Dunia ina Umri gani?

Dunia ina Umri gani?

nadhani wewe unataka kujua modern humans wametokea lini hapa duniani....ni miaka michache iliyopita sidhani kama inazidi miaka 150,000 tu

Ni juzi kabisa

Dunia ina miaka Bilioni 4 kama landmass...mwanadamu tena modern human katokea juzi tu by accident
 
Kwani dunia ilijitengeneza yenyewe? Ilijitengenezaje? Na kabla ya kuwepo dunia, nini kilikuwepo? Na kama vilikuwepo vitu (material) ambavyo viliunda (form) dunia, hivyo vitu vilitoka wapi? Je, unaweza kupata kitu pasipo na kitu?
Einstein relativity inasema kwamba..

"The rate at which time passes, Depends on your frame of reference"

Sasa kuuliza Dunia ili jitengenezaje, Unauliza kutoka frame ya reference ipi?

Kwa nini unadhani dunia imetengenezwa au ili jitengeneza?
 
Why there is something rather than nothing?
Nothing doesn't exist.

Einstein relativity inasema kwamba.

"The rate at which time passes, Depends on your frame of reference"

Yani kuji uliza kuhusu uwepo wa kitu fulani lazima uwe na frame of reference.

Sasa kuuliza Dunia ili jitengenezaje, mtu lazima aoneshe ana frame of reference ipi?

Yani kwanza, kwa nini anadhani dunia ilijitengeneza au imetengenezwa.
 
Einstein relativity inasema kwamba..

"The rate at which time passes, Depends on your frame of reference"

Sasa kuuliza Dunia ili jitengenezaje, Unauliza kutoka frame ya reference ipi?

Kwa nini unadhani dunia imetengenezwa au ili jitengeneza?
Hakuna kinachoitwa kitu (object) ambacho hakikutengenezwa. Vitu vyote (vinavyoonekana na visivyoenekana) ni lazima kuna asili yake (mtengenezaji).

Yawezekana kitu hicho kimejiunda kutokana na mkusanyiko wa vitu vidogo vidogo kutoka vyanzo tofauti, lakini vyanzo hivyo vitengenezwa. Kwa mfano diatomic gases kama oxygen, hizi zilijiunda kwa kuungana atomi mbili za oxygen, na vyanzo vya atomi hizo vinajulikana (vinaweza kuwa maji au mimea).

Dunia nayo huenda ni muunganiko wa vitu tofauti tofauti. Sasa hivyo vitu vilitengenezwa na nani? Huwezi kusema ilitokea kusikojulikana!

Kuhusu time reference, hii ihesabiwe tangu dunia ilipozaliwa (ilipojitokeza), kwani watu wanasema muda una uhusiano na "gravity", ambayo hupatikana kwenye uso wa dunia.
 
Hakuna kinachoitwa kitu (object) ambacho hakikutengenezwa. Vitu vyote (vinavyoonekana na visivyoenekana) ni lazima kuna asili yake (mtengenezaji).

Yawezekana kitu hicho kimejiunda kutokana na mkusanyiko wa vitu vidogo vidogo kutoka vyanzo tofauti, lakini vyanzo hivyo vitengenezwa. Kwa mfano diatomic gases kama oxygen, hizi zilijiunda kwa kuungana atomi mbili za oxygen, na vyanzo vya atomi hizo vinajulikana (vinaweza kuwa maji au mimea).

Dunia nayo huenda ni muunganiko wa vitu tofauti tofauti. Sasa hivyo vitu vilitengenezwa na nani? Huwezi kusema ilitokea kusikojulikana!

Kuhusu time reference, hii ihesabiwe tangu dunia ilipozaliwa (ilipojitokeza), kwani watu wanasema muda una uhusiano na "gravity", ambayo hupatikana kwenye uso wa dunia.
Kama kila kitu lazima kiwe na mtengenezaji wake, Na Mtengenezaji wa dunia na yeye lazima awe na mtengenezaji wake.

Mtengenezaji wa dunia na yeye hawezi kutokea tu from nothing.

