Dunia imeanza kuelewa ni kwanini CHADEMA wanapigania kufa na kupona Katiba Mpya

Wewe unasema kuwa habari za Mbowe hazimo Katika headlines zao.

Hivi unaona ni sahihi kwa TV ya Taifa ya TBC kutangaza habari za uongo kabisa kwa lengo la kuisaidia CCM, eti vijana wa Chadema mkoa wa Arusha, wanaunga mkono Katiba iliyopo?
 
Katiba mpya sawa ila “Dunia “?!
Itakuwa tuna tafsiri tofauti ya hilo neno.
Yaani na Uviko huu, Dunia inafikiria Chadema na katiba mpya ya Tanzania!
 
Wananchi wa wapi ?mbona Mimi sijahitaji katiba mpya ,unapotoa hoja usijumuishe kila mtanzania ,umemuuliza baba ,mama ,shangazi ,mjomba ,mke, mtoto nk kwamba wanahitaji katiba mpya?
 
Katiba mpya sawa ila “Dunia “?!
Itakuwa tuna tafsiri tofauti ya hilo neno.
Yaani na Uviko huu, Dunia inafikiria Chadema na katiba mpya ya Tanzania!
Tumepata taarifa kuwa wawikilishi 4 kutoka UN wanategemea kuhudhuria kesi hiyo.

Bado kwa maoni yako hiyo haijawa Dunia?
 
Tumepata taarifa kuwa wawikilishi 4 kutoka UN wanategemea kuhudhuria kesi hiyo.

Bado kwa maoni yako hiyo haijawa Dunia?
Nenda huko Duniani uone sehemu nyingine ilivyoshida kuwapata watu wanaoijua nchi Tanzania na mahali ilipo. Nimeelewa point yako ila chumvi ilizidi kidogo.
 
Wakati mwingine tutakapoamua kuandika katiba mpya tume ya katiba iundwe na wataalamu tu wa katiba na sheria wenye umri kuanzia miaka 45 kutoka ndani na nchi za mbali zilizo na demokrasia ya juu.

Watu aina ya Polepole na Bashite wasihusike kuandika katiba tunayotegemea itatupeleka miaka 100 mbele. Tutafute magenius wa katiba na sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…