Dunia ina Umri gani? Mabillioni, Mamillioni, Malaki au Maelfu?

Dunia ina Umri gani? Mabillioni, Mamillioni, Malaki au Maelfu?

Mkuu hapo kwenye namba sita, sayari mfano kama Jupiter bila yenyewe huenda maisha duniani yangekuwa hayapo kabisa, sayari ya Jupiter ndio inayo hold comets belt sababu ya gravity yake kubwa comets, asteroids kubwa haziwezi kufika duniani kwa kuwa Jupiter inazivuta zote chache sana zinafika duniani tena ambazo ni ndogo, mkuu hata bila mwezi duniani maisha yangekuwa utata sana majira ya mwaka yangeweza kubadilika kila baada ya masaa kadhaa hata kilimo tusingefanya, everything is there for a reason
Nina fahamu kuna vitu vilivyopo kwenye Solar system vyenye faida kwenye uhai wa Dunia......Ila mbona havijaelezwa kwenye vitabu vya Dini kama sehemu ya uumbaji?
 
Mabaki ya Adam na Hawa (fossils )yangefukuliwa na kufanyiwa vipimo vya carbon 14 hivyo tungejua umri wao halafu tungejumlisha na siku sita Mungu alizofanya kazi hapo tungejua umri wa dunia kirahisi kabisa.Sasa mabaki hayo ya Adam na Hawa yako wapi?
 
Mabaki ya Adam na Hawa (fossils )yangefukuliwa na kufanyiwa vipimo vya carbon 14 hivyo tungejua umri wao halafu tungejumlisha na siku sita Mungu alizofanya kazi hapo tungejua umri wa dunia kirahisi kabisa.Sasa mabaki hayo ya Adam na Hawa yako wapi?
Adamu na Hawa hatuna haja ya kuwafukua kwasababu umri wao unajulikana kabisa!
 
Kitabu cha Mwanzo, nadhani ndicho kitabu kibovu kabisa kwenye Bible.

Hakina logic, ni contradiction mwanzo mwisho.

Kitabu cha mwanzo kinasema kwamba watu waliumbwa baada ya kuumbwa kwa mimea na wanyama,wanyama waliumbwa[Mwa.1:11-24], kisha watu mke na mume wakaumbwa kwa pamoja [Mwa.1:26-31]
Yaani kwenye hizoo nukuu, Mungu aliumba wanyama na mimea halafu watu wakawa wa mwisho kuumbwa.Kwenye hizo nukuu, Bibilia inasema mwanaume na mwanamke waliumbwa kwa wakati mmoja.

Sehemu nyingine ya kitabu cha Mwanzo inaeleza kwamba mtu aliumbwa kabla ya kuumbwa kwa wanyama.
Kitabu kinasema Mungu almuumba Adam kwanza[Mwa.2:7], halafu mimea ikaoteshwa baada ya kuumbwa kwa Adamu[Mwa.2:8-9].....Halafu wanyama wakaumbwa baada ya kuumbwa kwa Adamu[Mwa.2:18-19]

Halafu Eva akaumbwa mwishoni baada ya kuumbwa kwa Adam, mimea na wanyama[Mwa.2:21-23]

Hivi kweli kitabu chenye mikanganyiko kama hii unaweza kukitumia kama njia ya kujifunza chanzo cha uhai?
Naona unasoma bibilia kama unahesabu namba katika ascending order. Mwanzo 2 ni detailed explanation ya mwanzo 1. Mfano ukiambiwa Jana ulikula. Alafu mtu akaendelea kwa kusoma Jana asubuhi ulikula breakfast mchana lunch na usiku dinner. moja anasema aliwaumba mwanamke na mwanaume mbili anaelezea aliwaumbaje. Ndio maana Kuna wengine wanachanganyikiwa zaidi na kusema Mungu aliumba wetu wanne. Pia ukumbuke Mungu aliumba Dunia Kisha pia alitengeneza bustani ya eden. Inategemea haya mambo unayaangalia kutokea upande gani. Ila sio lazima uelewe kila kitu leo.
 
Napingana na Bible, maana utafiti wake hauna mantiki na umejikita zaidi kwenye kuamini(imani)

Imani iko 50/50, inaweza ikawa kweli au isiwe hivyo basi bible inaongopa.

