Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka bei gani?Nani atawasemea tena Watanzania kuhusu hizi gharama za kila kitu kupanda?
Je, bado hatuoni faida ya Wapinzani Tanzania?
Je, ni Wapinzani pekee wanaumizwa na gharama hizi? Maoni yako tafadhali.
Tukumbuke cement haitoki nje (kisingizio cha COVID-19 hakipo).
Tunalima alizeti mikoa mingi tu, karanga, mawese kitu gani kinapandisha hizi gharama?
kuna bei za jamiiforums pia[emoji16][emoji16].Mbona cement 15500 hiyo 24000 bei ya huko nampalange nini
Ova
Hizo ndio bei za JF...utaambiwa kula kulala hujawahi kujenga hata chumba kimojaMbona cement 15500 hiyo 24000 bei ya huko nampalange nini
Ova
Lakini mkuu kuna commodities zimepanda bei mno, yaani hadi unajiuliza shida iko wapi? Tangu kipindi cha uchaguzi kuna bidhaa zinapanda bei sielewi shida iko wapi!!!Hizo ndio bei za JF...utaambiwa kula kulala hujawahi kujenga hata chumba kimoja
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumiaLakini mkuu kuna commodities zimepanda bei mno, yaani hadi unajiuliza shida iko wapi? Tangu kipindi cha uchaguzi kuna bidhaa zinapanda bei sielewi shida iko wapi!!!
Ni kweli.Lakini mkuu kuna commodities zimepanda bei mno, yaani hadi unajiuliza shida iko wapi? Tangu kipindi cha uchaguzi kuna bidhaa zinapanda bei sielewi shida iko wapi!!!
Tanganyika masagati MorogoroHivi ni wapi huko cement inauzwa 24,000?
Waovu tu mnasherekea kutangaza mabaya. changamoto zinazojitokezea ni kawaida, sio kwamba serikali haioni na imelala, inashughulikia meli ya mafuta inakuja na bei itarejea kikawaida.
Kipo singidaVile viwanda vyenu 8000 mlivyojenga ndani ya miaka mitano hakuna viwanda vya kutengeneza mafuta ya kula???
Kwetu imauzwa 16,500 TShHivi ni wapi huko cement inauzwa 24,000?
Mbona huku kwetu cement 16,000 - 16,500. Ndugu yangu unaishi wapi nikuletee?Na meli ya cement inakuja lini kurejesha cement katika bei yake ya awali ?
Huku Arusha Lita 4500 imepanda kutoka 4000. Nimenunua janaHku iringa Lita 6300 dumu 107000
Nani atawasemea tena Watanzania kuhusu hizi gharama za kila kitu kupanda?
Je, bado hatuoni faida ya Wapinzani Tanzania?
Je, ni Wapinzani pekee wanaumizwa na gharama hizi? Maoni yako tafadhali.
Tukumbuke cement haitoki nje (kisingizio cha COVID-19 hakipo).
Tunalima alizeti mikoa mingi tu, karanga, mawese kitu gani kinapandisha hizi gharama?
Hapo mjini Kawe, jana jamaa yangu mtaani kaenda akakuta yana 84000 yakamshinda akaacha kununua.Hiyo 82000 ni wapi nije kununua? Huku Mbeya sasa tunaongelea 110000 wewe unasema 82,000? Lita huku ni 5500/= huna ukale chukuchuku. Huko bei poa sana halo. Mafuta yakipanda kila mwaka ndio inacheza hapo kwenye 80+k ni bei ya kawaida sana.
ndio walichelewesha meli!Mh Rais anapitia wakati mgumu sana kuna watu hawapend kweli apeleke maendeleo hakika binadam wana roho mbaya.
Mkuu vipi... Mbona unanifokea? HahahaaaHakuna aliyelaumu zaidi ya majungu yenu,wavivu ndiyo mnalalamika watu wanapiga kazi hawana muda wa kuloloma ati.
Maisha yamewashinda na bado aisee mtakimbia wote nchi kenge nyie