Dunia ina Umri gani? Mabillioni, Mamillioni, Malaki au Maelfu?

Dunia ina Umri gani? Mabillioni, Mamillioni, Malaki au Maelfu?

Wmap na COBE satellites ilishabithitisha umri wa miaka wa dunia ni 4 bil na universe ni zaidi ya miaka 13~14 bil kilichokuwa kinaangaliwa ni zile background radiation ambazo ni microwave zilizo dormant na no very tiny ambapo wmap pia ndio ilionyesha dark matter, dark energy
Wilkinson Microwave Anisotropy Probe (WMAP)
Kwa nini unasema hii method ipo weak.
Unajua maana ya "uthibitisho" jombaa?

Binadamu tangu lini akaweza kuthibitisha chochote?

Jaribu kurudia ulichosoma kisha utumie nenostahiki kwenye hili bango lako.....

Hakuna ambacho binadamu anaweza kuthibitisha bali tunaweza kutoa ushahidi,ushahidi unapingika lakini uthibitisho haupingiki....
 
MSEZA MKULU
Nionavo mimi hao creationist hawana sana sababu ya kujua umri wa dunia, kwani wao imani yao tuu ni Mungu ndio aliiumba. Halafu hawanaga uthibitisho, wanapigia mahesabu ya kwenye bible tu.
Kwa taarifa yako tu ni kwamba hakuna,narudia tena hakuna ambaye ameshatoa uthibitisho wa chochote,binadamu hatuna uwezo huo asilani....

Kila kitu ni imani,bila imani huwezi kuishi,bila imani maisha yanasimama.Huwezi hata kutembea bila imani kwasababu unapopiga hatua huna uhakika kama ardhi unayoikanyaga itakuwepo,kwa hiyo fahamu kwanza unachokihitaji ni nini kabla hujakihitaji.....
Ki ujumla wana sayansi wote wana amini kuwa dunia ina miaka bilioni 4.5 lakini pia umri wa dunia uko subjected to changes, darwin alifikiri dunia ina miaka milion 20, walikuja watu wa vipimo wakaanzia milioni 70, wkaja millioni 100, na kuendelea mpaka hapo kwenye bilion 4. Ushahid ukipatikana kuwa ni zaidi nayo itakuwa poa.
Hahahaaaaaa......

Kumbe wanasayansi nao wanaamini siyo? Sasa kwanini mnaona nongwa kwa watu wa dini kuamini?
Kwangu mimi sioni haja sana ya kujua ulimwengu una mda gani, kasoro hao wa 6000 hapana ni miaka michche sanaa hiyo.
Ni midogo kwa kipimo kipi?

Kwanini unaona ni midogo?
Evolution haihitaji miaka yote hiyo ili kuthibitshwa ina hitaj miaka kama milion 10-20 kwa binadamu, kwa viumbe wengine at least miaka milion 100. Kwa hiyo evolutionists hawahusiani na hilo , ila ni wana sayansi woote.
Kwa lugha rahisi ni kwamba evolution haithibitishiki kabisa maana hakuna binadamu ambaye ataweza kuishi miaka yote hiyo,hata ukisema kuwa kutakuwa na kupokezana kijiti bado huwezi kuthibitisha kuwa hakutakuwa na "lost of information" kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.....

We are going back to square one,imani.....
Binadamu hakutokana na Sokwe ila ina aminika kuwa binadamu na sokwe walitokana na ancestor mmoja, ambaye ana character zake pia. Yaan binadam na sokwe wanatoka kwenye family tofaut za tree moja.
Ahsante.
Endelea kuamini hivi na sisi tunaamini binadamu aliumbwa na msanifu mwenye uwezo usiopimika.....

Ahsante....
 
