Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi naishi Tz hii hii. Hivi hukumbuki sakata la sukari serikali ilivyolaumiwa kuwapangia bei hawa jamaa?! Wengi walisema waachwe soko liamua. Kinachotokea kwenye mafuta ndio hicho wafanyabiashara wako huru kupanga bei kulingana na soko.RRONDO RRONDO RRONDO nimekuita mara tatu ndugu yangu usizungumze ukayamaliza maneno humu ndani kuna baba zako,kaka zako wadogo zako walilie na kuwasemea hawa usijiangalie wewe tu mwangalie na yule aliyekuwa kijijini samvula chole[emoji57]
Sasa kosa lake ni lipi huyo PRONDO wakati maelezo yake ni sahihi tu? soko ni huria, serikali ikiingilia tutasema wanaingilia biashara. Soko limeamua kuwa bei ziwe hivyo, au unataka serikali ipange bei?RRONDO RRONDO RRONDO nimekuita mara tatu ndugu yangu usizungumze ukayamaliza maneno humu ndani kuna baba zako,kaka zako wadogo zako walilie na kuwasemea hawa usijiangalie wewe tu mwangalie na yule aliyekuwa kijijini samvula chole[emoji57]
Mkuu uko sawa kosa kubwa la serikali kwanini iliacha mpaka stock ikaisha?Hata mimi naishi Tz hii hii. Hivi hukumbuki sakata la sukari serikali ilivyolaumiwa kuwapangia bei hawa jamaa?! Wengi walisema waachwe soko liamua. Kinachotokea kwenye mafuta ndio hicho wafanyabiashara wako huru kupanga bei kulingana na soko.
Hebu toa mapendekezo yako kwa hali hii serikali ifanye nini?
Bado sijajua muagizaji wa mafuta ya kula ni serikali au wafanyabiashara ambao wanaweza kutengeneza scarcity makusudi kwa manufaa yao.Mkuu uko sawa kosa kubwa la serikali kwanini iliacha mpaka stock ikaisha?
Tufanye nataka kukubaliana na ujinga wako sasa unaweza kuniambia na bei ya sukari kupanda mpaka leo itakuwa meli ipo njiani sio embu tuzungumzie hili jambo kwa mapana yake tuzungumzie kwa bidhaa zote kwa ujumla naomba majibu kwanini kikwete aliweza kulipa mishahara on time na bei za bidhaa zilikuwa zipo normal iweje huyu baba yako alipoingia na gharama za maisha nazo zimepanda?kwako mwalimu kashasha[emoji16]
Nyinyi wenye akili ndio wa Kwanza kusema serikali inaua biashara ikipangia wafanyabiashara. Tatizo hamjitambui,hamjui mnataka nini. Kikitokea hiki mnasema hivi,kikitokea kingine mnasema vingine. Kumbukeni sakata la sukari mlisema nini baada ya serikali kuingilia.Mtu anasema serikali isipange bei, basi vitu kama ewura vifutwe tu kila mtu auze mafuta bei anayotaka, huyu auze lita 25,000, huyu auze 100,000 na huyu atoe bure.
Akili zao ndio zimefikia hapo.
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumiaNani atawasemea tena watanzania kuhusu hizi gharama za kila kitu kupanda?
J,e bado hatuoni faida ya wapinzani Tanzania?
Je, ni wapinzani pekee wanaumizwa na gharama hizi? Maoni yako tafadhali.
Tukumbuke cement haitoki nje (kisingizio cha covid-19 hakipo).
Tunalima alizeti mikoa mingi tu, karanga,mawese kitu gani kinapandisha hizi gharama?
Kuna mambo mengi sana ya kitafakari zaidi ya hayo, Waafrika kwa ujumla akili zetu ni fupi.Nani atawasemea tena watanzania kuhusu hizi gharama za kila kitu kupanda?...
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumiaYaani Ni noma..lita saiz ni 48000 mafuta ya kula.
Lita 18/20 tuliyokuwa tunachukua kwa 56,000 saiz Ni 82,000 na inazidi kupanda kila siku
Ooh, okey .Kosa langu ni KUTOPINGA....Ukitaka uwe salama humu wewe PINGA,PONDA,TUKANA kila kinachohusu serikali.
Kwani siku zote hiyo meli Ilikuwa wapi? na kuhusu sement mmeongopa mpaka mmekaa kimyaWaovu tu mnasherekea kutangaza mabaya. changamoto zinazojitokezea ni kawaida, sio kwamba serikali haioni na imelala, inashughulikia meli ya mafuta inakuja na bei itarejea kikawaida.
Hata isiporejea kana zamani Ndio mabadiliko ya bei , hata hiyo 3000 haikuwapo zamani. Tufanye kazi tuache kulia lia
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia na kulia LiaYaani wewe siku maslahi yako binafsi yatakapo kuswa na pale utakapo kosa la kufanya ndo uje hapa kusema "tuache kulialia tufanye kazi kwa bidii"....we tulizana tu,siku hazigandi...utafikiwa tu.