Dunia ina Umri gani? Mabillioni, Mamillioni, Malaki au Maelfu?

Dunia ina Umri gani? Mabillioni, Mamillioni, Malaki au Maelfu?

Micro + Millions of years= evolution.
Micro - Millions of Years (Macro) = Death of evolution. Ndio maana nasisitiza Concept ya evolution ni kama Dini ambayo mungu wake ni Millions of Years (TIME) ukiitoa hiyo Hakuna evolution.

Therefore without millions of years (unproved time because there is no reliable ageometer with reliable assumptions to accept this).
With Macro evolution tunahitaji Additional of new genes in gene pool ili Mbwa azae Chura mwenye genes za chura which is scientifically and genetically impossible and impractical (Nasisitiza hadi anakufa darwin alikuwa hajui hilo ndio maana wanaoforce wanadanganya additional of genes can appear due to mitosis wakati mitosis inafanya kiumbe kuwa dhaifu kupunguza sio kuongeza genes).

Mifano Michache ya kwa nini EVOLUTIONIST huwa wanapanic wanapokutana na vitu wasivyovipenda au kuwaumbua na kusingizia ni result of contamination. Sasa mfano Diamond is very solid compaund and impible to be contaminated.
Kwa kipimo hichohicho kinachotumika kuqualify hizo MILLIONS OF YEARS za evolution ili itokee (Macro) ndicho kimepima na kugundua Diamond zimetokea Miaka MILLIONI 900 iliyopita. Lakini Ukweli ni kwamba Diamond zinatokea haraka sana na kwa Muda mfupi. Mfano Canada ‘kimberlite pipe’ Kuna kipande cha Mti kilikutwa kwenye mwamba wenye diamond na ukiangalia scientific formation of diamond zinaprove wrong hivyo vipimo.
LEO Kuna makampuni mwengi yanatengeneza diamond kwa masaa na sio tena miaka Million 900 kama evolutionist (Chemical evolutionist) wanavyodai.

Kwa Kipimo hichohicho cha radioactivity concept ukifa wewe kesho keshokutwa tukakupaka majivu na kukuficha pangoni Tukawaita wadau bila kuwaambia umri wako wakupime majibu hayatacheza mbali na Millioni 4 au 10 Years old.
Mkuu ndio maana nasisitiza Macro Evolution ni kama DIni tu inayoenezwa kwa INDOCRINATION. Ndio maana huwa nawashangaa wanaokomalia vitu hivi huku wakidharau na kuponda mambo mepesi yenye logic zilizowazi kama Creation and design. Hapa hakuna sayansi ila ni Vita dhidi ya Mungu, ni miongoni mwa silaha za shetani kama zilivyotumika russia miaka hiyo na nchi nzima kupotoshwa na itikadi zisizo na mashiko.
Ila uamuzi unabaki kwa mtu mmoja mmoja

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vitu vya kujietetea upande wako unavijua lakini evolution huijui asee.

Umri wa dunia unaokubalika ki sayansi ni bilioni 4.5 kama hukubali uufanyie kaz halafu peleka UNESCO halafu wata kwambia.

Kinacho tokea unachanganya kati ya evolution na geology, evolution haiko kwenye geology iko kwenye biology, sasa nilisha kwambia pia kuwa evolution of man inahitaji miaka milioni 20-100 tuu, ikienda mbali ni milion chini ya 400, ambayo hata kama kuna mabishano ya namna gani geology hauja wahi ku argue dunia ina miaka 6000, hata wakio kuwa wabishi na wanavifaa primtive wali pata age ya dunia kuanzia miaka 100,000-150,000,000. Kwa huyo simply creationist na miaka yao 6000 hakuna anaye waunga mkono kwenye sayansi zaidi wao kujisapot wenyewe.

Evolution haijawahi kusema mbwa ata zaa chura. Evolution haijawahi sema binadamu alikuwa nyani. Evolution inasema binadamu na nyani wana ancestor mmoja kama vile, chui na simba na paka wakivo na ancestor mmoja. Evolution inahitaji vitu kadhaa itokee.

evolutuion haitokei kwenye single line ya kizazi kimoja hapana, ni mkusanyiko wa watu wengi ambao watabadilika kadri watakavo kuwa wana kutana au kutengana na kadir mazngira yatakavo wabadilisha, watabadilika kutokana na natural selection na kuongezeka kwa miaka kuta wadistingush karibu kwenye kila kitu, basi pia accidents za kimazingira na za ki muingiliano zina toa population zenye characters tofaut na original ancestry lines. Hivo chura na mbwa hawaja share common ancestor wala population zao hazijawahi kuingiliana. Ila mbwa na fisi wana share common ancestry.

Kwa hiyo, evolution haipo ili kupinga au ku prove uwepo wa Mungu hili pia nisha wahi kwambia sana, unaweza ukaamini evolution ipo na ukawa una amini Mungu yupo. Evolution ina deal tu na orign ya viumbe. Na hata uki prove kuwa evolution si kweli bado haifanyi uwepo wa Mungu uwe ni kweli
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vitu vya kujietetea upande wako unavijua lakini evolution huijui asee.

