Dunia ina Umri gani? Mabillioni, Mamillioni, Malaki au Maelfu?

Darwin alikuwa na akili sana toka babu yake alikuwa botanist wkati baba yake akiwa medical doctor , alipata elim nzuri pia alitembea sehemu mbali mbali za ulimwengu alikuwa ni mmoja wa binadamu wenye akili tuu.

Mzee wa upako yuko right ungezaliwa pakistan leo hii ungekuwa uko ISIS unakata vichwa vya wakristo. Kwanza huwa namkubal sana huyo jamaa ni muelewa

Lakini ni vema tungebaki na miaka hii hii bilion 4 ambayo ina include hadi yako ya 6000, hebu tuitendee haki sayansi
 
“Mwanzo” ni Lini?
Masimulizi ya kitabu cha Mwanzo yanaanza kwa taarifa hii sahili lakini yenye kujaa maana: “Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia.” (Mwanzo 1:1) Wasomi kadhaa wa Biblia wanakiri kwamba taarifa hiyo inafafanua jambo tofauti na mambo yaliyofanywa katika zile siku za uumbaji zinazozungumziwa kuanzia mstari wa 3. Yaani, kulingana na maneno ya ufunguzi ya Biblia, tayari ulimwengu, kutia ndani Dunia yetu, ulikuwako kwa muda usiojulikana kabla ya siku za uumbaji.
Wanajiolojia wanakadiria kwamba dunia imekuwako kwa muda wa miaka bilioni 4, nao waastronomia hukadiria kwamba huenda ulimwengu umekuwako kwa muda wa miaka bilioni 15. Je, mavumbuzi hayo—na mengine yatakayovumbuliwa wakati ujao—yanapingana na Mwanzo 1:1? Hapana. Biblia haitaji muda hususa ambao “mbingu na dunia” zimekuwako. Sayansi haipingani na mambo yanayosemwa katika Biblia.
Mungu angewezaje kutokeza nuru katika siku ya kwanza kama hakuwa amefanya mianga hadi siku ya nne? Neno la Kiebrania linalotafsiriwa ‘fanya’ katika mstari wa 16 si sawa na neno ‘umba’ linalotumiwa katika Mwanzo 21, sura ya 1, mstari wa 1, 21, na 27. “Mbingu” ambazo zilitia ndani mianga ziliumbwa muda mrefu kabla ya “siku ya kwanza” kuanza. Lakini nuru ya mianga hiyo haikuwa imefika kwenye uso wa dunia. Katika siku ya kwanza, “kukawa na nuru” kwa sababu nuru ilipenya mawingu mazito na kuonekana duniani. Hivyo, dunia iliyokuwa inazunguka ikaanza kuwa na vipindi vya mchana na usiku. (Mwanzo 1:1-3, 5) Bado vyanzo vya nuru hiyo havikuonekana kutoka duniani. Hata hivyo, katika kipindi cha nne cha uumbaji, badiliko muhimu lilitokea. Sasa, jua, mwezi, na nyota zilifanywa ‘ziangaze dunia.’ (Mwanzo 1:17) ‘Mungu alizifanya’ katika maana ya kwamba sasa zingeweza kuonekana kutoka duniani.
Mungu angewezaje kutokeza nuru katika siku ya kwanza kama hakuwa amefanya mianga hadi siku ya nne? Neno la Kiebrania linalotafsiriwa ‘fanya’ katika mstari wa 16 si sawa na neno ‘umba’ linalotumiwa katika Mwanzo 21, sura ya 1, mstari wa 1, 21, na 27. “Mbingu” ambazo zilitia ndani mianga ziliumbwa muda mrefu kabla ya “siku ya kwanza” kuanza. Lakini nuru ya mianga hiyo haikuwa imefika kwenye uso wa dunia. Katika siku ya kwanza, “kukawa na nuru” kwa sababu nuru ilipenya mawingu mazito na kuonekana duniani. Hivyo, dunia iliyokuwa inazunguka ikaanza kuwa na vipindi vya mchana na usiku. (Mwanzo 1:1-3, 5) Bado vyanzo vya nuru hiyo havikuonekana kutoka duniani. Hata hivyo, katika kipindi cha nne cha uumbaji, badiliko muhimu lilitokea. Sasa, jua, mwezi, na nyota zilifanywa ‘ziangaze dunia.’ (Mwanzo 1:17) ‘Mungu alizifanya’ katika maana ya kwamba sasa zingeweza kuonekana kutoka duniani
 
Masimulizi ya kitabu cha Mwanzo yanaanza kwa taarifa hii sahili lakini yenye kujaa maana: “Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia.” (Mwanzo 1:1) Wasomi kadhaa wa Biblia wanakiri kwamba taarifa hiyo inafafanua jambo tofauti na mambo yaliyofanywa katika zile siku za uumbaji zinazozungumziwa kuanzia mstari wa 3. Yaani, kulingana na maneno ya ufunguzi ya Biblia, tayari ulimwengu, kutia ndani Dunia yetu, ulikuwako kwa muda usiojulikana kabla ya siku za uumbaji.

