Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
Darwin alikuwa na akili sana toka babu yake alikuwa botanist wkati baba yake akiwa medical doctor , alipata elim nzuri pia alitembea sehemu mbali mbali za ulimwengu alikuwa ni mmoja wa binadamu wenye akili tuu.Mkuu Darwin amezaliwa katika masonic family. Na ujanja wote kaupata kutoka kwa babu yake Erasmus Darwin. Huyu mzee alikuwa superintelligent. Alikuwa ni philosopher, poet, scientist na physician. Huyu ni moja ya watu waliokuwa Most informed karne ya 18. Huyu ananafasi kubwa sana katika Evolution na kile alichokiandika darwin alipokuwa kisiwani galapagos. Kabla ya kuhamia mji wa Derby 1788 alijiunga na freemasonry katika Lodge ya Cannonage kilwinning. Watoto wa huyu mzee yaani baba zake darwin 1804,1807,1808 walijiunga katika Lodge iitwayo Tryian. Huwezi kumtenga darwin na hii kitu.
Hebu fanya hiyo homework maana hili tumewahi kulijadili humu pia.
Nyundo nimekupa mfano tu Lakini Kuna maelfu ya ooparts ambazo zimejaribiwa na vyuo vingi na lab zinazoaminika. Fanya utafiti. Muda haitoshi ningekuwekea source za kutosha kutoka kwenye most respected and top University Labs na comments za HODS.
Hahahahaa naona umeleta Quote ya mzee wa upako kuhusu Dini na Location. Huo ni mtazamo wako mkuu sio lazima uwe sahihi. Paul alikuwa farisayo sugu Tena akida wa kikosi kinachosaka na kuua wafuasi wa yesu. Lakini alibadilika katikati ya mazingira yasiyowezekana.
Karibu sana.
Mzee wa upako yuko right ungezaliwa pakistan leo hii ungekuwa uko ISIS unakata vichwa vya wakristo. Kwanza huwa namkubal sana huyo jamaa ni muelewa
Lakini ni vema tungebaki na miaka hii hii bilion 4 ambayo ina include hadi yako ya 6000, hebu tuitendee haki sayansi