Umri wa dunia unaokubalika ki sayansi ni bilioni 4.5 kama hukubali uufanyie kaz halafu peleka UNESCO halafu wata kwambia.

Kinacho tokea unachanganya kati ya evolution na geology, evolution haiko kwenye geology iko kwenye biology, sasa nilisha kwambia pia kuwa evolution of man inahitaji miaka milioni 20-100 tuu, ikienda mbali ni milion chini ya 400, ambayo hata kama kuna mabishano ya namna gani geology hauja wahi ku argue dunia ina miaka 6000, hata wakio kuwa wabishi na wanavifaa primtive wali pata age ya dunia kuanzia miaka 100,000-150,000,000. Kwa huyo simply creationist na miaka yao 6000 hakuna anaye waunga mkono kwenye sayansi zaidi wao kujisapot wenyewe.

Evolution haijawahi kusema mbwa ata zaa chura. Evolution haijawahi sema binadamu alikuwa nyani. Evolution inasema binadamu na nyani wana ancestor mmoja kama vile, chui na simba na paka wakivo na ancestor mmoja. Evolution inahitaji vitu kadhaa itokee.

evolutuion haitokei kwenye single line ya kizazi kimoja hapana, ni mkusanyiko wa watu wengi ambao watabadilika kadri watakavo kuwa wana kutana au kutengana na kadir mazngira yatakavo wabadilisha, watabadilika kutokana na natural selection na kuongezeka kwa miaka kuta wadistingush karibu kwenye kila kitu, basi pia accidents za kimazingira na za ki muingiliano zina toa population zenye characters tofaut na original ancestry lines. Hivo chura na mbwa hawaja share common ancestor wala population zao hazijawahi kuingiliana. Ila mbwa na fisi wana share common ancestry.

Kwa hiyo, evolution haipo ili kupinga au ku prove uwepo wa Mungu hili pia nisha wahi kwambia sana, unaweza ukaamini evolution ipo na ukawa una amini Mungu yupo. Evolution ina deal tu na orign ya viumbe. Na hata uki prove kuwa evolution si kweli bado haifanyi uwepo wa Mungu uwe ni kweli
Huko unakong'ang'ania ni kipande kimoja cha evolution ndio maana unachanganyikiwa. Wenzako wanaotetea hoja hii wameshatoka huko pia maana hapo huwa wanafeli mapema sana. Evolution narudia modern evolution ni multidisplinary. Hicho kipindi kimoja macro organism hautaweza kusimama popote duniani ukamshawishi mtu. Ni Sawa na kumshawishi mtu kuhusu uumbaji kwa kutumia agano jipya tu Bila kurudi mwanzo. Pia ukiona mtu anaamini evolution hiyo uliyojipin ya biology wakati huohuo anaamini uwepo wa Mungu anahitaji kusaidiwa sio bure.


Ushauri funga vitabu vyako vya biology BS etc njoo duniani ujifunze evolution. Hako ni kakipengere kidogo mno. Unapaswa kuanzia evolution of universe ndio uje hapo ulipojifichia. Ni Sawa na mtu kuisha Kando ya bwawa akiamini ndio Chanzo kikubwa cha maji duniani kumbe Kuna mabahari ambayo ajawahi kuyaona. Mkuu nitarudi Kuku jibu
 
Huko unakong'ang'ania ni kipande kimoja cha evolution ndio maana unachanganyikiwa. Wenzako wanaotetea hoja hii wameshatoka huko pia maana hapo huwa wanafeli mapema sana. Evolution narudia modern evolution ni multidisplinary. Hicho kipindi kimoja macro organism hautaweza kusimama popote duniani ukamshawishi mtu. Ni Sawa na kumshawishi mtu kuhusu uumbaji kwa kutumia agano jipya tu Bila kurudi mwanzo. Pia ukiona mtu anaamini evolution hiyo uliyojipin ya biology wakati huohuo anaamini uwepo wa Mungu anahitaji kusaidiwa sio bure.


Ushauri funga vitabu vyako vya biology BS etc njoo duniani ujifunze evolution. Hako ni kakipengere kidogo mno. Unapaswa kuanzia evolution of universe ndio uje hapo ulipojifichia. Ni Sawa na mtu kuisha Kando ya bwawa akiamini ndio Chanzo kikubwa cha maji duniani kumbe Kuna mabahari ambayo ajawahi kuyaona. Mkuu nitarudi Kuku jibu

Mi nahisi wewe ndio unaitetea dini hadi unachanganyikiwa, evolution kama kitu kingine chochote lazima itumie mult diacpline ili kuji imarisha, ndio maana hata claims za kutetea dini zina involve sayansi, historia, archeology na hata physics na kemia.
Sasa evolution ni scientifc theory, hivo inaweza kuwa applied kwa namna mbali mbali, originaly ipo kwenye biology lakini inategemea vitu vingi sana ikiwemo geology, history, physics, geography. Paleontogy.

Lakini huwezi ukasema huyu ni evolutionary geologist (na wewe ndio ulicho kuwa unafanya). Ila unaweza kumuita evolutionary biologist, kwa sababu evolution ni biology discpline. Ila inaweza concept yake kuchukuliwa na kusoma hata evolution of buildings (kama unaweza lakini) au evolution of public Administration. Au evolution of mountains, au evolution of rocks.