Big Bang imetokea kati ya miaka billion 12 mpaka 14
Iliyopita. To put this in perspective, the Solar System is thought to be 4.5 billion years old and humans
have existed as a genus for only a few million years. Astronomers estimate the age of the universe
in two ways:
1) by looking for the oldest stars; and
2) by measuring the rate of expansion of the
universe and extrapolating back to the Big Bang; just as crime detectives can trace the origin of a
bullet from the holes in a wall.
Uko na arguments nzuri juu ya big bang. Labda kukusaidia zaidi jaribu kusoma loop quantum gravity theory (LQG). Ni theory mpya inayoungalisha quantum theory na general relativity theory.
Japo haijakamilika bado inaendelea kufanyiwa kazi ila inaproofs za swali hlo.
Utagundua kuwa jinsi mda unavyoenda nyuma (as t tends to negative infinite) bado unakuta the universe and all the things in it.
Ukiielewa vizuri tutakukaribisha tuendelee kuitest
 
Naona unasoma bibilia kama unahesabu namba katika ascending order. Mwanzo 2 ni detailed explanation ya mwanzo 1. Mfano ukiambiwa Jana ulikula. Alafu mtu akaendelea kwa kusoma Jana asubuhi ulikula breakfast mchana lunch na usiku dinner. moja anasema aliwaumba mwanamke na mwanaume mbili anaelezea aliwaumbaje. Ndio maana Kuna wengine wanachanganyikiwa zaidi na kusema Mungu aliumba wetu wanne. Pia ukumbuke Mungu aliumba Dunia Kisha pia alitengeneza bustani ya eden. Inategemea haya mambo unayaangalia kutokea upande gani. Ila sio lazima uelewe kila kitu leo.
Hiyo ni mikanganyiko! Kwa nini habari zote zisingeelezwa kwenye sura ya kwanza?....Mwaandishi alikuwa na haraka gani kuandika sura ya pili ili hali sura ya kwanza hajamaliza?

Je vitabu vyote vimeandikwa kwa kuruka ruka?
 
Mtu unapo zungumzia maswala ya kisayansi kwanza maswala ya dini inabidi uyaweke pembeni. Kwa sababu hayawezi yakakusaidia.

Na siku zote sayansi inanguvu kuliko dini na ndio maana hata ile biblia bila sayani ingisipo indikwa.
Kwahiyo sayansi sio yakucheza nayo
Sayanzi moto wa kuotea mbali.
 
Mabaki ya Adam na Hawa (fossils )yangefukuliwa na kufanyiwa vipimo vya carbon 14 hivyo tungejua umri wao halafu tungejumlisha na siku sita Mungu alizofanya kazi hapo tungejua umri wa dunia kirahisi kabisa.Sasa mabaki hayo ya Adam na Hawa yako wapi?
Mkuu umenena vyema! Mabaki ya Adam & Hawa ni muhimu sana.

Pia mabaki ya Safina ya Nuhu yanatakiwa yawepo.....Pia tunahitaji fossils zinazoeleza kwamba mafuriko ya Dunia nzima yamewahi kutokea na kuua wato wote Duniani kasoro nane tu(Familia ya Nuhu).....Mabaki yako wapi?....asante kwa kuuliza Mkuu.
 
Mabaki ya Adam na Hawa (fossils )yangefukuliwa na kufanyiwa vipimo vya carbon 14 hivyo tungejua umri wao halafu tungejumlisha na siku sita Mungu alizofanya kazi hapo tungejua umri wa dunia kirahisi kabisa.Sasa mabaki hayo ya Adam na Hawa yako wapi?
Sasa Mungu kaumba siku Sita 24hrs. Akapumzika siku ya Saba 24hrs. Kuonyesha kuwa hakutanii amerudia hiyo kauli Mara nyingi tu vitabu vingine. Pia Mungu ndiyo alivyomwambia na kumwelekeza Musa ambaye ndio muandishi wa mwanzo. Bibilia unasema mtoto wa Seth alimzaa akiwa na miaka 130. Pia unaambiwa alikufa na miaka 930, pia miaka ya wanaofuata wameelezewa ukitraceback utachezea miaka Kati ya 6000 na 7000.
Carbon 14 sio reliable mkuu. Imekuwa proven wrong kwenye scenario nyingi tu. Unaweza fuatilia jinsi inavyofanya kazi japo wakati mwingine inaweza kuonyesha uhalisia ktk reasonable range. Kwa ufupi kama hajui birthdate ya kitu hakuna kwenye science reliable ageometer yote ni kama ubashiri
 
Tunaomba mtazamo wako acha kurukaruko na utetee hizo billioni, ndio ulete hizi changamoto nyepesi kabisa. au uwa husomi content unarukia kuandika unavyofahamu kichwani.
Hivi hii dunia usipo muamini mwanasayansi utamuani nani kwa sababu mpaka saizi maisha yako na dunia kwa ujumla vinaendeshwa kisayansi.
 