Darwin kapotoka wapi!!?
Darwinism haiwezi kukosa mapungufu, na yale ambayo hayajapatiwa ufumbuzi yanaendelea kufanyiwa kazi na ndio sayansi ilivo, kila kizazi kina yachukua yalioyo achwa na kizazi kilichopita na kinaendelea kuchunguza mpaka kufikia suluhisho.
Creationist ni waongo, hawana hata evidence moja na prefer ni waamini watu wa evolution wenye ushahidi kuliko creationist.

Huyo profesa ata kupotosha , jitahidi usome vitabu tuu at least
Nyie mnaoamini katika evolution mna ushahidi [siyo uthibitisho maana huna uwezo wa kuuleta] gani?
 
Huu ni mtihani mwingine. Ila cha msingi ni lazima tujue kuwa;
1. Shetani yupo
2. Shetani anapingana na Mungu
3. Shetani ana nguvu na akili nyingi sana.

Kutokana na hayo, ni rahisi kwa shetani kulazimisha wanasayansi waongee wanachoongea, au kubadilisha ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli. Maswali yapo mengi mnoooo tena mno, lakini hayana majibu. Kukosa majibu hakumaanishi kuwa Mungu hayupo au uumbaji siyo sahihi.

Mimi ninaamini uumbaji kwa kuwa ni neno la Mungu lilioandika.
kama shetani ana akili nyingi sana, na aliumbwa na mungu mwenyewe, kwanini mungu asimuue ili kuepusha maovu anayosababisha kwa binadamu?
 
Unajua maana ya "uthibitisho" jombaa?

Binadamu tangu lini akaweza kuthibitisha chochote?

Jaribu kurudia ulichosoma kisha utumie nenostahiki kwenye hili bango lako.....

Hakuna ambacho binadamu anaweza kuthibitisha bali tunaweza kutoa ushahidi,ushahidi unapingika lakini uthibitisho haupingiki....
Hizo maana ya hayo maneno ndio naona kwako, ila kwenye science vitu vinakuwa na room ya Ku be disapproved kwa observation na experiment mbalimbali mpaka sasa observations mbili za COBE na WMAP zimethibitisha dunia ina 4bil sasa sielewi ni nani ambaye anaweza kuthibitisha kitu tofauti tofauti na binadamu kama ulivyosema.
 
Nyie mnaoamini katika evolution mna ushahidi [siyo uthibitisho maana huna uwezo wa kuuleta] gani?
Nadhani nadhani nimetumia neno evidence, litafsiri kwa kiswahil
Kama maana yake ndio ushahidi haina mbaya.
Masuala lugha tu hayo
 
Kila siku huwa nakuelekeza yet pia huwa hutaki kuelewa.
Hatupingi biblia mstari mmoja , tunapinga biblia kama the whole book kwa tittle iliyo jipa kuwa ni neno la Mungu.
Nyi watu wa imani ya kupinga uwepo wa Mungu mnafurahisha sana,kauli yako ya kukana biblia kuwa kitabu cha Mungu tayari inaonesha kuwa unakubali kuwa kuna Mungu na uwezo wake hivyo kwa namna unavyokitazama kitabu cha Biblia unadhani hakiwezi kuwa ni kitabu cha huyo Mungu maana unaona kinapwaya kwenye uwezo wake. Hapa unajikinza unakosa mrandano kwenye hoja zako mkuu....
1. Hakuna ushahidi kama Mungu yupo
Hiki kihoja huwa nasema kina kuwa na nguvu sana kama utasema "Hakuna Mungu fulani,lets say Mungu wa kwenye Quran maana utaweza kutoa hoja za kupinga uwepo wa mungu huyo lakini siyo kusema hakuna Mungu.Ni ujinga mkubwa kufikiria tu dunia na ulimwengu wote kwa namna ulivyo unaweza kuwepo tu huku ukikataa kabisa kuwa mlango wako pale nyumbani hauwezi kutokea tu bila kutengenezwa na mtu....
2. Hata kama Mungu yupo hakuna ushahidi kuwa Biblia ni kitabu cha Mungu.
Mtu mmoja mwebnye hoja zinazokinzana huwezi kusema yote haya kwenye kurasa moja tu.Either ukane uwepo wa Mungu ili ujenge hoja zako au ukubali uwepo wake halafu ukane biblia siyo kitabu cha Mungu.Tofauti na hapo unakosa mrandano katika hoja zako......
3. Kuna idea nyingi zilizo kwenye biblia either ni myths, au hazijapatiwa ufumbuzi au zinaji contradict humo humo.
Kama zipi mkuu?
4. Biblia hujipa mamlaka yenyewe hakuna kitu chochote nje ya biblia kinacho ipa mamlaka biblia kuwa ni kitabu cha Mungu.
Ukishaanza tu kufikiria kuwa biblia ni kitabu cha Mungu swali lako hili linakosa maana.Ni kwa vipi Mungu aandike kitabu kwa kutumia watu halafu atake au ahitaji verification kutoka nje yake? Huyo atakuwa Mungu namna ipi?