Narudia, tofautisha dini na Mungu, evolution inapinga idea ya wale wanao amini uumbaji(wanadini), tunarudi pale pale, concept ya mungu ni dependent variable, ila dini ndio independent variable ndio maana kuna hata dini ya shetani. Mungu ana weza akawa yupo na akawa hakuumba vile vile. Evolution has nothing to do with God. Naweza nikaamini Mungu yupo ila nikasema biblia haina maana. Ndio maana wewe na kwambia dini imekukaa sana hadi unachanganya mambo. Ukitulia uta elewa

*mi nakubali siyo kwamba najua kila kitu, everyday najitahidi kujifunza na hata wewe fanya hivo kwani bado vingi hujui.
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
vitu vya kujietetea upande wako unavijua lakini evolution huijui asee.

Umri wa dunia unaokubalika ki sayansi ni bilioni 4.5 kama hukubali uufanyie kaz halafu peleka UNESCO halafu wata kwambia.

Kinacho tokea unachanganya kati ya evolution na geology, evolution haiko kwenye geology iko kwenye biology, sasa nilisha kwambia pia kuwa evolution of man inahitaji miaka milioni 20-100 tuu, ikienda mbali ni milion chini ya 400, ambayo hata kama kuna mabishano ya namna gani geology hauja wahi ku argue dunia ina miaka 6000, hata wakio kuwa wabishi na wanavifaa primtive wali pata age ya dunia kuanzia miaka 100,000-150,000,000. Kwa huyo simply creationist na miaka yao 6000 hakuna anaye waunga mkono kwenye sayansi zaidi wao kujisapot wenyewe.

Evolution haijawahi kusema mbwa ata zaa chura. Evolution haijawahi sema binadamu alikuwa nyani. Evolution inasema binadamu na nyani wana ancestor mmoja kama vile, chui na simba na paka wakivo na ancestor mmoja. Evolution inahitaji vitu kadhaa itokee.

evolutuion haitokei kwenye single line ya kizazi kimoja hapana, ni mkusanyiko wa watu wengi ambao watabadilika kadri watakavo kuwa wana kutana au kutengana na kadir mazngira yatakavo wabadilisha, watabadilika kutokana na natural selection na kuongezeka kwa miaka kuta wadistingush karibu kwenye kila kitu, basi pia accidents za kimazingira na za ki muingiliano zina toa population zenye characters tofaut na original ancestry lines. Hivo chura na mbwa hawaja share common ancestor wala population zao hazijawahi kuingiliana. Ila mbwa na fisi wana share common ancestry.

Kwa hiyo, evolution haipo ili kupinga au ku prove uwepo wa Mungu hili pia nisha wahi kwambia sana, unaweza ukaamini evolution ipo na ukawa una amini Mungu yupo. Evolution ina deal tu na orign ya viumbe. Na hata uki prove kuwa evolution si kweli bado haifanyi uwepo wa Mungu uwe ni kweli

Nimesema hivyo na wewe unazungumzia Common ancestor, kwa sababu moja tu Hakuna Ushahidi wa kuridhisha kuhusu uhalisia wa MACRO EVOLUTION nje ya Hiyo unayoiita Geological Years (Millions of years). Mwaka 1927 ndio mara ya kwanza hii MACRO EVOLUTION iliibuliwa na huyu Mrusi Philipchenko. Kwa nini? Baada ya Mendel(Greationist) kugundua Genetics na Kumzima kabisa Darwin soma (Eclipse of Darwinism) ilibidi itafutwe njia ya kumuokoa darwin vinginevyo hata wewe ungeishia maelezo yako kwenye MICROEVOLUTION tu. Ndio maana na wewe unapata nguvu ya kusema Ilianza Micro then MAcro.
evolutionvines.jpg

Evolution haijawahi kusema mbwa ata zaa chura
Evolution haijawahi sema binadamu alikuwa nyani

Kwa mtiririko hapo juu na kama kweli haishindikani kwa miaka millioni Miambili Ikawezekana.
Pili NIASISITIZA Evolution hasahasa MACRO ni UNSCIENTIFIC ni Inahitaji imani HIYO MIAKA MILLIONI inaipa nguvu ya Kutokuwa TESTED/EXPERIMENTED so Kinachobaki ni Kuamini tu kama, na Kiukweli DEATH of EVOLUTION ilikuwa PALE GENETIC SCIENCE ILIPOGUNDULIKA HUKU WANAFORCE TU.


Mkuu hapa kuna ujanja ujanja mwingi sana, Hebu toa maoni yako
 
Mi nahisi wewe ndio unaitetea dini hadi unachanganyikiwa, evolution kama kitu kingine chochote lazima itumie mult diacpline ili kuji imarisha, ndio maana hata claims za kutetea dini zina involve sayansi, historia, archeology na hata physics na kemia.
Sasa evolution ni scientifc theory, hivo inaweza kuwa applied kwa namna mbali mbali, originaly ipo kwenye biology lakini inategemea vitu vingi sana ikiwemo geology, history, physics, geography. Paleontogy.

