Dunia ina Umri gani? Mabillioni, Mamillioni, Malaki au Maelfu?

Dunia ina Umri gani? Mabillioni, Mamillioni, Malaki au Maelfu?

hujaongea chochote kuhusu unachoamini nje ya huu ujinga wangu. karibu lakini
Kwanza naomba utoe neno kuamini... Evolution ni fact uamini usiamini bado ipo palepale... OK hata tukitumia hilo neno lako kuwa ninaamini ! Inamaana muda wote huo niliopost kuhusu evolution bado hujui ninaamini nini ?!
 
Kwanza naomba utoe neno kuamini... Evolution ni fact uamini usiamini bado ipo palepale... OK hata tukitumia hilo neno lako kuwa ninaamini ! Inamaana muda wote huo niliopost kuhusu evolution bado hujui ninaamini nini ?!
Evolution ni fact????
Unazungumzia evolution ipi, Cosmic,organic, chemical, micro, macro au steller evolution.
Naona unaleta siasa. Jitahidi kuelezea vitu vyako kwa uwazi sio ujanjaujanja kama vinakushinda unarudi vitabuni. Kwa ufupi hujaeleza chochote kuhusu kwa nini dunia iwe na miaka Billioni hizo (as a result of Cosmic evolution)
 
Mimi moja kwa moja napingana na CREATIONISM kwa maana haina mantiki.Nasema haina mantiki kwa sababu inatuachia maswali yasiyo na majibu na kutulazimisha tuiamini badala ya kuielewa.Mimi nina maswali yafuatayo kuhusu CREATIONISM.

1.Kama watu wote walitokea sehemu moja(mf.Mashariki ya kati), ni technologia ipi iliyotumika kusambaza watu kutoka mashariki ya kati kwenda maeneo mbalimbalina ya Dunia kama Chile, Madagascar n.k?
walivukaje bahari? Kama walisafiri, kwa nini wasingekuwa wanawasiliana kwa safari za mara kwa mara? Kwa nini kina V.Da Gama, C.Columbus wawe wagunduzi wa maeneo mengine? ina maana waliamini Dunia ni maeneo walimoishi pekee?

2.Kama tumetokana na Baba na Mama mmoja, kwa nini watu tunatofautiana sana? nini sababu na mechanism iliyosababisha wawepo watu weupe na weusi? Miaka 6000 inatosha kuruhusu mabadiliko makubwa tunanoyashuhudia ya tofauti miongoni mwa jamii za watu wa hii Dunia?

3.Kwa nini kuna mabaki ya kale yenye umri zaidi ya miaka milioni? kwa nini hayo mabaki hayapatikani nje ya Africa? Kwa nini fossils zinaonesha 'Life complexity' inaongezeka kutoka matabaka ya chini kuja matabaka ya juu ya miamba?

4.Kwa kuwa Watu waliumbwa kutokana na udongo, ni material yepi yaliyotumika kuumba viumbe wengine kama wanyama na mimea? Mbona watu wanafanana sana na hawa viumbe wengine?

5.Ukowapi ushahidi/mabaki ya bustani ya Eden, masalia/makaburi ya Adam na Eva?
Yako wapi masalia ya safina ya Nuhu? Mbona Palaeontology haioneshi kama mafuriko ya Dunia nzima yamewahi kutokea na kuua watu?

6.Kwa nini vitabu vya dini havizungumzii uwepo wa sayari nyingine?, Kama hizo Sayari ziliumbwa na Mungu, ni za kazi gani?

7.Kama Mungu ndiye muumbaji wa kila kitu, kwa nini aumbe viumbe hatarishi kwa watu wake kama vile; Virus, bacteria na Fungus wenye kusababisha magonjwa na vifo kwa watu? Mungu mwenye upendo wote anaweza kuumba vyanzo vya matatizo kwa watu wake?

8.Kwa nini miili ya viumbe vya Mungu iwe na vestigial organs?

