Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini uamini angalia methodologies ambazo zinatumika kati ya dini na sayansi katika kujua umri wa ulimwengu kwa ujumla, mi kwa ujumla haya mambo ya dini na sayansi nayaona yana conflict sana na hatua za sayansi mpaka kitu kiwe kinakubalika zinaiweka kando sana maswala ya dini kwa mfano kwenye sayansi moja ya sifa scientific theory iwe na uwezo wa kukataliwa na kuandikwa/kuhaririwa upya ama kutolewa kabisa (ku be disapproved) pindi majaribio yanapoenda kinyume na hiyo theory hili ni tofauti kabisa na dini kwa sababu tunamaani maandiko ya mungu na mungu hakosei na hakuna dini ambayo ipo tayari maandiko yake upya.Tuamini kipi kati ya wanasayansi na vitabu vya dini?
na vp kuhusu upotofu wa Darwinism ndio una ukweli kweli kama ameonesha facts kwanini hutetei upande wako wa hao wakina darwin nadharia ya darwin haijatosheleza majibu yoteHoja zangu ni kuwa huyo jamaa ni mwana dini kama wanadini wengine
Huyo jamaa ni religious enterpreneur, namjua so hata huwa sihangaiki muadventist flan hivi mwenye vituko.
Sina hata haja ya kuweka hoja, huyo ataishia kukupotsha na kukuelezea iaman zake za kidini.
Darwin kapotoka wapi!!?na vp kuhusu upotofu wa Darwinism ndio una ukweli kweli kama ameonesha facts kwanini hutetei upande wako wa hao wakina darwin nadharia ya darwin haijatosheleza majibu yote
Creationism imejibu hoja zote
Acha ushabiki wewe toa mtazamo wako, Tag niachie mimi niliyetag.Hizo tags zako hazialert chochote,...ata mimi nimeona kwa bahati, pengine ndio sababu ya kutokuwepo kwa watajwa.
Ule mnara wa Babeli ni kama safina ya Nuhu, hakuna ushahidi wa kuwepo kwake....hivyo kuchagiza imani ya kutokutokea?
Hapa nitapita baadae ila confirm kama unazungumzia Radiometric dating,Wmap na COBE satellites ilishabithitisha umri wa miaka wa dunia ni 4 bil na universe ni zaidi ya miaka 13~14 bil kilichokuwa kinaangaliwa ni zile background radiation ambazo ni microwave zilizo dormant na no very tiny ambapo wmap pia ndio ilionyesha dark matter, dark energy
Wilkinson Microwave Anisotropy Probe (WMAP)
Kwa nini unasema hii method ipo weak.
Usilete hayo mambo mengine kutoka kwa hao bible thumper wenzio.. ! Nachotaka hapa ni wewe kurekebisha kauli yako uliyosema kwamba "binadamu tumetokana na sokwe" kwani ni totally wrong !
Tunaomba uonyeshe hayo mashiko kwamba dunia ina miaka 6000.Majibu yote yanaukweli japo yanahitajika maelezo ya ziada ktk wale wanaoamini dunia ina umri wa miaka 4bilioni! Ukweli ni kwamba miaka 6000 ndiyo pekee yenye uwezo wa kujenga historia na kukidhi historia ya dunia tuliyo nayo! Nje ya miaka 6000 ni simulizi zisizo na mashiko
@ Kinachofanyika katika evolution hasa Origin of species ni Indoctrination kitu ambacho kinafanyika kwenye dini. Founder wa hiyo concept mwenyewe alikufa hajui alichokuwa anakifanya kwa sababu hakujua genetics behind living organism and the database yenye mamillioni ya information zilizofanya aone utofauti aliokuwa anauona. Angemuona albino kazaliwa na watu wawili weusi kwa akili yake angesema yule kaevolve au evolution inaendelea.Huwezi ukafundisha biology bila ya kufundisha evolution maana (evolution) ni mojawapo wa msingi wa biology..! That's why UK waneliona hilo na wakaamua kuwa free school itakayokataa kufundisha evolution hawataipatia funds..! Mbona ni rahisi kueleweka hilo...?!
Halafu mchezo wa kuifananisha evolution na dini ni kosa kubwa sana! Hivi unaweza kureason kwenye mafundisho ya bible ?! Or unaweza kupinga issue yoyote usiyokubaliana nayo kwenye bible?! Is there any scientific experimentation iliyowahi kufanyika kutokana na idea yoyote iliyopo kwenye bible..?!
Acha habari za kipuuzi ndugu MSEZA MKULU maana unataka kuchanganya maji na mafuta !
