Dunia inaelekea wapi? Watu wasio na akili wanazaliana kwa kasi, huku wenye akili hawazaliani

Dunia inaelekea wapi? Watu wasio na akili wanazaliana kwa kasi, huku wenye akili hawazaliani

Mie nasikiliza mziki wa Nigeria. Kila wakati najiuliza what Nigerians have other Africans are missing. Ktk sekta ya muziki tu inadhihirisha jinsi waneijeria walivyo na akili.
Sitaki kuzungimzia sekta nyingine
Hata huo mziki pasipo technology ya mzungu usingekuwa unausikiliza. Make hivyo vyombo vya mziki bado ni technology ya mzungu.
 
Ila hao hao wenye akili,ndo wanaoiangamiza Dunia.
Ila kiuhalisia,kila mtu ana akili nzuri tu mbona.
Sema tunajiendekeza tu.
Kwani zamani kulikuwa na kiberiti!🤔.
Ila watu wetu walikula nyama choma.
Wale walituwahi tu,ila fanya uchunguzoli,ngozi nyeusi Ina Mambo mengi Sana,ila wao hujitweza kuwa juu basi.
Ndiyo wanaiangamiza dunia kwa kiburi
 
Duniani kote watu wenye akili kama Wajapan, Wakorea, Wazungu wa Ulaya na hata Wachina japo wapo wengi ila hawazaliani tena kivile

Watu wasio na akili au wenye akili ndogo ndio wanaongoza kuzaliana kwa fujo , je Dunia itaendelea kupata tena maendeleo na ubunifu iliyokuwa ikipata kama watu wenye akili hawataki kuzaliana!?

View attachment 2845588

View attachment 2844266
hahaha wanaongezeka wabeba tofar na machawa.
 
Mtoa mada ametoa mada chungu Sana kwetu. Ukweli huu utabaki kuwa mchungu kwetu miaka nenda Rudi. Wewe fikiria tangu tupate uhuru nchi za kiafrika. Tumeshindwa kufanya Cha maana.
Mfano maendeleo yaliyoko S Africa ni matokeo ya mzungu. Leo Bada ya kupewa ngozi nyeusi nchi wameishindwa kuindesha kabisa. Umeme unakatika Kila mda. Matatizo kibao. Lakin kipindi Cha utawala wa mzungu hizo shida hazikuwepo. Waafrika tunapenda Sana ngono. Mtu mwenye akili ndogo atawaza ngono mda wote ndo maana maskin anaamin kuwa na watoto wengi ndo utajiri. Matokeo yake ni kutengeneza chain ya umaskn Toka kizazi Hadi kizazi.

Ebu tujiulize kwenye hii Dunia mtu mweusi ana mchango Gani katika sector zote za kimaisha? Utakuta Kila kitu ni WA mwisho na hategemei hata kutoka huko. Kama vyongozi wenyewe ndo wanauza rasilimali Kwa mzungu.
 
Kubun mziki ni kazi ndogo sana. Bado huwezi tenganisha technology mbovu halafu utegemee mziki mzuri aisee
Kwa nini nyie TZ hambuni mziki na kushika dunia. ? Una maanisha bob Marley alifanya kazi ndogo sana kubuni hazina ya mxiki wa reggae?
Hebu buni mziki mara moja tuamini kuwa ni kazi ndogo.
 
Kwa hiyo unakubaliana na mtoa mada kuwa tuna akili ndogo? Kama hatuwezi kusimamia makampuni makubwa maana yake uwezo wetu ni mdogo
Sio kwamba watu hawana akili bali wamekataa kuwa nazo
Mimi ni mtu mzima nakumbuka zamani watu walikuwa na biashara zinazokua na mpaka kumuona mtu huyu ni tajiri ana miliki mashamba ana nyumba ana magari
Lakini leo hii watu wamekuwa majizi na akili zao ni upigaji tu hata ukimpa mshahara wa 3 au 4m kwa mwezi bado ataiba tu
Sheria hazifuatwi tumekua kama mbuzi tu anaibuka waziri kachaguliwa asubuhi anadamka kwenda kufunga geti eti watakaochelewa wakae nje
Halafu baada ya wiki yeye mwenyewe waziri yuko kama wao
Punctuality, dedication, hard work, trustworthy na mengi hatuna watz
Tunataka maisha ya ujanja ujanja tu au niseme ya ujinga ujinga tu
Mkandarasi unapiga mpaka cement ili atauuwe ama
Traffic anapewa 20,000 kwa kuachia bus lenye tairi kipara
Na hajali likienda kuuwa watu huko, yeye anaona 20,000 tu

Sasa kuna binadamu hapo
 
Kwa nini nyie TZ hambuni mziki na kushika dunia. ? Una maanisha bob Marley alifanya kazi ndogo sana kubuni hazina ya mxiki wa reggae?
Hebu buni mziki mara moja tuamini kuwa ni kazi ndogo.
Ndugu Tangantika. Mziki ni maneno. Mtu anatunga na kuanza kuimba. Pasipo technology huo mziki au maneno hayana maana yoyote. Na hayo maneno na vifaa ndo huzalisha mziki. Hapa huwezi mtoa mzungu na technology yake. Kutunga maneno na kuyaimba sio kazi ngumu. Make Kuna watu Wana vipaji vya kuimba.
 