9.Kwa nini Mungu aumbe Dunia yenye majanga asilia kama matetemeko ya nchi, mafuriko, vimbunga na milipuko ya volcano? Intelligent designer anaweza kuumba dunia yenye majanga kama hii ya kwetu?

10.Kwa nini Mungu alisikitika na kuhuzunika baada ya kumuumba Binadamu(Mwa.6:5-8)? Mungu gani mjuzi wa yote afanye jambo la kumsikitisha na kumhuzunisha siku za mbeleni?
Tunaomba mtazamo wako acha kurukaruko na utetee hizo billioni, ndio ulete hizi changamoto nyepesi kabisa. au uwa husomi content unarukia kuandika unavyofahamu kichwani.
 
Napingana na Bible, maana utafiti wake hauna mantiki na umejikita zaidi kwenye kuamini(imani)

Imani iko 50/50, inaweza ikawa kweli au isiwe hivyo basi bible inaongopa.

Big Bang imetokea kati ya miaka billion 12 mpaka 14
Iliyopita. To put this in perspective, the Solar System is thought to be 4.5 billion years old and humans
have existed as a genus for only a few million years. Astronomers estimate the age of the universe
in two ways:
1) by looking for the oldest stars; and
2) by measuring the rate of expansion of the
universe and extrapolating back to the Big Bang; just as crime detectives can trace the origin of a
bullet from the holes in a wall.
UPO SAHIHI MAANA WANADAMU KATIKA KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA WANAPENDA SANA KUFUATA YALE WANAYOYAONA SIO YALE WANAYOYASIKIA.HERI ANAYEPENDA KUFUATA YALE ANAYOYASIKIA MAANA IMANI CHANZO CHAKE NI KUSIKIA
 
Mada nzuri sana nimependa michango ya baadhi ya wachangiaji
 
Mimi moja kwa moja napingana na CREATIONISM kwa maana haina mantiki.Nasema haina mantiki kwa sababu inatuachia maswali yasiyo na majibu na kutulazimisha tuiamini badala ya kuielewa.Mimi nina maswali yafuatayo kuhusu CREATIONISM.

1.Kama watu wote walitokea sehemu moja(mf.Mashariki ya kati), ni technologia ipi iliyotumika kusambaza watu kutoka mashariki ya kati kwenda maeneo mbalimbalina ya Dunia kama Chile, Madagascar n.k?
walivukaje bahari? Kama walisafiri, kwa nini wasingekuwa wanawasiliana kwa safari za mara kwa mara? Kwa nini kina V.Da Gama, C.Columbus wawe wagunduzi wa maeneo mengine? ina maana waliamini Dunia ni maeneo walimoishi pekee?

2.Kama tumetokana na Baba na Mama mmoja, kwa nini watu tunatofautiana sana? nini sababu na mechanism iliyosababisha wawepo watu weupe na weusi? Miaka 6000 inatosha kuruhusu mabadiliko makubwa tunanoyashuhudia ya tofauti miongoni mwa jamii za watu wa hii Dunia?

3.Kwa nini kuna mabaki ya kale yenye umri zaidi ya miaka milioni? kwa nini hayo mabaki hayapatikani nje ya Africa? Kwa nini fossils zinaonesha 'Life complexity' inaongezeka kutoka matabaka ya chini kuja matabaka ya juu ya miamba?

4.Kwa kuwa Watu waliumbwa kutokana na udongo, ni material yepi yaliyotumika kuumba viumbe wengine kama wanyama na mimea? Mbona watu wanafanana sana na hawa viumbe wengine?

5.Ukowapi ushahidi/mabaki ya bustani ya Eden, masalia/makaburi ya Adam na Eva?
Yako wapi masalia ya safina ya Nuhu? Mbona Palaeontology haioneshi kama mafuriko ya Dunia nzima yamewahi kutokea na kuua watu?

6.Kwa nini vitabu vya dini havizungumzii uwepo wa sayari nyingine?, Kama hizo Sayari ziliumbwa na Mungu, ni za kazi gani?