Wanajiolojia wanakadiria kwamba dunia imekuwako kwa muda wa miaka bilioni 4, nao waastronomia hukadiria kwamba huenda ulimwengu umekuwako kwa muda wa miaka bilioni 15. Je, mavumbuzi hayo—na mengine yatakayovumbuliwa wakati ujao—yanapingana na Mwanzo 1:1? Hapana. Biblia haitaji muda hususa ambao “mbingu na dunia” zimekuwako. Sayansi haipingani na mambo yanayosemwa katika Biblia.
 
Haya mengine yooote mi sijui ila nachoamini mwisho wa dunia ni pale mtu anapokufa basi,tena yawezekana nikikufa kesho basi kesho kutwa ntazaliwa Donad Trump.so hatuna mwanzo wala mwisho,na dunia haina mwanzo wala mwisho
 
Nawapenda wapumbavu wanaoamini wanachoambiwa na kukataa wanachoambiwa. Biblia inasema mpumbavu amesema moyoni mwake kwamba hakuna Mungu. Sasa naongea na hao wapumbavu.
1. Biblia sio scientific book. Mpumbavu angetaka biblia ijieleze kisayansi wakati lengo la biblia ni mpaka mwenye uelewa mdogo amuelewe Mungu.sasa biblia ingeandikwa kisayansi wsngapi wangeisoma?
2. Mpumbavu anafikiri Biblia imekuja na majibu mepesi. Ingekuwa hivyo Mungu sio mpumbavu wa kudumaza akili za wanadamu. Mungu alimuumba mwanadamu katika kiwango bora kabisa na alimuachia kazi ya kustimulate uwezo wa kufikiri.
3. Mpumbavu anasifia kazi iliyofanywa na mwanadamu kwa kile ambacho ni haki ya mwanadamu kukifanya.
Kuhusu miaka ya Dunia
Kwa Mungu priority haikuwa kuleta habari za kiuchunguzi Bali ilikuwa kuleta mahusiano na yeye na kuleta ustaarabu kwa Dunia.
Hitimisho
Mwalimu akikuachia homework halafu ukaikamilisha INA maana huyo MWALIMU ni mjinga?
Aliyekuachia Homework na wewe uliyefanya yupi anastahili sifa?
 
Kuna nyayo mpya imegundulika hapa kwetu Tanzania kwamba binadamu wa kale aliishi miaka million tatu iliyopita. Kwa mantiki hiyo binadamu hawa waliishi Tanzania miaka 1000 kabla ya Kristo Yesu.

Yawezekana mambo haya ni kweli:-

1. Bado hatujajua huu mfumo mzima wa solor umejitengeneza kwa miaka mingapi? na Je kipi kilifanyika mpaka kila kitu kikawa automated. kwa mfano Namna dunia inavyojuzungusha yenyewe, kwa nini isisimame kwa muda au itokee hitilafu iache kuzunguka?

2. Binadamu wa kale alikuwa Mweusi ama Mweupe? Kwa nini sisi wanadamu kama tulitokana na kitu kimoja kwa nini tunatofautiana? wachina, wazungu, waafrica ???

3. Nini kilifana sayari ya dunia ikawa na uhai na nyingine zikakosa?

4. Jua lilijitengenezaje kuwa na madini yanayomulika bila kuisha miaka mabillioni kwa mabilioni?

5. Nguvu ya Uvutano yaani Gravitation force ipo wapi? nguvu hii ndiyo inafanya sisi na vyote vilivyopo juu ya dunia visiporomoke angani





 
4.Kwa kuwa Watu waliumbwa kutokana
na udongo, ni material yepi yaliyotumika
kuumba viumbe wengine kama wanyama
na mimea? Mbona watu wanafanana sana
na hawa viumbe wengine?



aliendika hiyo na yy anajiita great thinker .....daaa ndugu yangu ww sijui.ni wa 2000
 
Naona huu uzi ulikuwa mchachu kwa baadhi ya watu humu
 
Toka Adamu mpaka wakati WA gharika ya Nuhu ni miaka 2000, toka Yesu Hadi kuzaliwa Yesu miaka 2000, toka Yesu Hadi sasa miaka 2017
 
19 Bwana Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake.
 
Maswali ya msingi haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…