Dunia ina Umri gani? Mabillioni, Mamillioni, Malaki au Maelfu?

Dunia ina Umri gani? Mabillioni, Mamillioni, Malaki au Maelfu?

Hadi sasa bado haijajulikana wepi ndio wapo sahihi,na inawezekana hadi vizazi vitafutika duniani na jibu lisijulikane.
Lakini watu wa evolution wa nalazimisha. Mfano UK serikali ilitangaza haitafund free school yoyote itakayokataa kufundisha evolution. Sasa inatoka kwenye science inaingia kwenye imani inazama na kwenye siasa Sasa. Toa mtazamo wako kidogo mkuu
 
Mimi moja kwa moja napingana na CREATIONISM kwa maana haina mantiki.Nasema haina mantiki kwa sababu inatuachia maswali yasiyo na majibu na kutulazimisha tuiamini badala ya kuielewa.Mimi nina maswali yafuatayo kuhusu CREATIONISM.

1.Kama watu wote walitokea sehemu moja(mf.Mashariki ya kati), ni technologia ipi iliyotumika kusambaza watu kutoka mashariki ya kati kwenda maeneo mbalimbalina ya Dunia kama Chile, Madagascar n.k?
walivukaje bahari? Kama walisafiri, kwa nini wasingekuwa wanawasiliana kwa safari za mara kwa mara? Kwa nini kina V.Da Gama, C.Columbus wawe wagunduzi wa maeneo mengine? ina maana waliamini Dunia ni maeneo walimoishi pekee?

2.Kama tumetokana na Baba na Mama mmoja, kwa nini watu tunatofautiana sana? nini sababu na mechanism iliyosababisha wawepo watu weupe na weusi? Miaka 6000 inatosha kuruhusu mabadiliko makubwa tunanoyashuhudia ya tofauti miongoni mwa jamii za watu wa hii Dunia?

3.Kwa nini kuna mabaki ya kale yenye umri zaidi ya miaka milioni? kwa nini hayo mabaki hayapatikani nje ya Africa? Kwa nini fossils zinaonesha 'Life complexity' inaongezeka kutoka matabaka ya chini kuja matabaka ya juu ya miamba?

4.Kwa kuwa Watu waliumbwa kutokana na udongo, ni material yepi yaliyotumika kuumba viumbe wengine kama wanyama na mimea? Mbona watu wanafanana sana na hawa viumbe wengine?

5.Ukowapi ushahidi/mabaki ya bustani ya Eden, masalia/makaburi ya Adam na Eva?
Yako wapi masalia ya safina ya Nuhu? Mbona Palaeontology haioneshi kama mafuriko ya Dunia nzima yamewahi kutokea na kuua watu?

6.Kwa nini vitabu vya dini havizungumzii uwepo wa sayari nyingine?, Kama hizo Sayari ziliumbwa na Mungu, ni za kazi gani?

7.Kama Mungu ndiye muumbaji wa kila kitu, kwa nini aumbe viumbe hatarishi kwa watu wake kama vile; Virus, bacteria na Fungus wenye kusababisha magonjwa na vifo kwa watu? Mungu mwenye upendo wote anaweza kuumba vyanzo vya matatizo kwa watu wake?

8.Kwa nini miili ya viumbe vya Mungu iwe na vestigial organs?

9.Kwa nini Mungu aumbe Dunia yenye majanga asilia kama matetemeko ya nchi, mafuriko, vimbunga na milipuko ya volcano? Intelligent designer anaweza kuumba dunia yenye majanga kama hii ya kwetu?

10.Kwa nini Mungu alisikitika na kuhuzunika baada ya kumuumba Binadamu(Mwa.6:5-8)? Mungu gani mjuzi wa yote afanye jambo la kumsikitisha na kumhuzunisha siku za mbeleni?
Asante kwa
changamoto.
Japo kipengele cha kwanza kinakubana wewe zaidi maana kama Mungu aliumba intelligent man kwa case study ya waliojenga mnara na kuchafuliwa lugha na wakasambaa vikundivikundi kwa akili hiyohiyo ya kujenga supertower inashindikana nini kutawanyika kwa mfumo huu.
Pili tupe ubora wa upande unaousimamia. Homo habil wa arusha alitembea kwa mkuu hadi bagamoyo Kisha akatengeneza boti ya kwenda Greenland ili aivolve na kuwa Eskimo.

Tupe na upande wako ili kuwapa wasomaji uzio mpana wa mjadala. Karibu mimi nitatoa mtazamo wangu kwa kina zaidi hapo baadae na kwa nini evolution sio dili
 
science na dini vinapingana sana
Evolution ukizama sana utagundua sio sayansi Bali indoctrination ni zaidi ya dini. Hapa huwa ni imani mbili tofauti sayansi ni Pana na hawa jamaa wanapitia humu kueneza uzushi usio na proofs.
 