Lakini huwezi ukasema huyu ni evolutionary geologist (na wewe ndio ulicho kuwa unafanya). Ila unaweza kumuita evolutionary biologist, kwa sababu evolution ni biology discpline. Ila inaweza concept yake kuchukuliwa na kusoma hata evolution of buildings (kama unaweza lakini) au evolution of public Administration. Au evolution of mountains, au evolution of rocks.

Narudia, tofautisha dini na Mungu, evolution inapinga idea ya wale wanao amini uumbaji(wanadini), tunarudi pale pale, concept ya mungu ni dependent variable, ila dini ndio independent variable ndio maana kuna hata dini ya shetani. Mungu ana weza akawa yupo na akawa hakuumba vile vile. Evolution has nothing to do with God. Naweza nikaamini Mungu yupo ila nikasema biblia haina maana. Ndio maana wewe na kwambia dini imekukaa sana hadi unachanganya mambo. Ukitulia uta elewa

*mi nakubali siyo kwamba najua kila kitu, everyday najitahidi kujifunza na hata wewe fanya hivo kwani bado vingi hujui.
Elimu haina mwisho, Hilo nalikubali mwisho wa elimu ni kifo. Ila inategemea unapata elimu katika mlengo gani.
Kuna katika ulimwengu wa sayansi na hii tunayojadili kwenye ni (Micro na Macro) Micro evolution,Macro evolution,Chemical evollution, Steller/star evolution, Cosmic evolution na Organic evolution. Hizi zote zina uhusiano. hiki ndicho ninachomaanisha simaanishi Field nyingine (physics,geo,geology etc)hazitumii concepts za evolution katika uwepo wake.
Kuhusu kuamini Mungu hayupo PIA NI DINI kama ilivyoamuliwa na mahakama moja huko US, hapa tunaongelea uumbaji na uibukaji. Karibu kwa insights
 
Nimesema hivyo na wewe unazungumzia Common ancestor, kwa sababu moja tu Hakuna Ushahidi wa kuridhisha kuhusu uhalisia wa MACRO EVOLUTION nje ya Hiyo unayoiita Geological Years (Millions of years). Mwaka 1927 ndio mara ya kwanza hii MACRO EVOLUTION iliibuliwa na huyu Mrusi Philipchenko. Kwa nini? Baada ya Mendel(Greationist) kugundua Genetics na Kumzima kabisa Darwin soma (Eclipse of Darwinism) ilibidi itafutwe njia ya kumuokoa darwin vinginevyo hata wewe ungeishia maelezo yako kwenye MICROEVOLUTION tu. Ndio maana na wewe unapata nguvu ya kusema Ilianza Micro then MAcro.
evolutionvines.jpg

Evolution haijawahi kusema mbwa ata zaa chura
Evolution haijawahi sema binadamu alikuwa nyani

Kwa mtiririko hapo juu na kama kweli haishindikani kwa miaka millioni Miambili Ikawezekana.
Pili NIASISITIZA Evolution hasahasa MACRO ni UNSCIENTIFIC ni Inahitaji imani HIYO MIAKA MILLIONI inaipa nguvu ya Kutokuwa TESTED/EXPERIMENTED so Kinachobaki ni Kuamini tu kama, na Kiukweli DEATH of EVOLUTION ilikuwa PALE GENETIC SCIENCE ILIPOGUNDULIKA HUKU WANAFORCE TU.


Mkuu hapa kuna ujanja ujanja mwingi sana, Hebu toa maoni yako
Watu wengi hufikiri kama ulivo sema
Lakini si kweli kwa sababu kazi za mendel ndio zilifanya darwinism ifufuke na si ife.
Mendel alimizidi darwin kitu kimoja, alijua vitu vingi outside of biology. Darwin mwenyewe asinge jifungia kwenye fikra zake tu ange weza kugundua genetics, lakini kuna wataalamu wanadai alikuwa ana poor understanging ya discpline nyingi nje ya Biology.

Na hata darwin mwenyewe alikufa akijua kabisa hakuwa na explanation ya heredety katika natural selection lakini pia alikosea kwanye majaribio yake alitumia sample ndogo wakat Mendel alitumia sample yenye ratio kubwa sana na ndio kilichomsaidia.

Nafikiri hawa watu wana kamilishana kuliko kupingana naishukuru sana Micro kwa kuikamilisha macro..

Kuhusu Millions of years katika macro, hilo jambo si kwa ajili ya kujitetea kwa sababu fossils zinaonesha mabaki mbali mbali ya
Binadamu walikuwa wa mwanzo kabsa Katika proces za mabadiliko.

Nakubali mapungufu yapo ila wanasayansi wana endelea kuyafanyia kazi yatapata ufumbuzi tuu.
 