Lakini huwa nakwambia kuwa biblia ina vitabu 72, vimeandikwa na watu zaidi ya 40. hivi huwezi kosa kitu cha ukweli hata kimoja, au huwezi shindwa kuchezesha mistari mbali mbali kwa tafsiri yako ili kukufaa.
Cha kwanza ungeanza kushangaa ni kwanini vitabu vyote hivi vimeandikwa na watu tofauti tofauti lakini vina mrandano na vimeandikwa kwa zaidi ya miaka 2000...

Zamani hizo sayansi ya kutunza data ilikuwepo kwa muda huo kweli? Iliwezekanaje vitabu hivi vikatunzika namna hii?
 
Kwa taarifa yako tu ni kwamba hakuna,narudia tena hakuna ambaye ameshatoa uthibitisho wa chochote,binadamu hatuna uwezo huo asilani....

Kila kitu ni imani,bila imani huwezi kuishi,bila imani maisha yanasimama.Huwezi hata kutembea bila imani kwasababu unapopiga hatua huna uhakika kama ardhi unayoikanyaga itakuwepo,kwa hiyo fahamu kwanza unachokihitaji ni nini kabla hujakihitaji.....

Hahahaaaaaa......

Kumbe wanasayansi nao wanaamini siyo? Sasa kwanini mnaona nongwa kwa watu wa dini kuamini?

Ni midogo kwa kipimo kipi?

Kwanini unaona ni midogo?

Kwa lugha rahisi ni kwamba evolution haithibitishiki kabisa maana hakuna binadamu ambaye ataweza kuishi miaka yote hiyo,hata ukisema kuwa kutakuwa na kupokezana kijiti bado huwezi kuthibitisha kuwa hakutakuwa na "lost of information" kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.....

We are going back to square one,imani.....

Endelea kuamini hivi na sisi tunaamini binadamu aliumbwa na msanifu mwenye uwezo usiopimika.....

Ahsante....

1. Pole, kuna vitu unachanganya, naweza nika amini kitu chochote lakini kwenye sayansi watu wana understand au wana reach conclusion with evidence ndio wana amini, kwa hiyo dunia kuwa na miaka bilion 4 hata kama usipo amini, haiondoi hiyo miaka.

Watu wa dini, hawa amini kwa kutumia njia za kisayansi ila wana hisi tuu na wanakosa hata evidence ya ku sapot madai yao. Kwa hiyo they dont want to understand na kureach conclusion, they just hope what they speculate is true.

2. pima kwa kutumia radiometric dating, utaona kabisa kuna miamba na mabaki ya vitu yana zaidi ya miaka milioni. Kwa hiyo ukisema dunia ina miaka 6000 ni uongo.