Asante kwa
changamoto.
Japo kipengele cha kwanza kinakubana wewe zaidi maana kama Mungu aliumba intelligent man kwa case study ya waliojenga mnara na kuchafuliwa lugha na wakasambaa vikundivikundi kwa akili hiyohiyo ya kujenga supertower inashindikana nini kutawanyika kwa mfumo huu.
Pili tupe ubora wa upande unaousimamia. Homo habil wa arusha alitembea kwa mkuu hadi bagamoyo Kisha akatengeneza boti ya kwenda Greenland ili aivolve na kuwa Eskimo.

Tupe na upande wako ili kuwapa wasomaji uzio mpana wa mjadala. Karibu mimi nitatoa mtazamo wangu kwa kina zaidi hapo baadae na kwa nini evolution sio dili

Hizo tags zako hazialert chochote,...ata mimi nimeona kwa bahati, pengine ndio sababu ya kutokuwepo kwa watajwa.

Ule mnara wa Babeli ni kama safina ya Nuhu, hakuna ushahidi wa kuwepo kwake....hivyo kuchagiza imani ya kutokutokea?
 
Kwa mujibu wa data zilizopatikana kwa satellite ya wmap pamoja na ile COBE ambazi zilikuwa zinatafiti background radiation zilionyesha universe ina miaka 14 bil, nakubariana na scientific kuliko kuliko hiyo ya miaka 6000, dini ya kale kabisa kwa data zilizopo ni wa Hinduism na maandiko yao yanaspan zaidi ya miaka ya hiyo miaka 6000 haingii akilini dunia kuwa na miaka 6000.
Hiyo njia inamapungufu kuliko kawaida.
Ili ujue mtoto wako anamiaka mingapi ni lazima ujue siku yake ya kuzaliwa. Na hapa ndio kitovu cha assumptions. Kitu cha pili Kuna vitu vingi vilivyodhaniwa kuwa na mamilioni ya miaka leo vimejulikana ni maelfu tu au mamia kwa sababu ya kipimo hicho hicho.
Zama zaidi tulete changamoto ili tupanue uelewa.
 
Hiyo njia inamapungufu kuliko kawaida.
Ili ujue mtoto wako anamiaka mingapi ni lazima ujue siku yake ya kuzaliwa. Na hapa ndio kitovu cha assumptions. Kitu cha pili Kuna vitu vingi vilivyodhaniwa kuwa na mamilioni ya miaka leo vimejulikana ni maelfu tu au mamia kwa sababu ya kipimo hicho hicho.
Zama zaidi tulete changamoto ili tupanue uelewa.
Wmap na COBE satellites ilishabithitisha umri wa miaka wa dunia ni 4 bil na universe ni zaidi ya miaka 13~14 bil kilichokuwa kinaangaliwa ni zile background radiation ambazo ni microwave zilizo dormant na no very tiny ambapo wmap pia ndio ilionyesha dark matter, dark energy
Wilkinson Microwave Anisotropy Probe (WMAP)
Kwa nini unasema hii method ipo weak.
 
Chagua
Cell, bakteria, samaki, homo habils etc ni suala la muda gani tu. Mimi mtazamo wangu ni uumbaji nitaeleza kwa nini sio evolution. Na kwa nini naamini evolution ni suala la kidini au imani na sio sayansi kama Dunia inavyoaminishwa
Usilete hayo mambo mengine kutoka kwa hao bible thumper wenzio.. ! Nachotaka hapa ni wewe kurekebisha kauli yako uliyosema kwamba "binadamu tumetokana na sokwe" kwani ni totally wrong !
 
Lakini watu wa evolution wa nalazimisha. Mfano UK serikali ilitangaza haitafund free school yoyote itakayokataa kufundisha evolution. Sasa inatoka kwenye science inaingia kwenye imani inazama na kwenye siasa Sasa. Toa mtazamo wako kidogo mkuu
Huwezi ukafundisha biology bila ya kufundisha evolution maana (evolution) ni mojawapo wa msingi wa biology..! That's why UK waneliona hilo na wakaamua kuwa free school itakayokataa kufundisha evolution hawataipatia funds..! Mbona ni rahisi kueleweka hilo...?!
Halafu mchezo wa kuifananisha evolution na dini ni kosa kubwa sana! Hivi unaweza kureason kwenye mafundisho ya bible ?! Or unaweza kupinga issue yoyote usiyokubaliana nayo kwenye bible?! Is there any scientific experimentation iliyowahi kufanyika kutokana na idea yoyote iliyopo kwenye bible..?!
Acha habari za kipuuzi ndugu MSEZA MKULU maana unataka kuchanganya maji na mafuta !
 