Elimu haina mwisho, Hilo nalikubali mwisho wa elimu ni kifo. Ila inategemea unapata elimu katika mlengo gani.
Kuna katika ulimwengu wa sayansi na hii tunayojadili kwenye ni (Micro na Macro) Micro evolution,Macro evolution,Chemical evollution, Steller/star evolution, Cosmic evolution na Organic evolution. Hizi zote zina uhusiano. hiki ndicho ninachomaanisha simaanishi Field nyingine (physics,geo,geology etc)hazitumii concepts za evolution katika uwepo wake.
Kuhusu kuamini Mungu hayupo PIA NI DINI kama ilivyoamuliwa na mahakama moja huko US, hapa tunaongelea uumbaji na uibukaji. Karibu kwa insights

Nimekusoma kwenye concpets hapo tayari.

Hapana mahakama ya marekani haikuwa sahihi, atheism ina some traits of udini, ila ina fall short ya kuwa dini. Its actualy a just disbelief
 
Watu wengi hufikiri kama ulivo sema
Lakini si kweli kwa sababu kazi za mendel ndio zilifanya darwinism ifufuke na si ife.
Mendel alimizidi darwin kitu kimoja, alijua vitu vingi outside of biology. Darwin mwenyewe asinge jifungia kwenye fikra zake tu ange weza kugundua genetics, lakini kuna wataalamu wanadai alikuwa ana poor understanging ya discpline nyingi nje ya Biology.

Na hata darwin mwenyewe alikufa akijua kabisa hakuwa na explanation ya heredety katika natural selection lakini pia alikosea kwanye majaribio yake alitumia sample ndogo wakat Mendel alitumia sample yenye ratio kubwa sana na ndio kilichomsaidia.

Nafikiri hawa watu wana kamilishana kuliko kupingana naishukuru sana Micro kwa kuikamilisha macro..

Kuhusu Millions of years katika macro, hilo jambo si kwa ajili ya kujitetea kwa sababu fossils zinaonesha mabaki mbali mbali ya
Binadamu walikuwa wa mwanzo kabsa Katika proces za mabadiliko.

Nakubali mapungufu yapo ila wanasayansi wana endelea kuyafanyia kazi yatapata ufumbuzi tuu.
Ukienda kwenye fossils kama ushahidi wa miaka mamillioni ya macro evolution na natural selection pmj na orgin of species huko pia ninachakusema kidogo. Nakupongeza kwa maoni yako kuhusu Darwin ambaye babu yake aliyemlea alikuwa freemasonry high level which opens doughts hata kwa elimu yake iliyokinyume na elimu ya Uumbaji wa Mungu.
Fossils.
Hadi sasa dunia ya watafiti wa paleontology wanachanganyikiwa. Maana kila kukicha wanafukua vitu vinavyopingana na ukweli wao dunia Ina mamillioni ya miaka. Modern darwinism inajifichia hapo hapo. Labda mtaalam wa archeology Apollo aje atoe pia inputs zake.
Kuna mamia ya vitu duniani ambayo yakipimwa kwa radiocarbon au radiometric yanakutwa na mamillioni ya miaka ukipasua unakutana na kitu ambacho ni cha miaka ya maelfu.
Unajua wanasemaje wanapoona hivyo?
1:yawezekana alliens walikuja duniani miaka hiyo ya mamillioni /mabillioni wakisahau
2:Wengine wanachanganyikiwa na kusema haiwezekani wanabishana na ageometer zao.
3:wengine wanarahisisha na kusema this spacemen is contaminated. Mfano mtu anakutana na fossil ya samaki aliyekuwa katikati ya kujifungua au konokono ni Imani na sio sayansi itakayokusukuma kukubaliana na konokono huyo kuwa na mamillioni ya miaka.

Mfano nimekuwekea attachment ya nyundo ya chuma ilivyokuwa katikati ya jiwe lenye miaka Million 100.jamaa wakasingizia itakuwa ikiwekwa na aliens yote haya ni kumprotect darwin na vitu hivi maelfu vinafichwa kupoteza ushahidi lengo ni Kupinga Creation pia.

Yako mengi tu,
Plug ya switch hizi za karne ya 19 au 20 zimekutwa kwenye jiwe la miaka 100,000
Genetic disk ilikutwa kolombia yenye taarifa nyingi za miaka ya karibuni lkn vipimo vinasema inamiaka 6000
Chombo kizuri cha shaba chenye urembo maua na kila aina ya nakshi za kisasa kilikuwa Marekani wakati jamaa wanachimba msingi wa nyumba July 1851. Kilipopimwa na hata kikipimwa kwa vipimio hivyo vinavyokusupport kilikutwa na miaka Million nyingi tu.

Yaani ni vitu vingi sana na vinapatikana daily karibu kila nchi duniani vyenye kuwepo miaka michache BC au AC Lakini vipimo vinaonyesha ni Millions of years. Na vingine wanavisafirisha kweny vyuo makumi Asia America ulaya kupima kwa kurudiarudia kila chuo Lakini vinapingana na hizo mamillioni wanaamua either kuvificha au kama nilivyosema hapo juu.
Yote hii ni kutetea uhai wa darwinism, bingbang chemical evolutions orgin of species. Ndio maana nasema inahitaji imani sio sayansi kuamini macroevolution and related stuffs. Kuhusu hiki
ninachokisema vimepewa jina Out of Place artifacts.

