Ukienda kwenye fossils kama ushahidi wa miaka mamillioni ya macro evolution na natural selection pmj na orgin of species huko pia ninachakusema kidogo. Nakupongeza kwa maoni yako kuhusu Darwin ambaye babu yake aliyemlea alikuwa freemasonry high level which opens doughts hata kwa elimu yake iliyokinyume na elimu ya Uumbaji wa Mungu.
Fossils.
Hadi sasa dunia ya watafiti wa paleontology wanachanganyikiwa. Maana kila kukicha wanafukua vitu vinavyopingana na ukweli wao dunia Ina mamillioni ya miaka. Modern darwinism inajifichia hapo hapo. Labda mtaalam wa archeology
Apollo aje atoe pia inputs zake.
Kuna mamia ya vitu duniani ambayo yakipimwa kwa radiocarbon au radiometric yanakutwa na mamillioni ya miaka ukipasua unakutana na kitu ambacho ni cha miaka ya maelfu.
Unajua wanasemaje wanapoona hivyo?
1:yawezekana alliens walikuja duniani miaka hiyo ya mamillioni /mabillioni wakisahau
2:Wengine wanachanganyikiwa na kusema haiwezekani wanabishana na ageometer zao.
3:wengine wanarahisisha na kusema this spacemen is contaminated. Mfano mtu anakutana na fossil ya samaki aliyekuwa katikati ya kujifungua au konokono ni Imani na sio sayansi itakayokusukuma kukubaliana na konokono huyo kuwa na mamillioni ya miaka.
Mfano nimekuwekea attachment ya nyundo ya chuma ilivyokuwa katikati ya jiwe lenye miaka Million 100.jamaa wakasingizia itakuwa ikiwekwa na aliens yote haya ni kumprotect darwin na vitu hivi maelfu vinafichwa kupoteza ushahidi lengo ni Kupinga Creation pia.
Yako mengi tu,
Plug ya switch hizi za karne ya 19 au 20 zimekutwa kwenye jiwe la miaka 100,000
Genetic disk ilikutwa kolombia yenye taarifa nyingi za miaka ya karibuni lkn vipimo vinasema inamiaka 6000
Chombo kizuri cha shaba chenye urembo maua na kila aina ya nakshi za kisasa kilikuwa Marekani wakati jamaa wanachimba msingi wa nyumba July 1851. Kilipopimwa na hata kikipimwa kwa vipimio hivyo vinavyokusupport kilikutwa na miaka Million nyingi tu.
Yaani ni vitu vingi sana na vinapatikana daily karibu kila nchi duniani vyenye kuwepo miaka michache BC au AC Lakini vipimo vinaonyesha ni Millions of years. Na vingine wanavisafirisha kweny vyuo makumi Asia America ulaya kupima kwa kurudiarudia kila chuo Lakini vinapingana na hizo mamillioni wanaamua either kuvificha au kama nilivyosema hapo juu.
Yote hii ni kutetea uhai wa darwinism, bingbang chemical evolutions orgin of species. Ndio maana nasema inahitaji imani sio sayansi kuamini macroevolution and related stuffs. Kuhusu hiki
ninachokisema vimepewa jina Out of Place artifacts.
Ukiangalia kwa jicho la Tatu ni kama Dunia inalazimishwa kuamini evolution zaidi na kwa nguvu.kwa madhaifu haya makubwa na mengi mengi sana mwaka 1981 US walipendekeza "balance of creation science and evolution science act" . Ukijua nini na Nani wako nyuma ya evolution na imetapakazwa
karibu kila field of study including entertainment, baadhi ya dini, sports etc utajua kwa nini creations
scientists profs na Drs wanapitia upinzani Mkali sana. Mfano mmoja Physist alikuja na model yake alitumia physics kujustfy creation ilipigwa zengwe na kufanyiwa academic sensorship. Founder wa mri scanner nimeshasema hili apangwa kupewa Nobel prize hadi hatua ya mwisho kwa kutkutambua hizo myth za millions of years na msimamo wake wa kupinga evolution alipigwa zengwe akanyimwa. Akatenga pesa kadhaa na kuandika makala juu ya uozo aliotendewa kwenye magazeti maarufu lakn hakuna aliyemjali. Huyo wa physics alifungua hadi kesi mahakamani na kuna mifano mengi tu. Sasa wafuatiliaji wanajiuliza kama ni sayansi kwa nini watumie fitna, zengwe, indoctrination hasa kwa watoto wasiojitambua kulazimisha hii kitu.
Mkuu nashukuru kwa inputs ila tujifunze na dark side ya hizi mambo.