Yes ni makadirio yanayokaribia ukweli baada ya tafiti za kisayansi ,sio kuambiwa eti dunia ina miaka 6000 bila tafiti yoyote ,na kulazimika kuamini kwa hofu ya kuchomwa moto huko kwenye mawinguHaya ni makadirio tu ya kisayansi hususani kwa kupima umri wa miamba kwa kutumia miyonzi.
Lakini hili sio jibu la uhakika
Aliyekupa Akili hiyo ya kujua ni nani?Mungu hajui nina uhakika na hilo ila sisi wanadamu tumeshajua umri wa dunia mpaka umri wa jua na tunajua lini jua litapotea
Time passes different to different observers ,Nothing doesn't exist.
Einstein relativity inasema kwamba.
"The rate at which time passes, Depends on your frame of reference"
Yani kuji uliza kuhusu uwepo wa kitu fulani lazima uwe na frame of reference.
Sasa kuuliza Dunia ili jitengenezaje, mtu lazima aoneshe ana frame of reference ipi?
Yani kwanza, kwa nini anadhani dunia ilijitengeneza au imetengenezwa.
Mkuu Enzi za farao,simu zilikuwepo..Tena mobile na hata laptop...ndege pia zilikuwepo.Wanajamvi Salam.
Leo nataka kujua zaid kuhusu mada fikirishi ya umri wa dunia. Kupitia hadithi mbalimbali za historia na vitabu vya dini, zinatuambia Kwamba Dunia ilianza takriban miaka million kadhaa huko nyuma. Pia watu walioishi miaka hiyo ya nyuma sana inasimuliwa na kuaminika kwamba walikua ni watu wenye maumbile makubwa sana kimwili, wenye nguvu sana, wenye akili sana, majasiri, wenye uthubutu, na sifa nyinginezo kedekede.
Swali langu la msingi ni kwamba, kwa huu umri wa Dunia unaosimuliwa na aina ya watu waliokwepo zamani, kwanini Civilization na technological advancement zimechelewa sana? Kwanini maisha ya zamani yalikua magumu sana, (only strongest survived) Kwanini maisha yamekua some how simplified kuanzia karne ya angalau ya 15 hapo?
Does it mean hao watu wa zamani walikua vilaza sana tofauti na historia zinavowapamba? Kama sio, kwanini hawakuwa na hiyo akili na uvumbuzi wa teknolijia ambayo ingepunguza ugumu wa maisha tokea miaka hiyo??
Kwa wale Watu wazima waliozaliwa miaka kati ya 1930 hadi 1970 ambao wako hai hadi leo, wanasema wameishi katika ulimwengu wa zaid ya aina 3 hapahapa duniani. Kwanini wanasema hivyo? Angalia gap la mabadiriko ya dunia kuanzia 2010 hadi sasa, Rudi nyuma Kidogo angalia mabadiriko ya dunia ya 2000 hadi 2010, kisha endelea kurudi nyuma kwa kuangalia dunia ya miaka chini ya 2000. Nadhani hapo utakua umepata picha kidogo ya swali langu. Dunia ya 2000 ni tofauti kabisa na dunia ya 2023.
Hiyo dunia ya zamani na watu wake wenye uwezo mkubwa walishindwa hata kutengeneza simu ili wawasiliane? Computer zimekuja mwishoni mwa karne ya 20 (miaka ya 1940-1950) kama sikosei, Simu pia zilianza miaka ya 1980s, magari na vyombo vingi vya moto vilianza kuanzia angalau karne ya 15 hapo. Unaambiwa watu walikua wanasafiri hata miezi kadhaa wako tu njiani. Sasa hizo akili na uwezo wao mkubwa ulikua wap?
Mwisho, mi naamini hii dunia ni ya Juzijuzi tu hapo. Naombeni mje na hoja za kusema hii dunia ina hiyo miaka mamilioni.