Ukiangalia kwa jicho la Tatu ni kama Dunia inalazimishwa kuamini evolution zaidi na kwa nguvu.kwa madhaifu haya makubwa na mengi mengi sana mwaka 1981 US walipendekeza "balance of creation science and evolution science act" . Ukijua nini na Nani wako nyuma ya evolution na imetapakazwa
karibu kila field of study including entertainment, baadhi ya dini, sports etc utajua kwa nini creations
scientists profs na Drs wanapitia upinzani Mkali sana. Mfano mmoja Physist alikuja na model yake alitumia physics kujustfy creation ilipigwa zengwe na kufanyiwa academic sensorship. Founder wa mri scanner nimeshasema hili apangwa kupewa Nobel prize hadi hatua ya mwisho kwa kutkutambua hizo myth za millions of years na msimamo wake wa kupinga evolution alipigwa zengwe akanyimwa. Akatenga pesa kadhaa na kuandika makala juu ya uozo aliotendewa kwenye magazeti maarufu lakn hakuna aliyemjali. Huyo wa physics alifungua hadi kesi mahakamani na kuna mifano mengi tu. Sasa wafuatiliaji wanajiuliza kama ni sayansi kwa nini watumie fitna, zengwe, indoctrination hasa kwa watoto wasiojitambua kulazimisha hii kitu.

Mkuu nashukuru kwa inputs ila tujifunze na dark side ya hizi mambo.
 

Attachments

  • oopart7.jpg
    oopart7.jpg
    20.8 KB · Views: 42
Mimi moja kwa moja napingana na CREATIONISM kwa maana haina mantiki.Nasema haina mantiki kwa sababu inatuachia maswali yasiyo na majibu na kutulazimisha tuiamini badala ya kuielewa.Mimi nina maswali yafuatayo kuhusu CREATIONISM.

1.Kama watu wote walitokea sehemu moja(mf.Mashariki ya kati), ni technologia ipi iliyotumika kusambaza watu kutoka mashariki ya kati kwenda maeneo mbalimbalina ya Dunia kama Chile, Madagascar n.k?
walivukaje bahari? Kama walisafiri, kwa nini wasingekuwa wanawasiliana kwa safari za mara kwa mara? Kwa nini kina V.Da Gama, C.Columbus wawe wagunduzi wa maeneo mengine? ina maana waliamini Dunia ni maeneo walimoishi pekee?

2.Kama tumetokana na Baba na Mama mmoja, kwa nini watu tunatofautiana sana? nini sababu na mechanism iliyosababisha wawepo watu weupe na weusi? Miaka 6000 inatosha kuruhusu mabadiliko makubwa tunanoyashuhudia ya tofauti miongoni mwa jamii za watu wa hii Dunia?

3.Kwa nini kuna mabaki ya kale yenye umri zaidi ya miaka milioni? kwa nini hayo mabaki hayapatikani nje ya Africa? Kwa nini fossils zinaonesha 'Life complexity' inaongezeka kutoka matabaka ya chini kuja matabaka ya juu ya miamba?

4.Kwa kuwa Watu waliumbwa kutokana na udongo, ni material yepi yaliyotumika kuumba viumbe wengine kama wanyama na mimea? Mbona watu wanafanana sana na hawa viumbe wengine?

5.Ukowapi ushahidi/mabaki ya bustani ya Eden, masalia/makaburi ya Adam na Eva?
Yako wapi masalia ya safina ya Nuhu? Mbona Palaeontology haioneshi kama mafuriko ya Dunia nzima yamewahi kutokea na kuua watu?

6.Kwa nini vitabu vya dini havizungumzii uwepo wa sayari nyingine?, Kama hizo Sayari ziliumbwa na Mungu, ni za kazi gani?

7.Kama Mungu ndiye muumbaji wa kila kitu, kwa nini aumbe viumbe hatarishi kwa watu wake kama vile; Virus, bacteria na Fungus wenye kusababisha magonjwa na vifo kwa watu? Mungu mwenye upendo wote anaweza kuumba vyanzo vya matatizo kwa watu wake?

8.Kwa nini miili ya viumbe vya Mungu iwe na vestigial organs?

9.Kwa nini Mungu aumbe Dunia yenye majanga asilia kama matetemeko ya nchi, mafuriko, vimbunga na milipuko ya volcano? Intelligent designer anaweza kuumba dunia yenye majanga kama hii ya kwetu?

10.Kwa nini Mungu alisikitika na kuhuzunika baada ya kumuumba Binadamu(Mwa.6:5-8)? Mungu gani mjuzi wa yote afanye jambo la kumsikitisha na kumhuzunisha siku za mbeleni?
hata mi napinga kabisa Creatinism
 
hata mi napinga kabisa Creatinism
Leta reasonable argument kwa nini unakubaliana na hicho unachokubaliananacho ambacho sio creationism. Hasa ukitumie kujibu swali kwa kuprove beyond doughts hizo millions za miaka.

Kazi ya kupinga na kuondoka, au kuuliza maswali badala ya kutoa mujibu ya unachokiamini ni kazi rahisi saana. Unaweza kumprogram hata mdori na kumuembed chip akauliza maswali na kupinga hadi battery iishe maana hafikiri
 
Kwa hyo unatakakusema shetani Ana nguvu kuliko mungu mpaka kafanikiwa kuwashawishi wanasayansi?
 
