Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 2,717
- 3,895
Mavi yana unafuu. Ni uharo kabisa huo. Iran? Iran inataka kuonja joto ya jiwe. OK.Mavi!
Ngoja tuone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mavi yana unafuu. Ni uharo kabisa huo. Iran? Iran inataka kuonja joto ya jiwe. OK.Mavi!
wawe attacked mara ngapi?Mambo yanazidi kunoga
View attachment 3062754
Kukaa kimya kwa Tehran kunazidi kumpa kiwewe Netanyauleo inaenda siku ya 4, hakuna lolote, Iran hawezi kufanya hayo makosa sasaivi, anajua wamemtegea ndoana. ndio maana myahudi anazidi tu kutindua kule lebanon na gaza kila siku, kaweka mtego wake anasubiri tu mtu atie ndoana mdomoni. Israel haiwezi kuishi na threat ya Iran muda wote, wameamua kama vita na iwe vita manake hata wasipopigana kuna siku mbeleni watapigana tu na jinsi wanavyozidi kuahirisha vita ndivyo iran inavyojijenga. juzi kamanda wake mwingine kule syria aliuawa na hakuna kitu.
Adios Amigo unakuwaga na akili?Sasa hivi Hezbullah kafunua huko kwenye mshono kabisa kwenye Base yao katumia Missile ya Burkan .
US anamuambia Iran mpige kidogo Iran ukimpiga sana eti Iran atapigwa kipigo hajawahi kukiona 😄
Huyu US Kwanza atuambie zile Carriers zake mbili zimeripuliwa jana vipi, ataficha mpaka lini.
Masaa matatu itafika wiki sasa, labda akimaanisha wiki 3Iran imetangaza kupitia stesheni ya chaneli 3 iliyopo mjini Tehran ya kuwa masaa machache yajayo ulimwengu ujiandae kushuhudia jambo kubwa la kihistoria.
Akili zitatoka wapi na wengine wanasema binadamu ni Mungu. Bora mkazime kichwa cha kondoo mnaweza pata akili angalau, na siku zingine mnaweza kubahatika mkapata kama zangu kuliko kukosa kabisa 😄Adios Amigo unakuwaga na akili?
Wewe Mungu ushawahi kumuonaAkili zitatoka wapi na wengine wanasema binadamu ni Mungu. Bora mkazime kichwa cha kondoo mnaweza pata akili angalau, na siku zingine mnaweza kubahatika mkapata kama zangu kuliko kukosa kabisa 😄
Tuliwachia wakristo walikuwa wanapiga naye story chalinze. Sisi Waislam Mungu wetu tunamini yeye anakuona wewe huwezi muona kama alivyo sema Yesu. Hakuna binadamu atakaye weza Muona Mungu akaishi. Nyie wakristo Mungu wrnu.mnasema alizaliwa kwenye zizi la ngo'mbe lazima mtamuona tu 😄Wewe Mungu ushawahi kumuona
Allah anaonewa huko GazaTuliwachia wakristo walikuwa wanapiga naye story chalinze. Sisi Waislam Mungu wetu tunamini yeye anakuona wewe huwezi muona kama alivyo sema Yesu. Hakuna binadamu atakaye weza Muona Mungu akaishi. Nyie wakristo Mungu wrnu.mnasema alizaliwa kwenye zizi la ngo'mbe lazima mtamuona tu 😄
Kwani Allah ni sawa sawa na binadamu.mpaa awe yuko Gaza, huyo labda cousin yake na yule Mungu wenu aliye zaliwa kwenye zizi la ngo'mbe. 😄Allah anaonewa huko Gaza