3. Sasa Evolution haithibitiki kivipi wakati tayari watu washa thibitisha kwa kutumia fossils na records mbalimbali, mfano mabaki ya Australopithecus aferansis aliishi miaka milioni 3 iliyo pita. Ndio maana inaitwa scientific theory

4. Evolution inachukia millions of years na ndio maana wanasayansi wa kipindi hiki wanaendelea na kuweka records mbali mbali, binadamu watakao ishi miaka milioni 3 kutoka sasa watajua exactly sisi tulikuwaje. Kwa hiyo usjali
 
Hizo maana ya hayo maneno ndio naona kwako, ila kwenye science vitu vinakuwa na room ya Ku be disapproved kwa observation na experiment mbalimbali mpaka sasa observations mbili za COBE na WMAP zimethibitisha dunia ina 4bil sasa sielewi ni nani ambaye anaweza kuthibitisha kitu tofauti tofauti na binadamu kama ulivyosema.
Huwezi hata kuona makosa kwenye maandiko yako kwakuwa hutaki kuyaona au huna uwezo wa kuyaona.....

Kitu ambacho kimethibitishwa kinawezaje kuwa disproved?

Unajua maana ya kuthibitishwa?

Kuna evidence na proof hayo ni maneno yenye maana maalum....
 
1. Pole, kuna vitu unachanganya, naweza nika amini kitu chochote lakini kwenye sayansi watu wana understand au wana reach conclusion with evidence ndio wana amini, kwa hiyo dunia kuwa na miaka bilion 4 hata kama usipo amini, haiondoi hiyo miaka.

Watu wa dini, hawa amini kwa kutumia njia za kisayansi ila wana hisi tuu na wanakosa hata evidence ya ku sapot madai yao. Kwa hiyo they dont want to understand na kureach conclusion, they just hope what they speculate is true.
Sijui kama unaweza kuona shida kubwa kwenye maandiko yako. Sisemi hivyo kwakuwa nataka kusema bali nasema kitu ambacho kipo wazi kabisa.....

Ngojan nikuoneshe shida zilizopo....

Hapo juu umesema kuwa kuwa watu wa sayansi wana understand au wana reach conclution kwa ushahidi,ni ushahidi,ukishakuwa na ushahidi tu tayari kitu au ugunduzi wako una mashaka,kesho unaweza kugundua vinginevyo. Hakuna binadamu aliyeishi miaka bil 1 tu,wewe kuanza kuzungumza mambo ya miaka bil 4 hiyo ni imani kijana....

Kwenye dini siyo kuwa tunahisi kama wewe unavyodhani,ni kinyume chake.tunaamini kwa kuwa na hakika siyo kwa kutokuwa na hakika....
2. pima kwa kutumia radiometric dating, utaona kabisa kuna miamba na mabaki ya vitu yana zaidi ya miaka milioni. Kwa hiyo ukisema dunia ina miaka 6000 ni uongo.
Hoja yangu ya msingi unairuka,hatujawahi kuwa na kipimo chenye uhakika wa 100% kwasababu binadamu hana uwezo huo,wewe hapa unakuja na dhana ya kutumia kifaa kilichotengenezwa na binadamu ambaye ameshindwa hata kuthibitisha kuwa yeye mwenyewe yupo,huoni ni kituko cha mwaka?

Unatumia dhana kupinga dhana kisha unasema dhana moja ni uongo,hii ni kali.....
3. Sasa Evolution haithibitiki kivipi wakati tayari watu washa thibitisha kwa kutumia fossils na records mbalimbali, mfano mabaki ya Australopithecus aferansis aliishi miaka milioni 3 iliyo pita. Ndio maana inaitwa scientific theory
Wewe jamaa bana.Hivi unaelewa ninachokuandikia kweli?

Imethibitishika?
4. Evolution inachukia millions of years na ndio maana wanasayansi wa kipindi hiki wanaendelea na kuweka records mbali mbali, binadamu watakao ishi miaka milioni 3 kutoka sasa watajua exactly sisi tulikuwaje. Kwa hiyo usjali
Aisee.....

Jambo hili matatizo yake nimelisema hapo juu lakini naona unalirudia tu....