Kwa hyo unatakakusema shetani Ana nguvu kuliko mungu mpaka kafanikiwa kuwashawishi wanasayansi?
Shetani ni Muongo na Baba wa Uo(Yohana 8:44). Hadi kesho hakuna Ushahidi wowote wa kujitosheleza kisayansi juu ya Orgin of Man and his development. Miaka ya haya matukio ni kutokea Inahitaji imani zaidi ya Sayansi kukubaliana nayo. Ndio maana tunaenda mbali na kusema hapa ni sawa na Dini iliyowekwa kupingana na Uumbaji. Wanasayansi wapo aina nyingi Wanaoamini Miaka 6000 lkn kwa sababu vitu vyote vipo katika Billions wanatumia ila wanajua wanachokifanya, wapo wasiojali iwe Billioni au la, Wapo wanaokomalia Mamillioni, Na kuna kundi kubwa linalopingana na UUmbaji na dini, sasa kwa gharama yoyote hata ikibidi kuficha ushahidi au kulob mifumo ili Dini isinyae evolution ishamiri. Pili kuna dini ambazo zinakomalia kusambaza na kutambua Evolution kwa speed japo Bibilia inapingana nayo.

Lakini pia sio kweli kwamba watu engi wanakubaliana nayo kama inavyofundishwa. POLL iliyofanywa 2013 huko US vitu hivi vilikoshamili na PEW RESEARCH CENTER SURVEY,
33% waliikataa Evolution kabisa.
60% waliikubali lakini kati ya hiyo 24% walisema hata kama ilitokea lakini Iliongozwa na Supreme Being au kwa maana nyingine It was Impossible to happen by Chance.

Maisha karne ya 21 hii yanaendeshwa na Uchanguzi wa unataka nini na uamini nini.
 
Kitabu cha Mwanzo, nadhani ndicho kitabu kibovu kabisa kwenye Bible.

Hakina logic, ni contradiction mwanzo mwisho.

Kitabu cha mwanzo kinasema kwamba watu waliumbwa baada ya kuumbwa kwa mimea na wanyama,wanyama waliumbwa[Mwa.1:11-24], kisha watu mke na mume wakaumbwa kwa pamoja [Mwa.1:26-31]
Yaani kwenye hizoo nukuu, Mungu aliumba wanyama na mimea halafu watu wakawa wa mwisho kuumbwa.Kwenye hizo nukuu, Bibilia inasema mwanaume na mwanamke waliumbwa kwa wakati mmoja.

Sehemu nyingine ya kitabu cha Mwanzo inaeleza kwamba mtu aliumbwa kabla ya kuumbwa kwa wanyama.
Kitabu kinasema Mungu almuumba Adam kwanza[Mwa.2:7], halafu mimea ikaoteshwa baada ya kuumbwa kwa Adamu[Mwa.2:8-9].....Halafu wanyama wakaumbwa baada ya kuumbwa kwa Adamu[Mwa.2:18-19]

Halafu Eva akaumbwa mwishoni baada ya kuumbwa kwa Adam, mimea na wanyama[Mwa.2:21-23]

Hivi kweli kitabu chenye mikanganyiko kama hii unaweza kukitumia kama njia ya kujifunza chanzo cha uhai?
Biblia imeandikwa kwa namna tofauti. Kuna mafumbo, methali, riwaya hadithi nk. Kwa wale wataalamu wa uandishi, kuna namna ya Ku andika ambayo inaanza mwisho kuja mwanzo.

Kwa mfano, mwandishi anaweza kuanza uandishi wake kwa kuonyesha flan akiwa anazikwa, kisha akaendelea na uandishi huo kwa kuonyesha mhusika alivyozaliwa, maisha ya utoto wake nk nk. Sasa ukishamwelewa mwandishi alikua anataka nn, huwezi kuuliza swali eti, MBONA MWANDISHI KAJICHANGANYA MHUSIKA AMEKUFA LAKINI YEYE ANATUONESHA YUKO MDOGO ANA MIAKA 10.

Contradiction haipo kwenye biblia, Bali kwenye uelewa wako.
 
Biblia imeandikwa kwa namna tofauti. Kuna mafumbo, methali, riwaya hadithi nk. Kwa wale wataalamu wa uandishi, kuna namna ya Ku andika ambayo inaanza mwisho kuja mwanzo.

Kwa mfano, mwandishi anaweza kuanza uandishi wake kwa kuonyesha flan akiwa anazikwa, kisha akaendelea na uandishi huo kwa kuonyesha mhusika alivyozaliwa, maisha ya utoto wake nk nk. Sasa ukishamwelewa mwandishi alikua anataka nn, huwezi kuuliza swali eti, MBONA MWANDISHI KAJICHANGANYA MHUSIKA AMEKUFA LAKINI YEYE ANATUONESHA YUKO MDOGO ANA MIAKA 10.

Contradiction haipo kwenye biblia, Bali kwenye uelewa wako.
Bibilia ina contradictions! ina contradictions kwa sababu imesheheni dhahania za uongo za watu wa kale.

