Dunia ina unafiki sana, Poshqueen anampost Harmonize karibia kila mara, kama vile anampenda kweli

Nimecheka kwa sauti kubwa sana usiku huu mpaka wapangaj wamenishangaa
 
Harmonize ninachomkubali ni kitu kimoja tu, Hana unafiki katika mapenzi yake na mizigo.... Yaani huyu ndo sheikh kipoozeo original, akitoa neema za allah anaweka neema za allah... Hana ujinga

Neema za Allah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Awe makini hasije akaanza kuwalaumu mameneja wake baadae akifulia,akawa mtu wa lawama wakati hela wanazitumbua maslay queen. Konde anatakiwa aende nao kihuni kama anavo fanya kiba/Hemed/Mondi,wanapiga then baada ya hapo kila kimpango wake.
 
Awe makini hasije akaanza kuwalaumu mameneja wake baadae akifulia,akawa mtu wa lawama wakati hela wanazitumbua maslay queen. Konde anatakiwa aende nao kihuni kama anavo fanya kiba/Hemed/Mondi,wanapiga then baada ya hapo kila kimpango wake.
Ila alikiba ni muhuni sana kuzidi wote naona, halafu ni Mr.I don't care akishapita kapita hajali dunia huko nje inaongea nini
 
Najaribu kuimagine unavyotoa vipande vya vuzi kwenye meno 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Nakiri kwamba wewe ni Pagan
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…