7.Kama Mungu ndiye muumbaji wa kila kitu, kwa nini aumbe viumbe hatarishi kwa watu wake kama vile; Virus, bacteria na Fungus wenye kusababisha magonjwa na vifo kwa watu? Mungu mwenye upendo wote anaweza kuumba vyanzo vya matatizo kwa watu wake?

8.Kwa nini miili ya viumbe vya Mungu iwe na vestigial organs?

9.Kwa nini Mungu aumbe Dunia yenye majanga asilia kama matetemeko ya nchi, mafuriko, vimbunga na milipuko ya volcano? Intelligent designer anaweza kuumba dunia yenye majanga kama hii ya kwetu?

10.Kwa nini Mungu alisikitika na kuhuzunika baada ya kumuumba Binadamu(Mwa.6:5-8)? Mungu gani mjuzi wa yote afanye jambo la kumsikitisha na kumhuzunisha siku za mbeleni?
Mkuu hapo kwenye namba sita, sayari mfano kama Jupiter bila yenyewe huenda maisha duniani yangekuwa hayapo kabisa, sayari ya Jupiter ndio inayo hold comets belt sababu ya gravity yake kubwa comets, asteroids kubwa haziwezi kufika duniani kwa kuwa Jupiter inazivuta zote chache sana zinafika duniani tena ambazo ni ndogo, mkuu hata bila mwezi duniani maisha yangekuwa utata sana majira ya mwaka yangeweza kubadilika kila baada ya masaa kadhaa hata kilimo tusingefanya, everything is there for a reason
 
Biblia iko sahihi kabisa kuhusu maelezo yake. Watu ndio wapo kimakosa katika tafsiri zao. Biblia haijawahi sema kuwa dunia ina miaka kama elfu sita kuja saba kwa sasa ila miaka hiyo ni ya kuanzia Adamu.
Lakini kabla ya Adamu kuumbwa kulikuwa na miaka mingi huko nyuma ya kuumbwa kwa ulimwengu ikiwepo na dunia ndani. Yawezekana ni mamilioni au mabilioni ya miaka, maana maandiko yanasema kwamba "hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi" ,nukta; sasa baada ya kuziumba mbingu na nchi haijulikani alikaa mdagani kabla ya Roho wa Mungu kutulia sasa katika uso wa maji aliyoyaumba hapo kwanza na kuanza kuikarabati kwa ajili ya kuuweka uhai juu yake. Hapo ndipo sasa anatenga maji na nchi kavu na kisha kuweka viumbe hai.
Pia ijulikane kuwa mtu wa mwili wa nyama, yaani Adamu ndie kiumbe wa mwisho kuumbwa. Kwa wale wa nadharia ya uumbaji wa Mungu kuwa katika siku saba kwa mfano uliopo wa siku saba za juma za kawaida ya binadamu ndio kabsaa hawawezi kamwe kuupata uumbaji jinsi ulivyokuwa kwa kina.
Biblia iko sahihi kabisa kuhusu maelezo yake. Watu ndio wapo kimakosa katika tafsiri zao. Biblia haijawahi sema kuwa dunia ina miaka kama elfu sita kuja saba kwa sasa ila miaka hiyo ni ya kuanzia Adamu.
Lakini kabla ya Adamu kuumbwa kulikuwa na miaka mingi huko nyuma ya kuumbwa kwa ulimwengu ikiwepo na dunia ndani. Yawezekana ni mamilioni au mabilioni ya miaka, maana maandiko yanasema kwamba "hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi" ,nukta; sasa baada ya kuziumba mbingu na nchi haijulikani alikaa mdagani kabla ya Roho wa Mungu kutulia sasa katika uso wa maji aliyoyaumba hapo kwanza na kuanza kuikarabati kwa ajili ya kuuweka uhai juu yake. Hapo ndipo sasa anatenga maji na nchi kavu na kisha kuweka viumbe hai.
Pia ijulikane kuwa mtu wa mwili wa nyama, yaani Adamu ndie kiumbe wa mwisho kuumbwa. Kwa wale wa nadharia ya uumbaji wa Mungu kuwa katika siku saba kwa mfano uliopo wa siku saba za juma za kawaida ya binadamu ndio kabsaa hawawezi kamwe kuupata uumbaji jinsi ulivyokuwa kwa kina.
mtazamo huu au nadharia hii ipo na mimi huwa siitofautishi na evolution kwa kuingizaconcepts za miaka mingi. ila ukisoma bibilia yote Mungu aliyemfunulia Musa haya ndiye aliyempa zile mbao mbili alizoziandika kwa vidole. anasisitiza aliumba kila kitu kwa siku sita na ya saba akapumzika. hizo millioni hazina biblical base
 