Mtu unapo zungumzia maswala ya kisayansi kwanza maswala ya dini inabidi uyaweke pembeni. Kwa sababu hayawezi yakakusaidia.

Na siku zote sayansi inanguvu kuliko dini na ndio maana hata ile biblia bila sayani ingisipo indikwa.
Kwahiyo sayansi sio yakucheza nayo
Sayanzi moto wa kuotea mbali.
Hii ni product ya kitu kinaitwa subliminal. Lazima ujifunze kuchambua chuya na Michele sio kila kitu kinachojiita sayansi ni sayansi.
Usirahisihe bibilia katika level hizo. Science is like a grain of sand in sea when compared to bible.
 
Hivi hii dunia usipo muamini mwanasayansi utamuani nani kwa sababu mpaka saizi maisha yako na dunia kwa ujumla vinaendeshwa kisayansi.
Sio kila kitu ni Sawa Kuna wanasayansi maelfu duniani wasioamini uzushi wa mamillioni ya miaka. Na kuchambua uumbaji wa Mungu. Hawa wamekuwepo karibu katika kila field ya sayansi. Sayansi na wanasayansi wanapingana hata wao kwa wao. Sayansi sio mbaya ila sio kila inachosema sayansi unakunywa Kuna wengine wanapenyeza agenda zao ili kutengeneza class ya watu waliokuwa wanapingana na Mungu Bila sababu ya msingi.
 
Hii ni product ya kitu kinaitwa subliminal. Lazima ujifunze kuchambua chuya na Michele sio kila kitu kinachojiita sayansi ni sayansi.
Usirahisihe bibilia katika level hizo. Science is like a grain of sand in sea when compared to bible.
Biblia ni kitu kidogo sana ktk sayansi na hauwezi kuvilinganisha. biblia sawa na vitabu vya akina sungura na fisi.
Kwa karne kama hii ukisema maisha yako uyafanye yawe kama ya kwenye biblia unakuwa sawa na mtu anaye tembea huku amesinzia.
 
Sio kila kitu ni Sawa Kuna wanasayansi maelfu duniani wasioamini uzushi wa mamillioni ya miaka. Na kuchambua uumbaji wa Mungu. Hawa wamekuwepo karibu katika kila field ya sayansi. Sayansi na wanasayansi wanapingana hata wao kwa wao. Sayansi sio mbaya ila sio kila inachosema sayansi unakunywa Kuna wengine wanapenyeza agenda zao ili kutengeneza class ya watu waliokuwa wanapingana na Mungu Bila sababu ya msingi.
Ila ww mzee unakosea unapo ipingia sayansi kwa kutumia biblia biblia ni kitu kidogo sana ktk sayansi
Ukiifuatilia biblia upande flani unakuwa ni sawa na mtoto anaye chezea matope.
 
Ukweli ni kwamba Mungu ndiye aliyeumba vitu vyote tuvionavyo na visivyoonekana. Hilo la umli wa miaka 6000 ni nadharia tu isiyo na ukweli. Biblia kitabu cha mwanza kuanzia sura ya kwanza hadi ya ya kumi ni masimulizi tu yasiyo na umli wa uhakika. Kama biblia inavyosema "miaka elfu kwake ni kama kesha la usiku mmoja na jana iliyopita" hicho ndicho kikomo cha akili za mwanadamu. Miaka 6000 inaanza kuanzia kitabu cha mwanzo 11, hapo ndipo tunapata usahihi wa miaka na matukio yaliyonyooka. Sura ya kwanza hadi ya kumi ni masimlizi ambayo umli wake haujulikani.
 
Ila ww mzee unakosea unapo ipingia sayansi kwa kutumia biblia biblia ni kitu kidogo sana ktk sayansi
Ukiifuatilia biblia upande flani unakuwa ni sawa na mtoto anaye chezea matope.
Siwezi kupinga sayansi 100% maana Kuna scientists maelfu wanaamini creation na wanaamini bibilia ni Chanzo kizuri cha kukupa insights nyingi as basis of scientific findings japo sisi mambo hayo tumeyaamini Bila experiments. Kuhusu suala la Dunia Lina umri gani bibilia inatoa jibu zuri zaidi kuliko hizo zinazoitwa evolution ambazo kimsingi wanasayansi wengi bado hawaoni concepts za evolution kama ni sayansi.
 
kuna vitu vingine hupaswi hata kuviwaza utachizika bure.
 