Unawezaje kuthibitisha kuwa hakutakuwa na upotevu wowote wa record kutoka kizazi hiki hadi kizazi kitakachokuwepo hata miaka 200 ijayo?

Can you prove that?
 
Nyi watu wa imani ya kupinga uwepo wa Mungu mnafurahisha sana,kauli yako ya kukana biblia kuwa kitabu cha Mungu tayari inaonesha kuwa unakubali kuwa kuna Mungu na uwezo wake hivyo kwa namna unavyokitazama kitabu cha Biblia unadhani hakiwezi kuwa ni kitabu cha huyo Mungu maana unaona kinapwaya kwenye uwezo wake. Hapa unajikinza unakosa mrandano kwenye hoja zako mkuu....

Hiki kihoja huwa nasema kina kuwa na nguvu sana kama utasema "Hakuna Mungu fulani,lets say Mungu wa kwenye Quran maana utaweza kutoa hoja za kupinga uwepo wa mungu huyo lakini siyo kusema hakuna Mungu.Ni ujinga mkubwa kufikiria tu dunia na ulimwengu wote kwa namna ulivyo unaweza kuwepo tu huku ukikataa kabisa kuwa mlango wako pale nyumbani hauwezi kutokea tu bila kutengenezwa na mtu....

Mtu mmoja mwebnye hoja zinazokinzana huwezi kusema yote haya kwenye kurasa moja tu.Either ukane uwepo wa Mungu ili ujenge hoja zako au ukubali uwepo wake halafu ukane biblia siyo kitabu cha Mungu.Tofauti na hapo unakosa mrandano katika hoja zako......

Kama zipi mkuu?

Ukishaanza tu kufikiria kuwa biblia ni kitabu cha Mungu swali lako hili linakosa maana.Ni kwa vipi Mungu aandike kitabu kwa kutumia watu halafu atake au ahitaji verification kutoka nje yake? Huyo atakuwa Mungu namna ipi?


Cha kwanza ungeanza kushangaa ni kwanini vitabu vyote hivi vimeandikwa na watu tofauti tofauti lakini vina mrandano na vimeandikwa kwa zaidi ya miaka 2000...

Zamani hizo sayansi ya kutunza data ilikuwepo kwa muda huo kweli? Iliwezekanaje vitabu hivi vikatunzika namna hii?

Hahah we jamaa kuna shida unayo
Siyo hivi hivi.
Ukisema Mungu hayupo ni dis belief siyo belief, yaani hatuamini kama Mungu yupo ki ujumla.

Nimeweka option ya Mungu kuwepo ili kupanua argument yangu ya kupinga biblia na ndio maana nikasema naamini Mungu hayupo, nikarudi hata kama angekuwepo Biblia bado haiwez kujiattach kuwa ni kitabu cha Mungu simply kwa kuwa Mungu yupo.
Arguement kuu hapa ni biblia, Mungu ni dependent variable ambaye anatumika kama kisingizio cha kuipa mamlaka biblia. Kwa hiyo usichezeshe arguement ya dependent variable(Mungu) kwa kutumia idea ya independent variable (bible).

Arguemnt yangu inasimama, tunapinga biblia kama kitabu kinacho itwa na baadhi ya watu kuwa ni kitabu cha Mungu.
 
Sijui kama unaweza kuona shida kubwa kwenye maandiko yako. Sisemi hivyo kwakuwa nataka kusema bali nasema kitu ambacho kipo wazi kabisa.....

Ngojan nikuoneshe shida zilizopo....

Hapo juu umesema kuwa kuwa watu wa sayansi wana understand au wana reach conclution kwa ushahidi,ni ushahidi,ukishakuwa na ushahidi tu tayari kitu au ugunduzi wako una mashaka,kesho unaweza kugundua vinginevyo. Hakuna binadamu aliyeishi miaka bil 1 tu,wewe kuanza kuzungumza mambo ya miaka bil 4 hiyo ni imani kijana....