Asee... MSEZA MKULU nmekugawa bure!@ Kinachofanyika katika evolution hasa Origin of species ni Indoctrination kitu ambacho kinafanyika kwenye dini. Founder wa hiyo concept mwenyewe alikufa hajui alichokuwa anakifanya kwa sababu hakujua genetics behind living organism and the database yenye mamillioni ya information zilizofanya aone utofauti aliokuwa anauona. Angemuona albino kazaliwa na watu wawili weusi kwa akili yake angesema yule kaevolve au evolution inaendelea.
Evolution ni Dini tu ambayo Mungu wake ni Muda. Ndiomaana kila kitu kinakimbizwa miaka Mamillioni yaliyopita ili kupumbaza wafuatiliaji. Wewe unaweza kujua umri wa mtoto wako bila kujua Birthday yako. Ndio maana wenzako kwa kujua hilo wakaomba ibaki kama theory na hii ya Creation ifundishwe pia ili mtu achague anachoona ni sawa na Donors wa free school wakaja juu.
Evolution Mtu alianza kama samaki akaevolve hadi kuwa hapo alipo. Wewe ndio uniambie Evolutionists na wanasayansi wanaounga mkono hiyo kitu wanasema binadamu wa kwanza aliishi Tanzania. Ndio maana unatakiwa usaidie jamii alitokea ziwa au bahari gani hapo oldvai gourge, pia ueleze alifikaje huko uk,india,china,s/america kutokea arusha. ili kuficha uzushi huu ikabidi wakimbilie kuwa hayo yote yalitokea miaka lukuki iliyopita. Huoni kama unahitaji imani kukubaliana na hayo. Tena Dr LEaky alitumai Carbon 14. age range ya kupima kuwa kutumia carbon 14 ni kati ya miaka 50000 hadi 60000. Ukipata nje ya hapo ni uongo mzuri tu kama ulivyoambiwa umri wa ndoano iliyokuwa patented miaka ya 1800 na kupimwa kwa vipimo hivyo kukutwa na miaka millini 300. Yaani hata wewe bibi aliyemzaa bibi wa bibi yangu tukimfukua leo tukampima ana umri gani kwa vifaa hivyo carbon dating au radiometric usishangae kumkuta anamiaka millioni 6 iliyopita.Hizo habari za homo habilis kutoka arusha (oldvai gorge) mpaka bagamoyo then atengeneze ngalawa (or whatever) umezileta wewe so nadhani inafaa kutupatia evidences..!
Wamuulize yesu wa nini wakati hadi yesu anakuwepo kulikuwa na record kuanzia adam mtoto wa adam SETH hadi Yesu mwenyewe. Hilo halikuwa swali kwao, limekuwa swali baada ya kuibuka miaka ya 1600 upinzani na ujanja ujanja wa kubuni miaka maelfu ili theory za watu zilete maana. miaka ni around 6000.Estimation za bible ni chaka... hawana records... cha ajabu wameshindwa hata kumuuliza yesu hilo swali ambae ndio mungu wao... hivi haya maswali tunayouliza leo kwanin hakuulizwa yesu ayatolee majibu?? Alafu kuna watu watuambia kila siku kwamba wameongea na Mungu.. why amumuulizi maswali haya awape majibu???
Kuna documentary inasema enzi za ice age watu wengi walitawanyika sababu bahari iligeuka na kuwa barafu,ndio sababu ya mtawanyiko huo wa watuMimi moja kwa moja napingana na CREATIONISM kwa maana haina mantiki.Nasema haina mantiki kwa sababu inatuachia maswali yasiyo na majibu na kutulazimisha tuiamini badala ya kuielewa.Mimi nina maswali yafuatayo kuhusu CREATIONISM.
1.Kama watu wote walitokea sehemu moja(mf.Mashariki ya kati), ni technologia ipi iliyotumika kusambaza watu kutoka mashariki ya kati kwenda maeneo mbalimbalina ya Dunia kama Chile, Madagascar n.k?
walivukaje bahari? Kama walisafiri, kwa nini wasingekuwa wanawasiliana kwa safari za mara kwa mara? Kwa nini kina V.Da Gama, C.Columbus wawe wagunduzi wa maeneo mengine? ina maana waliamini Dunia ni maeneo walimoishi pekee?
2.Kama tumetokana na Baba na Mama mmoja, kwa nini watu tunatofautiana sana? nini sababu na mechanism iliyosababisha wawepo watu weupe na weusi? Miaka 6000 inatosha kuruhusu mabadiliko makubwa tunanoyashuhudia ya tofauti miongoni mwa jamii za watu wa hii Dunia?