Msingi wa miaka 6,0000 ni ktk maandiko matakatifu! Biblia kuruani zote zinaamini ktk uumbaji! Biblia inatoa mwanga mpana zaidi kwa kutaja umri wa MTU wa kwanza duniani, wa Pili, na kuendelea! Matukio yote yanayotajwa ktk biblia likiwemo la gharika ya Wakati wa Nuhu, wanasayansi wamethibitisha kuwa ni ya kweli! Kwa MTU asiyeamini ktk uumbaji ni vema akafundishwa kwanza jinsi ambavyo Biblia ni ya kweli na isivyojipinga no contradiction in the bible!
 
Msingi wa miaka 6,0000 ni ktk maandiko matakatifu! Biblia kuruani zote zinaamini ktk uumbaji! Biblia inatoa mwanga mpana zaidi kwa kutaja umri wa MTU wa kwanza duniani, wa Pili, na kuendelea! Matukio yote yanayotajwa ktk biblia likiwemo la gharika ya Wakati wa Nuhu, wanasayansi wamethibitisha kuwa ni ya kweli! Kwa MTU asiyeamini ktk uumbaji ni vema akafundishwa kwanza jinsi ambavyo Biblia ni ya kweli na isivyojipinga no contradiction in the bible!
Hivi bado tu hujui kwamba toka Adam hadi ulipo sasa kwa mujibu wa biblia kuna miaka elfu saba na ushee?
Elfu sita unayozungumzia sijui unaitafsiri vipi.
Siku sita za juma moja?
Miaka elfu sita ya kalenda ya kibinadamu?
Mbona vyote hivyo vishapitiliza?
Kukariri ni kuzuri na ni kubaya. Ubaya una nafasi kubwa zaidi katika kukariri kuliko uzuri.
 
Msingi wa miaka 6,0000 ni ktk maandiko matakatifu! Biblia kuruani zote zinaamini ktk uumbaji! Biblia inatoa mwanga mpana zaidi kwa kutaja umri wa MTU wa kwanza duniani, wa Pili, na kuendelea! Matukio yote yanayotajwa ktk biblia likiwemo la gharika ya Wakati wa Nuhu, wanasayansi wamethibitisha kuwa ni ya kweli! Kwa MTU asiyeamini ktk uumbaji ni vema akafundishwa kwanza jinsi ambavyo Biblia ni ya kweli na isivyojipinga no contradiction in the bible!
Nakubaliana na wewe mkuu
 
Mbingu na nchi ni neno moja lenye kubeba vitu lukuki ndani yake!
In the beginning God created heaven and earth.
if you ponder it deep you will find God talking about the orgin and birthday of time, space and matter.
But everything in universe was created in six good days.
 
Kuna documentary inasema enzi za ice age watu wengi walitawanyika sababu bahari iligeuka na kuwa barafu,ndio sababu ya mtawanyiko huo wa watu
Hiyo point haiwezi kutumika kusema watu walitawanyika kutoka Africa kwenda kwingineko duniani pindi tuzungumziapo Evolution?
 
Tunaomba mtazamo wako acha kurukaruko na utetee hizo billioni, ndio ulete hizi changamoto nyepesi kabisa. au uwa husomi content unarukia kuandika unavyofahamu kichwani.
Mkuu unafanya jambo la ajabu kidogo.....ni vigumu kuchambua Theories zote za origin of life ndani ya uzi mmoja......Kwa nini tusingejadili moja moja?.....ni maoni yangu tu.
 
Back
Top Bottom