Kwenye dini siyo kuwa tunahisi kama wewe unavyodhani,ni kinyume chake.tunaamini kwa kuwa na hakika siyo kwa kutokuwa na hakika....

Hoja yangu ya msingi unairuka,hatujawahi kuwa na kipimo chenye uhakika wa 100% kwasababu binadamu hana uwezo huo,wewe hapa unakuja na dhana ya kutumia kifaa kilichotengenezwa na binadamu ambaye ameshindwa hata kuthibitisha kuwa yeye mwenyewe yupo,huoni ni kituko cha mwaka?

Unatumia dhana kupinga dhana kisha unasema dhana moja ni uongo,hii ni kali.....

Wewe jamaa bana.Hivi unaelewa ninachokuandikia kweli?

Imethibitishika?

Aisee.....

Jambo hili matatizo yake nimelisema hapo juu lakini naona unalirudia tu....

Unawezaje kuthibitisha kuwa hakutakuwa na upotevu wowote wa record kutoka kizazi hiki hadi kizazi kitakachokuwepo hata miaka 200 ijayo?

Can you prove that?

1. Nilisema kuwa watu wa sayansi wana amini hivo, na miaka imekuwa ikichange kwa sababu, kila sku more older records za mabaki ya vitu vya kale zaidi zina gundulika. Kesho naweza mimi nikafanya radio dating nikaiona miamba yenye miaka bilioni 10. Ikithibitika na kukubalika na wana sayansi basi ndio utakuwa umri wa dunia. Sasa ndio maana nikasema umri wa dunia uko subject to changes sio kurudi nyuma ila kwenda mbele zaidi. Kina darwin walianza na miaka milion 20 kwa kuwa ushahidi wao ndio ulishia hapo, watu wakapata evidence mbali mbali mpaka kufikia miaka hiyo bilioni.
Kwa hiyo kwa sasa tume reach conclusion kuwa dunia nina miaka bilion 4, sasa hakuna siku tutarudi nyuma kusema ina miaka 6000 ndio maana nika kwambia hao wa elfu 6 ni waongo. Na umri wa wanasayansi unasimama but with subject to changes, changes of increase in years and not decreasing.

Duniani hakujawahi tokea kitu chochote chenye asilimia mia, ila tuna approximate possibility kubwa ni ipi, na ndio tunaita uthibitisho. Kwa hiyo dini hawaja prove hata kitu ki moja wanacho ongea hao nawatupa huko, watu wa evolution wana kitu walicho ki prove naenda nao, sasa whether unakubali au unakataa proofs za evolution zipo na hazikungoji wewe. Ila kuhusu dini hata nikikataa hakuna kinacho nifunga maana hakuna proof yeyote.

Swali lako la mwisho ni la kijinga, ni sawasawa na kusema unawezaje kusema kesho ipo!!? Na ni sawa na kuomba ushahidi kuwa wiki ijayo gari langu litakuwepo!! Its non sense.
Kwani idea alizo andika Newton au idea za aristotle zenye miaka 2000 zilinifikaje mimi huku bongo!!? Kwa njia hiyo hiyo ya kutunza kumbukumbu ndio nnajua binadamu baada ya miaka milioni 2,watajua tulikuwaje. Kwa taarifa yako Evolution ina date vitu vili yokuwepo miaka million 300 iliyo pita. Kama sisi tumeweza kujua yaliyo kuwepo miaka milioni iliyopita tutashindwaje kuamini kizazi cha kesho kinaweza!!
 
Huwezi hata kuona makosa kwenye maandiko yako kwakuwa hutaki kuyaona au huna uwezo wa kuyaona.....

Kitu ambacho kimethibitishwa kinawezaje kuwa disproved?

Unajua maana ya kuthibitishwa?

Kuna evidence na proof hayo ni maneno yenye maana maalum....
Narudia tena hizo maana ya hayo maneno ndio nayaona kwako, kwenye sayansi kitu chochote kina uwezo wa ku be disapproved kwa kutumioa experiment na observation mbalimbali.
 