Asante kwa
changamoto.
Japo kipengele cha kwanza kinakubana wewe zaidi maana kama Mungu aliumba intelligent man kwa case study ya waliojenga mnara na kuchafuliwa lugha na wakasambaa vikundivikundi kwa akili hiyohiyo ya kujenga supertower inashindikana nini kutawanyika kwa mfumo huu.
Pili tupe ubora wa upande unaousimamia. Homo habil wa arusha alitembea kwa mkuu hadi bagamoyo Kisha akatengeneza boti ya kwenda Greenland ili aivolve na kuwa Eskimo.

Tupe na upande wako ili kuwapa wasomaji uzio mpana wa mjadala. Karibu mimi nitatoa mtazamo wangu kwa kina zaidi hapo baadae na kwa nini evolution sio dili
Hizo habari za homo habilis kutoka arusha (oldvai gorge) mpaka bagamoyo then atengeneze ngalawa (or whatever) umezileta wewe so nadhani inafaa kutupatia evidences..!
 
Jamani mi naomba nijibiwe na wanasayansi wengine wanasema binadamu katokana na nyani wengine samaki ss swali langu hao nyani si wapo na hao samaki mbona hawabadiliki au samaki na nyani wa zamani walikuwa tofauti naweza kuchekesha lakini ndio nauliza hivyo
 
MSEZA MKULU
Nionavo mimi hao creationist hawana sana sababu ya kujua umri wa dunia, kwani wao imani yao tuu ni Mungu ndio aliiumba. Halafu hawanaga uthibitisho, wanapigia mahesabu ya kwenye bible tu.

Ki ujumla wana sayansi wote wana amini kuwa dunia ina miaka bilioni 4.5 lakini pia umri wa dunia uko subjected to changes, darwin alifikiri dunia ina miaka milion 20, walikuja watu wa vipimo wakaanzia milioni 70, wkaja millioni 100, na kuendelea mpaka hapo kwenye bilion 4. Ushahid ukipatikana kuwa ni zaidi nayo itakuwa poa.

Kwangu mimi sioni haja sana ya kujua ulimwengu una mda gani, kasoro hao wa 6000 hapana ni miaka michche sanaa hiyo.

Evolution haihitaji miaka yote hiyo ili kuthibitshwa ina hitaj miaka kama milion 10-20 kwa binadamu, kwa viumbe wengine at least miaka milion 100. Kwa hiyo evolutionists hawahusiani na hilo , ila ni wana sayansi woote.

Binadamu hakutokana na Sokwe ila ina aminika kuwa binadamu na sokwe walitokana na ancestor mmoja, ambaye ana character zake pia. Yaan binadam na sokwe wanatoka kwenye family tofaut za tree moja.
Ahsante.
 

prof walter j veith amejibu hoja zote kuhusu Umri wa dunia pitia hapo ujiridhishe kwa hoja zenye mashiko

Siwashauri mumuangalie huyu jamaa.
Soma tu maandiko mbali mbali.
Huyu ana bias zake za ki dini
 
Lakini watu wa evolution wa nalazimisha. Mfano UK serikali ilitangaza haitafund free school yoyote itakayokataa kufundisha evolution. Sasa inatoka kwenye science inaingia kwenye imani inazama na kwenye siasa Sasa. Toa mtazamo wako kidogo mkuu
Walifanya hivo kwa kuwa kuna ma wadini walikuwa wanataka watoto wasiwe wana fundishwa.

Evolution siyo dini, ni theory ya kisayansi.
evolution haijawahi kuthibitisha kwamba Mungu hayupo au yupo. Ila evolution inapishana na nadharia za kidini kama vile nadharia ya uumbaji.

Kwa mfano uki prove kuwa evolution si ya kweli, haikufanyi uwe ume prove kuwa creation ni ya kweli. Wala ukiprove kuwa evolution ni kweli, bado huja prove kuwa Idea ya supreme being haipo au ipo. Usichanganye mambo kaka
 
leta hoja sio propaganda
Hoja zangu ni kuwa huyo jamaa ni mwana dini kama wanadini wengine
Huyo jamaa ni religious enterpreneur, namjua so hata huwa sihangaiki muadventist flan hivi mwenye vituko.
Sina hata haja ya kuweka hoja, huyo ataishia kukupotsha na kukuelezea iaman zake za kidini.
 
Back
Top Bottom