Makadirio yanaweza kuwa sawa au yasiwe sawa au yanayokaribiana kuwa sawa na ukweli... haimaanishi kila kadirio ni sahihi au ni la kweli, linaweza kuwa si kweli vilevile.Yes ni makadirio yanayokaribia ukweli baada ya tafiti za kisayansi ,sio kuambiwa eti dunia ina miaka 6000 bila tafiti yoyote ,na kulazimika kuamini kwa hofu ya kuchomwa moto huko kwenye mawingu
Hiyo super power iliwezaje kuwepo kutoka kwa kutokuwepo kitu?There is a super power which is the beginning of every thing including the earth!
Braza hii mbona kama kamba๐ ๐ tunaamini misri enzi hizo kemet kama historia inavotuambia ilkua mbele sana ya muda lkn sio kua na laptop ๐ ๐Mkuu Enzi za farao,simu zilikuwepo..Tena mobile na hata laptop...ndege pia zilikuwepo.
Sasa hili swali sio la IMANI.tunaamini MUNGU kwa mara ya kwanza tangu kuubwa kwa ulimwengu alijifunua kupitia kwa Nabii wake Musa ili atuletee ujumbe huo kwenye Torati yenye vitabu 3.
Watakuambia Dunia ni ya juzi tu, hayo madubwasha hayajawahi kuwepo...mafuvu yanayogundulika ni fake yanapandikizwa na wanasayansi wapinga MunguNdio nikawa najiuliza haya madubwasha yalikufakufaje maana yamepotea yote hata huku fuvu lake liligunduliwa moja
Dinasaurs zilikuepo enzi hizo yaan ile mijusi mikubwa ilipigwa gharika ya mawe ya MotoWatakuambia Dunia ni ya juzi tu, hayo madubwasha hayajawahi kuwepo...mafuvu yanayogundulika ni fake yanapandikizwa na wanasayansi wapinga Mungu
Kumbe gharika sio maji Tena?Dinasaurs zilikuepo enzi hizo yaan ile mijusi mikubwa ilipigwa gharika ya mawe ya Moto
Ushahidi upo...waweza googleBraza hii mbona kama kamba๐ ๐ tunaamini misri enzi hizo kemet kama historia inavotuambia ilkua mbele sana ya muda lkn sio kua na laptop ๐ ๐
Nimeweka position ilivyo kwenye biblia sijachukua upande wowote MkuuMabaki ya denouser tu yanaonyesha waliishi miaka milioni 200 iliyopita,mabaki ya fuvu waliloamua kuliita zinja hapo arusha linaonyeaha aliishi miaka milioni 2 iliyopita ,mapango yale ya amboni cave ya tanga yakipimwa yanaonyesha yalikuwpo miaka milioni 30 iliyopita sasa wewe hivyo vimiaka 6000 iliyopita ambayo baadhi ya mavuvu ya mapharao ambayo yapo hadi leo yanaonyesha baadhi waliishi miaka hiyo 6000 iliyopita.walioandika hayo maandiko ya biblia kwmba dunia ina miaka 6000 tubaadhi yao walikua hawajielewi au shule ilikua ndogo au waliandika kwaajili ya watu wasikua na akili ya kufikiria
Kwamba viumbe wa Dunia nzima wakaingia kwenye Safina!?Kumbe gharika sio maji Tena?
Halafu Nuhu si aliingiza viumbe wote kwenye safina?
Dunia Haina umri mazee vitu vingine anajua Mungu tu
Nyie ndio mnaosababisha watu waendelee kumtukana huyo Mungu sababu mmejiwekea limitation ya kutumia akili badala yake mnatumia hisia.Ajuaye umri exactly wa Dunia ni Mungu tu.
Ndege, kuku ni dinasour uje [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ujue kuku na mamba wanafanana kuliko mamba na kenge [emoji1787][emoji1787][emoji1787]kenge anafanana zaidi na nyoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio nikawa najiuliza haya madubwasha yalikufakufaje maana yamepotea yote hata huku fuvu lake liligunduliwa moja
Akili yangu imeevolve hamna mtu au kitu kilichotupa akili zaidi ya mazingiraAliyekupa Akili hiyo ya kujua ni nani?
Madudu hayo kipindi yapo mamalia waliokuwepo duniani walikua size ya panya au paka hata tembo au nyangumi hakuwepo duniani.Kumbe gharika sio maji Tena?
Halafu Nuhu si aliingiza viumbe wote kwenye safina?