Hahaha
Ntajitahidi ku update
Lakini hakuna scientific evidence yeyote wala historia inayo onesha huyo Yusufu alikuwepo, hapo umedanganya.
Lakini sasa, hata kama alikuwepo kweli, kuwepo kwa Yusuph hakumaanishi ndio Mungu yupo.
Kuna maaanisha part ya Kitabu was fictious na part nyingine ilitokea (japo ni very unlikely).
So kitabu kiliandikwa na Mtu ila si Mungu, na Mungu hasemi mahali popote.
Kitabu kiliandkiwa na Mungu kupitia watumishiwake. Isipokuwa sehemu Mbili zile mbao mbili za mawe na Mene mene tekel and peres alipoandikiwa ukutani mfalme wa babeli mjukuu wa Nebuchadnezzer belshaza.
Hizi sio story mkuu.
utawala wa Hykosis uliovamia na kutawala egypt karne ya 1780 hadi 1545BC, moja ya picha zilizochorwa zinafanana na kile kilicho kilichosemwa Mwanzo 41:28 - 30. Tafuta kitabu archeology and bible. kuna findings zenye ushahidi wa kutosha zisizo na shaka juu ya uhalali wa mengi yaliyoandikwa kitabu cha mwanzo.ukitaka nenda ukaangalie kaburi la yusufu israel lililokutwa na mifupa/yusufu kukaushwa kabisa kwa mfumo huohuo walivyokuwa wanakaushwa mafarao na viongozi wa juu wa misri na upanga pembeni. Agizo hili alitoa mwenyewe yusufu kabla hajafa, Siku wanaondoka Musa Alibeba kama jamaa alivyotaka, Musa alivyokufa Yoshua akabeba na kwenda kuzikwa huko kanani/Palestina(according to roman empire)/israel .
 
Sayansi kazi yake ni kudhibitisha maandiko, Biblia imesema dunia ni mduara kabla ya wanasayansi ambao mwanzo waliamini dunia ni bapa kama meza!
 
Hahahaha
Umejitajidi, we jamaa inaonekana umesoma sana kwa hilo nakukubali, ila tatizo ni kuwa umesoma sana vitu vya upande mmoja ambai ni upande wako tuu.

Micro evolution ndio inaikataa macro evolutuion , lakini Macro evolution haijawahi kuikataa micro-evolution.
Tofauti ni time tuu, wakata tunao amini evolution tunaaaimi tulitokea kwa common ancestor, ambayo ni kitu ya ma milioni ya miaka. Hao wenzetu wa micro hawa amini hivo (lakini kumbuka pia kuwa micro pia hawaamini creation) Hapo kuna kitu kinaitwa adaptation na evolution, ndani ya miaka elfu 5 inaweza tokea adaptation lakini si complete evolution.

Kwa hiyo Micro + Millions of years= evolution.

Tuna rudi kwako , kumbuka pale juu nilisema kuwa Micro hawaamini kuhusu common ancestor lakini pia hawajawahi ku endorse idea ya uumbaji, ila ni nyie wanadini mmetafuta chaka ya kisayansi ya kutokea ili muipinge evolution/darwinism.

*Ndio maana na nyie mna ongea vitu havi make sense. eti nafsi tatu za designer mmoja zilishirikiana ku muumba binadamu/watu watatu ndani ya mtu mmoja waliumba binadamu hahaha hivi haingii akilini
Micro + Millions of years= evolution.
Micro - Millions of Years (Macro) = Death of evolution. Ndio maana nasisitiza Concept ya evolution ni kama Dini ambayo mungu wake ni Millions of Years (TIME) ukiitoa hiyo Hakuna evolution.