Sio kwamba watu hawana akili bali wamekataa kuwa nazo
Mimi ni mtu mzima nakumbuka zamani watu walikuwa na biashara zinazokua na mpaka kumuona mtu huyu ni tajiri ana miliki mashamba ana nyumba ana magari
Lakini leo hii watu wamekuwa majizi na akili zao ni upigaji tu hata ukimpa mshahara wa 3 au 4m kwa mwezi bado ataiba tu
Sheria hazifuatwi tumekua kama mbuzi tu anaibuka waziri kachaguliwa asubuhi anadamka kwenda kufunga geti eti watakaochelewa wakae nje
Halafu baada ya wiki yeye mwenyewe waziri yuko kama wao
Punctuality, dedication, hard work, trustworthy na mengi hatuna watz
Tunataka maisha ya ujanja ujanja tu au niseme ya ujinga ujinga tu
Mkandarasi unapiga mpaka cement ili atauuwe ama
Traffic anapewa 20,000 kwa kuachia bus lenye tairi kipara
Na hajali likienda kuuwa watu huko, yeye anaona 20,000 tu

Sasa kuna binadamu hapo
Lakin hii shida ipo karibia nchi zote za watu weusi. Na hii ndo inadhihirisha kuwa na akili ndogo kwenyewe Sasa?
 
Mtoa mada ametoa mada chungu Sana kwetu. Ukweli huu utabaki kuwa mchungu kwetu miaka nenda Rudi. Wewe fikiria tangu tupate uhuru nchi za kiafrika. Tumeshindwa kufanya Cha maana.
Mfano maendeleo yaliyoko S Africa ni matokeo ya mzungu. Leo Bada ya kupewa ngozi nyeusi nchi wameishindwa kuindesha kabisa. Umeme unakatika Kila mda. Matatizo kibao. Lakin kipindi Cha utawala wa mzungu hizo shida hazikuwepo. Waafrika tunapenda Sana ngono. Mtu mwenye akili ndogo atawaza ngono mda wote ndo maana maskin anaamin kuwa na watoto wengi ndo utajiri. Matokeo yake ni kutengeneza chain ya umaskn Toka kizazi Hadi kizazi.

Ebu tujiulize kwenye hii Dunia mtu mweusi ana mchango Gani katika sector zote za kimaisha? Utakuta Kila kitu ni WA mwisho na hategemei hata kutoka huko. Kama vyongozi wenyewe ndo wanauza rasilimali Kwa mzungu.
Wazungu wanafanya ngono mpaka na wanyama. Mzungu alishitakiwa huko USA kwa kufanya ngono na nyoka. Matendo wanayofanya wazungu kwenye ngono hakuna mwafrika anaweza kuwafikia. Mzungu anafanya ngono na kiumbe chochote.
Wameweka mpaka klabu za ngono na group ngono.
Wazungu ndio wenye utalii wa ngono. Huenda brazili na Africa kutafuta ngono kwa kutumia pesa.
Tofautisha kuzaa na kufanya ngono. Wazungu wamezuia kuzaa sio kufanya ngono.
 
Wazungu wanafanya ngono mpaka na wanyama. Mxungu alushitakiwa huko USA jwa kufanya ngono na nyoka. Matendo wanayofanya wazungu kwenye ngono hakuna mwafrika anaweza kuwafikia. Mzungu anafanya ngono na kiumbe chochote.
Wameweka mpaka klabu za ngono na group ngono.
Wazungu ndio wenye utalii wa ngono. Huenda brazili na Africa kutafuta ngono kwa kutumia pesa.
Tofautisha kuzaa na kufanya ngono. Wazungu wamezuia kuzaa sio kufanya ngono.
Hapa nimekuelewa
 
Ndugu Tangantika. Mziki ni maneno. Mtu anatunga na kuanza kuimba. Pasipo technology huo mziki au maneno hayana maana yoyote. Na hayo maneno na vifaa ndo huzalisha mziki. Hapa huwezi mtoa mzungu na technology yake. Kutunga maneno na kuyaimba sio kazi ngumu. Make Kuna watu Wana vipaji vya kuimba.
Vifaa vya mziki viligunduliwa Africa tangu zamani. Wazungu wamevitengeneza kisasa na kubuni baadhi tu.
Marimba heijawahi kuwa teknolojia ya mzungu. Kwanza hawana mti wa kuundia malimba. Miti yote inayotoa sauti ipo Africa na America kusini. Microfone bora kabisa iligi duliwa na mmarekani mweusi kwa hio waafrika neo wameshiriki ktk utunzaji wa huo mziki.
Lithium battery ya simu ni mkono wa mmoroco.
Mosfet transistor ni ugunduzi wa mzungu na mfarao . Dhana ya Africa kutoshitoki ktk uundaji wa teknolojia ni ya uongo labda ungesema waafrika wanashiriki kwa kiwango kidogo kilinganisha na mataifa makubwa.
Uwe unachinguza mambo kabla hujafanya hitimisho.
Wakati wewe upo JF kuna waafrica wapo lab kufanya innovation.
 