Hiyo ni mikanganyiko! Kwa nini habari zote zisingeelezwa kwenye sura ya kwanza?....Mwaandishi alikuwa na haraka gani kuandika sura ya pili ili hali sura ya kwanza hajamaliza?

Je vitabu vyote vimeandikwa kwa kuruka ruka?
Suala la uumbaji kwa jinsi lilivyoelezwa hapo mwanzo kucement uhalisia wake limeendelea kufafanuliwa kwa njia nyingi karibu vitabu vyote vya bibilia. Kusoma bibilia kwa kutafuta contradiction au kugoogle contradictions kweny Bible kutakufanya kuendelea kujipotosha ili uufurahishe moyo. Bible explains itself. Kuna mafumbo, Kuna mambo yaliyofafanuliwa pengine hata kwenye kitabu kingine nje ya kile husika. Mfano Daniel na ufunuo wanazungumzia vitu vinavyoendana lkn ni waandishi tofauti wanaopishana miaka zaidi ya 600.unaifanya bibilia ionekane ngumu na contradictive based on the angle you are now. Bible needs high degree of meekness and lowlyness. Ila sio lazima wote tuelewe
 
Wamuulize yesu wa nini wakati hadi yesu anakuwepo kulikuwa na record kuanzia adam mtoto wa adam SETH hadi Yesu mwenyewe. Hilo halikuwa swali kwao, limekuwa swali baada ya kuibuka miaka ya 1600 upinzani na ujanja ujanja wa kubuni miaka maelfu ili theory za watu zilete maana. miaka ni around 6000.
Mnachekesha sana nyinyi wafuasi wa dini... hivi mnaposema mmeongea na Mungu wengine mmeongea na Yesu... hivi why kwenye wakati mnaongea nao hamuwaulizi haya maswali??? Alafu kitu kingine... mnadai kwamba makanisa au misikiti ni nyumba za bwana. Swali kwanini nyumba hizo milango yake inalokiwa au ni kwanin kunakuwa na walinzi wanaolinda. Kwanin zinawekwa magrili kwenye madirisha??? I think u get my point.
@ Kinachofanyika katika evolution hasa Origin of species ni Indoctrination kitu ambacho kinafanyika kwenye dini. Founder wa hiyo concept mwenyewe alikufa hajui alichokuwa anakifanya kwa sababu hakujua genetics behind living organism and the database yenye mamillioni ya information zilizofanya aone utofauti aliokuwa anauona. Angemuona albino kazaliwa na watu wawili weusi kwa akili yake angesema yule kaevolve au evolution inaendelea.

Evolution ni Dini tu ambayo Mungu wake ni Muda. Ndiomaana kila kitu kinakimbizwa miaka Mamillioni yaliyopita ili kupumbaza wafuatiliaji. Wewe unaweza kujua umri wa mtoto wako bila kujua Birthday yako. Ndio maana wenzako kwa kujua hilo wakaomba ibaki kama theory na hii ya Creation ifundishwe pia ili mtu achague anachoona ni sawa na Donors wa free school wakaja juu.

Evolution Mtu alianza kama samaki akaevolve hadi kuwa hapo alipo. Wewe ndio uniambie Evolutionists na wanasayansi wanaounga mkono hiyo kitu wanasema binadamu wa kwanza aliishi Tanzania. Ndio maana unatakiwa usaidie jamii alitokea ziwa au bahari gani hapo oldvai gourge, pia ueleze alifikaje huko uk,india,china,s/america kutokea arusha. ili kuficha uzushi huu ikabidi wakimbilie kuwa hayo yote yalitokea miaka lukuki iliyopita. Huoni kama unahitaji imani kukubaliana na hayo. Tena Dr LEaky alitumai Carbon 14. age range ya kupima kuwa kutumia carbon 14 ni kati ya miaka 50000 hadi 60000. Ukipata nje ya hapo ni uongo mzuri tu kama ulivyoambiwa umri wa ndoano iliyokuwa patented miaka ya 1800 na kupimwa kwa vipimo hivyo kukutwa na miaka millini 300. Yaani hata wewe bibi aliyemzaa bibi wa bibi yangu tukimfukua leo tukampima ana umri gani kwa vifaa hivyo carbon dating au radiometric usishangae kumkuta anamiaka millioni 6 iliyopita.

Hicho ndicho uilichofichwa. Hakuna AGEOMETER ILIYORELIABLE KWENYE makablasha ya hao unaowaita wanasayansi wanaoamini evolution.

Bible stands to be reliable source
 
Back
Top Bottom