Hapa sasa kuna infinity ya watengenezaji. Maana kila mtengenezaji lazima awe na mtengenezaji wake.
 
Kama kila kitu lazima kiwe na mtengenezaji wake, Na Mtengenezaji wa dunia na yeye lazima awe na mtengenezaji wake.

Mtengenezaji wa dunia na yeye hawezi kutokea tu from nothing.
Hapa sasa kuna infinity ya watengenezaji. Maana kila mtengenezaji lazima awe na mtengenezaji wake.
There is a super power which is the beginning of every thing including the earth!
 
Yani ya binadamu au viumbe.. Dunia imepitia vifo vya halaki kama vipindi vitatu hv. Kipindi cha kwanza ni pale cyno bacteria walipoanza tengeneza oxygen dunia ikaganda. Chapili kinaitwa great dying hatujui sababu yake ila asilimia 95% ya viumbe wa nchi kavu walikufa na 98% ya baharini walikufa... Chatatu ni pale dunia ilipopigwa kimondo kuua dinasour wote wasio ndege
Tuongezee nyama nyama hapa au fungua uzi mpya elezea kiundani
 
Mwanzo 1:1-
"Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Nayo nchi ilikuwa tupu, tena bila umbo, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji."

Biblia haijaweka wazi kuwa nchi ilikuwa tupu Kwa muda Gani.

Sayansi inaweza jibu ila Hilo jibu pia sio uhakika.
 
Mwanzo 1:1-
"Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Nayo nchi ilikuwa tupu, tena bila umbo, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji."

Biblia haijaweka wazi kuwa nchi ilikuwa tupu Kwa muda Gani.

Sayansi inaweza jibu ila Hilo jibu pia sio uhakika.
Biblia kitabu Cha juzi, haiwezi kuwa na majibu hapa
 
Kwani dunia ilijitengeneza yenyewe? Ilijitengenezaje? Na kabla ya kuwepo dunia, nini kilikuwepo? Na kama vilikuwepo vitu (material) ambavyo viliunda (form) dunia, hivyo vitu vilitoka wapi? Je, unaweza kupata kitu pasipo na kitu?
hapo ndipo imani inakuja. Kuna mwanasayansi mmoja aliamua kujiua ili ajue baada ya kufa unakwenda wapi, tunasubiri bandiko lake tulisome.
 
Kulingana na hesabu ya vizazi na miaka yao waliyoishi katika biblia, inakadiriwa tangu Edeni mpaka wakati wa Gharika, ni miaka elfu 2, na tangu wakati wa gharika mpaka kuzaliwa kwa Bwana Yesu ilipita miaka elfu 2 hivi, na tangu kipindi cha Bwana wetu Yesu hata leo nacho pia ni kipindi cha miaka elfu 2 kimepita. Kwahiyo jumla yake tangu Edeni mpaka sasa ni miaka kama elfu 6
 
Wanajamvi Salam.
Leo nataka kujua zaid kuhusu mada fikirishi ya umri wa dunia. Kupitia hadithi mbalimbali za historia na vitabu vya dini, zinatuambia Kwamba Dunia ilianza takriban miaka million kadhaa huko nyuma. Pia watu walioishi miaka hiyo ya nyuma sana inasimuliwa na kuaminika kwamba walikua ni watu wenye maumbile makubwa sana kimwili, wenye nguvu sana, wenye akili sana, majasiri, wenye uthubutu, na sifa nyinginezo kedekede.
Swali langu la msingi ni kwamba, kwa huu umri wa Dunia unaosimuliwa na aina ya watu waliokwepo zamani, kwanini Civilization na technological advancement zimechelewa sana? Kwanini maisha ya zamani yalikua magumu sana, (only strongest survived) Kwanini maisha yamekua some how simplified kuanzia karne ya angalau ya 15 hapo?
Does it mean hao watu wa zamani walikua vilaza sana tofauti na historia zinavowapamba? Kama sio, kwanini hawakuwa na hiyo akili na uvumbuzi wa teknolijia ambayo ingepunguza ugumu wa maisha tokea miaka hiyo??

