! Wengi walisema waachwe soko liamua. Kinachotokea kwenye mafuta ndio hicho wafanyabiashara wako huru kupanga bei kulingana na soko.

Hebu toa mapendekezo yako kwa hali hii serikali ifanye nini?
 
RRONDO RRONDO RRONDO nimekuita mara tatu ndugu yangu usizungumze ukayamaliza maneno humu ndani kuna baba zako,kaka zako wadogo zako walilie na kuwasemea hawa usijiangalie wewe tu mwangalie na yule aliyekuwa kijijini samvula chole[emoji57]
Sasa kosa lake ni lipi huyo PRONDO wakati maelezo yake ni sahihi tu? soko ni huria, serikali ikiingilia tutasema wanaingilia biashara. Soko limeamua kuwa bei ziwe hivyo, au unataka serikali ipange bei?
 
Hata mimi naishi Tz hii hii. Hivi hukumbuki sakata la sukari serikali ilivyolaumiwa kuwapangia bei hawa jamaa?! Wengi walisema waachwe soko liamua. Kinachotokea kwenye mafuta ndio hicho wafanyabiashara wako huru kupanga bei kulingana na soko.
Hebu toa mapendekezo yako kwa hali hii serikali ifanye nini?
Mkuu uko sawa kosa kubwa la serikali kwanini iliacha mpaka stock ikaisha?
 
Mkuu uko sawa kosa kubwa la serikali kwanini iliacha mpaka stock ikaisha?
Bado sijajua muagizaji wa mafuta ya kula ni serikali au wafanyabiashara ambao wanaweza kutengeneza scarcity makusudi kwa manufaa yao.
 
Tufanye nataka kukubaliana na ujinga wako sasa unaweza kuniambia na bei ya sukari kupanda mpaka leo itakuwa meli ipo njiani sio embu tuzungumzie hili jambo kwa mapana yake tuzungumzie kwa bidhaa zote kwa ujumla naomba majibu kwanini kikwete aliweza kulipa mishahara on time na bei za bidhaa zilikuwa zipo normal iweje huyu baba yako alipoingia na gharama za maisha nazo zimepanda?kwako mwalimu kashasha[emoji16]

Mtu anasema serikali isipange bei, basi vitu kama ewura vifutwe tu kila mtu auze mafuta bei anayotaka, huyu auze lita 25,000, huyu auze 100,000 na huyu atoe bure.

Akili zao ndio zimefikia hapo.
 
Mtu anasema serikali isipange bei, basi vitu kama ewura vifutwe tu kila mtu auze mafuta bei anayotaka, huyu auze lita 25,000, huyu auze 100,000 na huyu atoe bure.

Akili zao ndio zimefikia hapo.
Nyinyi wenye akili ndio wa Kwanza kusema serikali inaua biashara ikipangia wafanyabiashara. Tatizo hamjitambui,hamjui mnataka nini. Kikitokea hiki mnasema hivi,kikitokea kingine mnasema vingine. Kumbukeni sakata la sukari mlisema nini baada ya serikali kuingilia.
 
Nani atawasemea tena watanzania kuhusu hizi gharama za kila kitu kupanda?
J,e bado hatuoni faida ya wapinzani Tanzania?
Je, ni wapinzani pekee wanaumizwa na gharama hizi? Maoni yako tafadhali.

Tukumbuke cement haitoki nje (kisingizio cha covid-19 hakipo).

Tunalima alizeti mikoa mingi tu, karanga,mawese kitu gani kinapandisha hizi gharama?
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
Utafaidi matunda ya awamu hii ya Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA
Vinginevyo lazima uumie maana mianya yote ya wapiga dili imeziba kabisa
 
Yaani Ni noma..lita saiz ni 48000 mafuta ya kula.

Lita 18/20 tuliyokuwa tunachukua kwa 56,000 saiz Ni 82,000 na inazidi kupanda kila siku
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
Utafaidi matunda ya awamu hii ya Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Vinginevyo utaumia sana maana mianya yote ya wapiga dili imeziba kabisa
 
Kama mambo yataendelea hivi, ile ndoto ya maisha bora kwa kila Mtanzania ndio muifute kabisa, kinachosalia hapo ni bora maisha tu kwa kila Mtanzania!
 
Na meli ya sukari nayo hujasikia kama inashughulikiwa huko ndugu yetu japo utujuze....maana isije ikawa meli ya mafuta tu ndo mmeiona🤣🤣🤣🤣
 
Waovu tu mnasherekea kutangaza mabaya. changamoto zinazojitokezea ni kawaida, sio kwamba serikali haioni na imelala, inashughulikia meli ya mafuta inakuja na bei itarejea kikawaida.
Kwani siku zote hiyo meli Ilikuwa wapi? na kuhusu sement mmeongopa mpaka mmekaa kimya
 
Yaani wewe siku maslahi yako binafsi yatakapo guswa na pale utakapo kosa la kufanya ndo uje hapa kusema "tuache kulialia tufanye kazi kwa bidii"....we tulizana tu,siku hazigandi...utafikiwa tu.
Hata isiporejea kana zamani Ndio mabadiliko ya bei , hata hiyo 3000 haikuwapo zamani. Tufanye kazi tuache kulia lia
 
Yaani wewe siku maslahi yako binafsi yatakapo kuswa na pale utakapo kosa la kufanya ndo uje hapa kusema "tuache kulialia tufanye kazi kwa bidii"....we tulizana tu,siku hazigandi...utafikiwa tu.
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia na kulia Lia
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
Utafaidi matunda ya awamu hii ya Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Vinginevyo utaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
Kijana mdogo kama pole pole anatembelea viieitee
Unaijua vieite wewe!!
 
Back
Top Bottom