Kitabu cha Mungu kilitakiwa kuandikwa kwa kutumia lugha nyepesi ya kueleweka kwa watu wake, kiwe na logic na kisheheni mambo ya ukweli.

Yaani kitabu cha Mungu kiandikwe kama riwaya ya Joka la mdimu? haiwezekani.
 
Bibilia ina contradictions! ina contradictions kwa sababu imesheheni dhahania za uongo za watu wa kale.

Kitabu cha Mungu kilitakiwa kuandikwa kwa kutumia lugha nyepesi ya kueleweka kwa watu wake, kiwe na logic na kisheheni mambo ya ukweli.

Yaani kitabu cha Mungu kiandikwe kama riwaya ya Joka la mdimu? haiwezekani.
Lakini huwez kuamua ww kitabu kisicho chako kiandikwe vipi.

Kazi yako ni kujua kimeandikwaje, ili uweze kukielewa.

Kuna nyimbo, methali, mafumbo nk. Wataalamu wa uandishi, wanasema kitabu cha ufunuo kimeandikwa kwa lugha ya mafumbo.

Pia kumbuka hata Yesu mwenyewe alifundisha kwa mafumbo, kwa mifano nk.
 
Asante kwa
changamoto.
Japo kipengele cha kwanza kinakubana wewe zaidi maana kama Mungu aliumba intelligent man kwa case study ya waliojenga mnara na kuchafuliwa lugha na wakasambaa vikundivikundi kwa akili hiyohiyo ya kujenga supertower inashindikana nini kutawanyika kwa mfumo huu.
Pili tupe ubora wa upande unaousimamia. Homo habil wa arusha alitembea kwa mkuu hadi bagamoyo Kisha akatengeneza boti ya kwenda Greenland ili aivolve na kuwa Eskimo.

Tupe na upande wako ili kuwapa wasomaji uzio mpana wa mjadala. Karibu mimi nitatoa mtazamo wangu kwa kina zaidi hapo baadae na kwa nini evolution sio dili
Na Mimi nilitaka nimuulize hivyo hivyo ha ha ha. Asante sana mkuu
 
Bibilia ina contradictions! ina contradictions kwa sababu imesheheni dhahania za uongo za watu wa kale.

Kitabu cha Mungu kilitakiwa kuandikwa kwa kutumia lugha nyepesi ya kueleweka kwa watu wake, kiwe na logic na kisheheni mambo ya ukweli.

Yaani kitabu cha Mungu kiandikwe kama riwaya ya Joka la mdimu? haiwezekani.
Hata kama kingeandikwa page mbili bado watu kama kuelewa wangegoma wangegoma tu, Hakuna excuse ya ugumu. Bado Mungu alikuwa nao bega kwa bega tena akiongewa wanasikia lakini waliasi na kuamini sanamu.
Mungu anasema Hata angetuma Maraika waje wakusummarizie kwa ufupi haya unayobishia Bado ungegoma kama umeamua.
ndio maana tunaandika sio ili urainike na kuelewa ili uamini bali Ili iwe ushuhuda siku utakapotakiwa kujibu, au akiba siku ukiamua kuamini. Vinginevye mkuu wewe endelea na utaratibu wako tu hakuna tatizo.
 
Lakini huwez kuamua ww kitabu kisicho chako kiandikwe vipi.

Kazi yako ni kujua kimeandikwaje, ili uweze kukielewa.

Kuna nyimbo, methali, mafumbo nk. Wataalamu wa uandishi, wanasema kitabu cha ufunuo kimeandikwa kwa lugha ya mafumbo.

Pia kumbuka hata Yesu mwenyewe alifundisha kwa mafumbo, kwa mifano nk.
Kwa nini Mungu awafumbie watu wake? anaficha nini?

Kwa nini Mungu asingetuumba na uelewa juu yake ili tuache kutumia vitabu?.....Mbona yapo mengi kama ngono tunayoyaelewa naturally bila kutumia vitabu?
Yaani clear contradiction unaita fumbo?
 
Hata kama kingeandikwa page mbili bado watu kama kuelewa wangegoma wangegoma tu, Hakuna excuse ya ugumu. Bado Mungu alikuwa nao bega kwa bega tena akiongewa wanasikia lakini waliasi na kuamini sanamu.
Mungu anasema Hata angetuma Maraika waje wakusummarizie kwa ufupi haya unayobishia Bado ungegoma kama umeamua.
ndio maana tunaandika sio ili urainike na kuelewa ili uamini bali Ili iwe ushuhuda siku utakapotakiwa kujibu, au akiba siku ukiamua kuamini. Vinginevye mkuu wewe endelea na utaratibu wako tu hakuna tatizo.
Kwa nini Mungu anategemea vitabu kujifunua kwetu? Kwa nini Mungu asingetuumba tukiwa na uelewa juu yake ili tusivitumie hivi vitabu vyenye contradictions?......Mbona hatutumii vitabu kujifunza mambo ya asili kama kujamiiana?....ina maana Mungu ni dhana pandikizi si ndiyo?
 
Back
Top Bottom