Kwa wale Watu wazima waliozaliwa miaka kati ya 1930 hadi 1970 ambao wako hai hadi leo, wanasema wameishi katika ulimwengu wa zaid ya aina 3 hapahapa duniani. Kwanini wanasema hivyo? Angalia gap la mabadiriko ya dunia kuanzia 2010 hadi sasa, Rudi nyuma Kidogo angalia mabadiriko ya dunia ya 2000 hadi 2010, kisha endelea kurudi nyuma kwa kuangalia dunia ya miaka chini ya 2000. Nadhani hapo utakua umepata picha kidogo ya swali langu. Dunia ya 2000 ni tofauti kabisa na dunia ya 2023.

Hiyo dunia ya zamani na watu wake wenye uwezo mkubwa walishindwa hata kutengeneza simu ili wawasiliane? Computer zimekuja mwishoni mwa karne ya 20 (miaka ya 1940-1950) kama sikosei, Simu pia zilianza miaka ya 1980s, magari na vyombo vingi vya moto vilianza kuanzia angalau karne ya 15 hapo. Unaambiwa watu walikua wanasafiri hata miezi kadhaa wako tu njiani. Sasa hizo akili na uwezo wao mkubwa ulikua wap?

Mwisho, mi naamini hii dunia ni ya Juzijuzi tu hapo. Naombeni mje na hoja za kusema hii dunia ina hiyo miaka mamilioni.
Mr dewij
I'll like to answer you in the manner that outrageous brave man will take a grasp of the concept.

Imagine me and you we are mechanizing a car , let's say it takes us 20 years to modernise it and later on future, it turns out that after all the car isn't working anyhow.

But comes a strange guy who tell us we got everything on point except that we needed an engine to get it started, you see here a guy design an engine and off it go the car is finely working and the guy take all the credit,

It's not fair isn't it, after all it took us two decades

Here is what I mean everything, modern or new which is regarded as hyper technology, advanced one ofcourse it's a series of old sweat of these brave minds who devotedly ventured their souls into creating and innovating

While some of them their work was unfortunately left unfinished, it didn't remain that way , some of their works are being accomplished each and everyday that's what makes us look like we outsmart them but in reality it's their bravely that brought us all here and we should forever be grateful to these gentle, hard working, great thinkers and unknown souls who didn't descend in history for their hard working spirit and devotion which makes this world today beautiful as we see it


It was series of pain and sweat to fight ignorance so that you and I today we can be so brave enough to understand the work of these beautiful souls.

Auf wiedersehen.
FlyingDutchman
 
Kulingana na hesabu ya vizazi na miaka yao waliyoishi katika biblia, inakadiriwa tangu Edeni mpaka wakati wa Gharika, ni miaka elfu 2, na tangu wakati wa gharika mpaka kuzaliwa kwa Bwana Yesu ilipita miaka elfu 2 hivi, na tangu kipindi cha Bwana wetu Yesu hata leo nacho pia ni kipindi cha miaka elfu 2 kimepita. Kwahiyo jumla yake tangu Edeni mpaka sasa ni miaka kama elfu 6
Mabaki ya denouser tu yanaonyesha waliishi miaka milioni 200 iliyopita,mabaki ya fuvu waliloamua kuliita zinja hapo arusha linaonyeaha aliishi miaka milioni 2 iliyopita ,mapango yale ya amboni cave ya tanga yakipimwa yanaonyesha yalikuwpo miaka milioni 30 iliyopita sasa wewe hivyo vimiaka 6000 iliyopita ambayo baadhi ya mavuvu ya mapharao ambayo yapo hadi leo yanaonyesha baadhi waliishi miaka hiyo 6000 iliyopita.walioandika hayo maandiko ya biblia kwmba dunia ina miaka 6000 tubaadhi yao walikua hawajielewi au shule ilikua ndogo au waliandika kwaajili ya watu wasikua na akili ya kufikiria
 
Back
Top Bottom