Dunia hii ya sayansi na teknolojia Kiongozi wa chama form 4, katibu form 6 mtatoboa kweli? Wanachama si ndio itakuwa bora liende? Fanyeni mabadiliko

Hell no, Chama gani hicho? Maana sijafuatilia biography za viongozi wa chama vya siasa mbali mbali tokea JPM atutoke. Nachojua Mbowe ana div 0 ya Form 6, sio vizuri kusema sema, ila sasa mtu kama kapata Div 0, tuiteje?
Mkuu kwakusoma kwako hata kama ulipata one ya point 3 six utaweza kufika hata robo ya mbowe ? Usimbeze usiye mjua vizuri
 
Fanyeni mabadiliko maana hata siasa ni sayansi.

Mnatakiwa kwenda na sayansi na teknolojia.

Siasa pia ni Sayansi inayohitaji elimu ili kujua mahitaji ya wakati.

Sijui tu wanachama wenu wako vipi kama viongozi ndio wako namna hiyo.
Una bifu na ccm? Maana hayo mapopoma yapo huko kijanini
 
Fanyeni mabadiliko maana hata siasa ni sayansi.

Mnatakiwa kwenda na sayansi na teknolojia.

Siasa pia ni Sayansi inayohitaji elimu ili kujua mahitaji ya wakati.

Sijui tu wanachama wenu wako vipi kama viongozi ndio wako namna hiyo.
Basi wewe msomi andika hayo kwa Kiingereza.
 

Kwa ukhanithi unaofanywa na wasomi ni aibu hata kujiita msomi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…