3.Kwa nini kuna mabaki ya kale yenye umri zaidi ya miaka milioni? kwa nini hayo mabaki hayapatikani nje ya Africa? Kwa nini fossils zinaonesha 'Life complexity' inaongezeka kutoka matabaka ya chini kuja matabaka ya juu ya miamba?
4.Kwa kuwa Watu waliumbwa kutokana na udongo, ni material yepi yaliyotumika kuumba viumbe wengine kama wanyama na mimea? Mbona watu wanafanana sana na hawa viumbe wengine?
5.Ukowapi ushahidi/mabaki ya bustani ya Eden, masalia/makaburi ya Adam na Eva?
Yako wapi masalia ya safina ya Nuhu? Mbona Palaeontology haioneshi kama mafuriko ya Dunia nzima yamewahi kutokea na kuua watu?
6.Kwa nini vitabu vya dini havizungumzii uwepo wa sayari nyingine?, Kama hizo Sayari ziliumbwa na Mungu, ni za kazi gani?
7.Kama Mungu ndiye muumbaji wa kila kitu, kwa nini aumbe viumbe hatarishi kwa watu wake kama vile; Virus, bacteria na Fungus wenye kusababisha magonjwa na vifo kwa watu? Mungu mwenye upendo wote anaweza kuumba vyanzo vya matatizo kwa watu wake?
8.Kwa nini miili ya viumbe vya Mungu iwe na vestigial organs?
9.Kwa nini Mungu aumbe Dunia yenye majanga asilia kama matetemeko ya nchi, mafuriko, vimbunga na milipuko ya volcano? Intelligent designer anaweza kuumba dunia yenye majanga kama hii ya kwetu?
10.Kwa nini Mungu alisikitika na kuhuzunika baada ya kumuumba Binadamu(Mwa.6:5-8)? Mungu gani mjuzi wa yote afanye jambo la kumsikitisha na kumhuzunisha siku za mbeleni?
karibu, athante ila ni kachangamoto kidogo ili uanze kufikiri nje ya hilo box. Jifunze EVOLUTION kama theory tu ambayo inaweza kuwa si kweli kama inavyokuwa challenged. Vinginevyo utaferiAsee... MSEZA MKULU nmekugawa bure!
Wanasayansi nao wako wa aina mbili creationist scientist na Evolutionists. Na hao wengine kwa imani yao ya uumbaji wamekuwa wakinyanyaswa na kukandamizwa. Mfano tu ni Founder wa MRI scanner alinyimwa Tuzo ya NOBEL kisa tu Haamini Evolution. Shetani anapitia huku pia kuongeza dimension ya uasi duniani.Huu ni mtihani mwingine. Ila cha msingi ni lazima tujue kuwa;
1. Shetani yupo
2. Shetani anapingana na Mungu
3. Shetani ana nguvu na akili nyingi sana.
Kutokana na hayo, ni rahisi kwa shetani kulazimisha wanasayansi waongee wanachoongea, au kubadilisha ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli. Maswali yapo mengi mnoooo tena mno, lakini hayana majibu. Kukosa majibu hakumaanishi kuwa Mungu hayupo au uumbaji siyo sahihi.
Mimi ninaamini uumbaji kwa kuwa ni neno la Mungu lilioandika.
Usipotezwe Bing bang Theory ni UNSCIENTIFIC MYTH which is not supported by almost every law of science and physics.Napingana na Bible, maana utafiti wake hauna mantiki na umejikita zaidi kwenye kuamini(imani)
Imani iko 50/50, inaweza ikawa kweli au isiwe hivyo basi bible inaongopa.
Big Bang imetokea kati ya miaka billion 12 mpaka 14
Iliyopita. To put this in perspective, the Solar System is thought to be 4.5 billion years old and humans
have existed as a genus for only a few million years. Astronomers estimate the age of the universe
in two ways:
1) by looking for the oldest stars; and
2) by measuring the rate of expansion of the
universe and extrapolating back to the Big Bang; just as crime detectives can trace the origin of a
bullet from the holes in a wall.
Hahahahaha we jamaa ni mjinga wa mwisho kabisa...! Poa bana... Mi ntaendelea kukushangaa tu...!karibu, athante ila ni kachangamoto kidogo ili uanze kufikiri nje ya hilo box. Jifunze EVOLUTION kama theory tu ambayo inaweza kuwa si kweli kama inavyokuwa challenged. Vinginevyo utaferi
hujaongea chochote kuhusu unachoamini nje ya huu ujinga wangu. karibu lakiniHahahahaha we jamaa ni mjinga wa mwisho kabisa...! Poa bana... Mi ntaendelea kukushangaa tu...!