Therefore without millions of years (unproved time because there is no reliable ageometer with reliable assumptions to accept this).
With Macro evolution tunahitaji Additional of new genes in gene pool ili Mbwa azae Chura mwenye genes za chura which is scientifically and genetically impossible and impractical (Nasisitiza hadi anakufa darwin alikuwa hajui hilo ndio maana wanaoforce wanadanganya additional of genes can appear due to mitosis wakati mitosis inafanya kiumbe kuwa dhaifu kupunguza sio kuongeza genes).

Mifano Michache ya kwa nini EVOLUTIONIST huwa wanapanic wanapokutana na vitu wasivyovipenda au kuwaumbua na kusingizia ni result of contamination. Sasa mfano Diamond is very solid compaund and impible to be contaminated.
Kwa kipimo hichohicho kinachotumika kuqualify hizo MILLIONS OF YEARS za evolution ili itokee (Macro) ndicho kimepima na kugundua Diamond zimetokea Miaka MILLIONI 900 iliyopita. Lakini Ukweli ni kwamba Diamond zinatokea haraka sana na kwa Muda mfupi. Mfano Canada ‘kimberlite pipe’ Kuna kipande cha Mti kilikutwa kwenye mwamba wenye diamond na ukiangalia scientific formation of diamond zinaprove wrong hivyo vipimo.
LEO Kuna makampuni mwengi yanatengeneza diamond kwa masaa na sio tena miaka Million 900 kama evolutionist (Chemical evolutionist) wanavyodai.

Kwa Kipimo hichohicho cha radioactivity concept ukifa wewe kesho keshokutwa tukakupaka majivu na kukuficha pangoni Tukawaita wadau bila kuwaambia umri wako wakupime majibu hayatacheza mbali na Millioni 4 au 10 Years old.
Mkuu ndio maana nasisitiza Macro Evolution ni kama DIni tu inayoenezwa kwa INDOCRINATION. Ndio maana huwa nawashangaa wanaokomalia vitu hivi huku wakidharau na kuponda mambo mepesi yenye logic zilizowazi kama Creation and design. Hapa hakuna sayansi ila ni Vita dhidi ya Mungu, ni miongoni mwa silaha za shetani kama zilivyotumika russia miaka hiyo na nchi nzima kupotoshwa na itikadi zisizo na mashiko.
Ila uamuzi unabaki kwa mtu mmoja mmoja
 
Kitabu kiliandkiwa na Mungu kupitia watumishiwake. Isipokuwa sehemu Mbili zile mbao mbili za mawe na Mene mene tekel and peres alipoandikiwa ukutani mfalme wa babeli mjukuu wa Nebuchadnezzer belshaza.
Hizi sio story mkuu.
utawala wa Hykosis uliovamia na kutawala egypt karne ya 1780 hadi 1545BC, moja ya picha zilizochorwa zinafanana na kile kilicho kilichosemwa Mwanzo 41:28 - 30. Tafuta kitabu archeology and bible. kuna findings zenye ushahidi wa kutosha zisizo na shaka juu ya uhalali wa mengi yaliyoandikwa kitabu cha mwanzo.ukitaka nenda ukaangalie kaburi la yusufu israel lililokutwa na mifupa/yusufu kukaushwa kabisa kwa mfumo huohuo walivyokuwa wanakaushwa mafarao na viongozi wa juu wa misri na upanga pembeni. Agizo hili alitoa mwenyewe yusufu kabla hajafa, Siku wanaondoka Musa Alibeba kama jamaa alivyotaka, Musa alivyokufa Yoshua akabeba na kwenda kuzikwa huko kanani/Palestina(according to roman empire)/israel .

Kwanza hata historia ya egypt haijawahi kutambua uwepo wa waisraeli huko kwao, na sijawahi kupata ushahidi wa hayo unayo ya sema. Nnacho amini huenda aliye andika kitabu cha mwanzo alikuwa tu ana idea ya mambo ya egypt lakin vitu vingi haviko sawa. Na havina evidence, except utaleta tuu chenga za maneno na kuunganisha unganisha matukio hapa.
Na bado hizo stori have nothing to do with them being the words of God.
 
Back
Top Bottom