Duniani kote watu wenye akili kama Wajapan, Wakorea, Wazungu wa Ulaya na hata Wachina japo wapo wengi ila hawazaliani tena kivile

Watu wasio na akili au wenye akili ndogo ndio wanaongoza kuzaliana kwa fujo , je Dunia itaendelea kupata tena maendeleo na ubunifu iliyokuwa ikipata kama watu wenye akili hawataki kuzaliana!?

View attachment 2845588

View attachment 2844266
Ni kama Palestina
 
Duniani kote watu wenye akili kama Wajapan, Wakorea, Wazungu wa Ulaya na hata Wachina japo wapo wengi ila hawazaliani tena kivile

Watu wasio na akili au wenye akili ndogo ndio wanaongoza kuzaliana kwa fujo , je Dunia itaendelea kupata tena maendeleo na ubunifu iliyokuwa ikipata kama watu wenye akili hawataki kuzaliana!?

View attachment 2845588

View attachment 2844266
Palestina hawana akili? maana ndio wanaongoza wakifuatiwa na somalia na mikoa ya Pwani ya Tanganyika, au kuna kitu unataka kusema ?
Kwamba Buza, Mwananyamala , Chamazi, Msongola wanazaliana kuliko Masaki ,Mbezi BEAch, Kawe BEach na Upanga?
 
Vifaa vya mziki viligunduliwa Africa tangu zamani. Wazungu wamevitengeneza kisasa na kubuni baadhi tu.
Marimba heijawahi kuwa teknolojia ya mzungu. Kwanza hawana mti wa kuundia malimba. Miti yote inayotoa sauti ipo Africa na America kusini. Microfone bora kabisa iligi duliwa na mmarekani mweusi kwa hio waafrika neo wameshiriki ktk utunzaji wa huo mziki.
Lithium battery ya simu ni mkono wa mmoroco.
Mosfet transistor ni ugunduzi wa mzungu na mfarao . Dhana ya Africa kutoshitoki ktk uundaji wa teknolojia ni ya uongo labda ungesema waafrika wanashiriki kwa kiwango kidogo kilinganisha na mataifa makubwa.
Uwe unachinguza mambo kabla hujafanya hitimisho.
Wakati wewe upo JF kuna waafrica wapo lab kufanya innovation.
Ndugu hao yote uliwataja ni ngozi nyeupe lakni. Ni waarabu sio weusi.. ukumbuke hiyo technically ya mweusi hata mtu mweusi Kwa Sasa haitumii anatumia ya mzungu. Ndo atajulikana Duniani..
 
Shida yako wewe mnafiki ni kama ya maccm. Badala ujibu Hoja unabaki kukimbilia issue ya ushoga. Kwani mtoa mada amesema issue ya ushoga hapa.. na huki ni kipimo Cha mtu mwenye akili na ambaye Hana. Na huu ndo ukweli mchungu ambao wafrika wakiambiwa HATUNA akili tunakataa. Hata dangote na utajiri wake wote bado anatumia technologia ya mtu mweupe kujitengenezea pesa. Jibu Hoja yake acha kuingiza vitu ambavyo mtoa mada hajaviongelea
Msaidie kujibu basi.
Wasiokuwa na akili ni watu wa namna gani na wenye akili ni watu wa namna gani?

Kwake yeye/kwenu ninnyi watu wasiokuwa na akili ni watu wanaozaliana sana na wenye akili ni wale wasio zaliana.

Sasa je,kwakuwa moja ya mbinu inayotumiwa na hao mnaowaona kuwa wana akili kutokuzaliana ni pamoja na kujihusisha na ndoa za jinsia moja wakati sisi tusiokuwa na akili kwa 99% tunapinga aina hiyo ya ndoa na kuendelea kuzaliana.

Hapo anayetumia akili yake vizuri ni yupi kwa uelewa wako?
 
Kwani suala ni technology au akili?
Shida yako wewe mnafiki ni kama ya maccm. Badala ujibu Hoja unabaki kukimbilia issue ya ushoga. Kwani mtoa mada amesema issue ya ushoga hapa.. na huki ni kipimo Cha mtu mwenye akili na ambaye Hana. Na huu ndo ukweli mchungu ambao wafrika wakiambiwa HATUNA akili tunakataa. Hata dangote na utajiri wake wote bado anatumia technologia ya mtu mweupe kujitengenezea pesa. Jibu Hoja yake acha kuingiza vitu ambavyo mtoa mada hajaviongelea
 
Back
Top Bottom