Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan kuzaliwa mchanganyiko huwa kuna karaha sana
Du Wala sio kosa lao jamani.wamejikuta tuMmh hata sitoi pole maana watoto wa nje nawachukia sana,michepuko inaharibu familia za watu
mwaga tu mkuu unitag nione huko kwengine tufarajiane nshapoteza ndugu wawil mmoja kajinyoga na wa pili kifo chake kimejaa utata kilichoniuma mm ni mazish yao kugharimu pesa nying zaid ya hata msaaada walioutaka wakiwa haihili uliloongea hapa ni jambo la kawaida..pambana..tukikueleza side zetu huu uzi utafuta
kuzaliwa one family kuna afadhali ww sio nje ni balaa la kufa mtuHayo mambo sio ya famlia zilizozaa nje tu
Hata familia zenye watoto wote baba. Mmoja mama mmoja hayo mambo yapo
Tunafamilia ya watto kumi ila tunaishi kama maadui vile
Dada unakoelekea utaolewa kizembe sana.habar wadau embu waza hii kwanza umezaliwaa kwenye familia ya nje na hio familia ya nje ina familia za nje mmmmh apo siongei sn jiongeze mwenyewe
Alafu baba na mama yko na wao pia watoto wa nje ambazo zina familia za nje yaan ni maelezo tu hawa wameshare baba hawa wameshare mama
Famiia imejaa roho za kibinafsi chuki na kucheka nje tu na kwenye sherehe after that ni matus asubuh had jion
braza mkubwa ambae baba anamuamin sn ana mama yke na kwake kazaliwa peke yke jamaa anabond na mding yaan awez fanya kitu bila kumshirikisha yaan ili project zako ziende au upate msaada kwa mding lazima iwepo sain yke afu jamaa ana roho ngumu sasa na anajiona bora kiasi anajiita MUNGU na pesa ameshapata nying tu upo tayar kukununulia bia kret zima na kitimoto juu lakin ukimuomba nauli anakupa buku tu tena kwa dharau na ukipeleka project zko kwa mding lazima azikate yy ndio yy mding ata umwambie nn akuelewi
mding ana pesa nying tu ila neno sina pesa ndio salamu na ata akipata hakukumbuki wala nn upo busy na nyumba kubwa na mbaya zaid huko kuna watoto kibao apo sasa
huku upande wa maza huku wapo wenye uwezo ila hawatak kukusaidia wakiamin baba yako anazo mmmh neno be patience ndio salamu
maza nae ana watoto wengine ambao baba zao sijui wako wapi hata sijawah kuwafuatilia mm kila akipewa pesa na mding hakupi anawapa wao kisa ni watoto wa kiume ww kidume unq koromero !!!!!
afu kuna tetesi step mazq ni mtata upo vzr kwenye mambo ya kina mshara jr eeeeeh afu mzee ana pesa sasa kiasi hata kina ba mdogo wanamuogopa hqta wazee wa kijiji wanamuogopa afu upo vzr kwenye kuchangia mirad kijijini kwao huku wanae wanakufa njaa dunia ina mambooooooooo
mwandiko mnisamehe
mm nakuelewa ila nielewe kitu kimoja mbona baadh wanapewa support na kutambiana inakuaje hii apa nina mqwazo kufutq namba zaoMwisho wa siku tafuta vya kwako, ndugu kama wewe wa kujiliza liza kila jambo mpo sana, dunia ya kibepari hii ukisubiri kupewa utasubiri sana!
Et wana uwezo, sasa wewe umekatazwa kuwa na uwezo?[emoji1]
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app