Nkaburu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 1,638
- 1,961
Fayi reel walahiJ
😂
Bamewalozi mu familie 📌 🔨🤬
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fayi reel walahiJ
😂
Chawa wa MamaHao wasio na akili unaowazungumzia wewe ni kina nani hasa?
Egyption sio warabu. Wamoroco sio warabu, wasomali sio warabu, wasomali sio warabu.Ndugu hao yote uliwataja ni ngozi nyeupe lakni. Ni waarabu sio weusi.. ukumbuke hiyo technically ya mweusi hata mtu mweusi Kwa Sasa haitumii anatumia ya mzungu. Ndo atajulikana Duniani..
Sawa oia Nigeria wameweza kuliko taifa lolote bara la Africa.Muziki hata Wakongo walitamba sana Afrika enzi zile hadi sasa bado wamo
Wazungu walifanikiwa baada ya kuanzisha tabia ya kulichunguza jambo na kupokea matokeo.Ila hao hao wenye akili,ndo wanaoiangamiza Dunia.
Ila kiuhalisia,kila mtu ana akili nzuri tu mbona.
Sema tunajiendekeza tu.
Kwani zamani kulikuwa na kiberiti!🤔.
Ila watu wetu walikula nyama choma.
Wale walituwahi tu,ila fanya uchunguzoli,ngozi nyeusi Ina Mambo mengi Sana,ila wao hujitweza kuwa juu basi.
Kigezo gani umetumia kusema wenye akili na wasio na akili.Duniani kote watu wenye akili kama Wajapan, Wakorea, Wazungu wa Ulaya na hata Wachina japo wapo wengi ila hawazaliani tena kivile
Watu wasio na akili au wenye akili ndogo ndio wanaongoza kuzaliana kwa fujo , je Dunia itaendelea kupata tena maendeleo na ubunifu iliyokuwa ikipata kama watu wenye akili hawataki kuzaliana!?
View attachment 2845588
View attachment 2844266
Wewe ambaye hazikusumbui una mchango Gani hapa kwetu. Kila kitu unatumia Cha mzungu. Hata simu unatotumia hapa ni ya mzunguLaana zinawasumbua
Hili ndo kosa tunalolifanya. Make tegemezi ndo wengi kuliko wazalishaji. Mfano mzuri hapa tz. Mwa watu 61 ml watoto. Wamama wa nyumban na wazee ni karibia 45 ml. Kwa hiyo wazalishaji ni 15 ml tu Sasa hapo uchumi unakuajeJamaa amechukulia ngozi nyeusi ni ujinga
Ameathirika Imani juu ya ngozi nyeupe.
Kila watu wazaliane Sawasawa na ukubwa wa maeneo yao. Tunahitaji nguvu kazi zaidi na zaidi kuikwamua Afrika
Namimi nilitaka atufahamishe maana ya akili ili tujadili hii hoja tukiwa tunaufahamu wa neno AKILINonesense!, stupid argument. Kwahiyo hao wazungu wa ulaya, wakorea, wajapan na wachina ndio wenye akili pekee hapa duniani?
Akili ni nini?
Kweli waAfrica tulistahili kuwa colonized.
Japo una point.
Tumia akili yako vizuri
Afrika tumegundua Nini?Nonesense!, stupid argument. Kwahiyo hao wazungu wa ulaya, wakorea, wajapan na wachina ndio wenye akili pekee hapa duniani?
Akili ni nini?
Kweli waAfrica tulistahili kuwa colonized.
Japo una point.
Tumia akili yako vizuri
una AKILI mingi sana jamaa!!!,ningekuwa na uwezo ningekupeleka CUBA!!Wazungu walifanikiwa baada ya kuanzisha tabia ya kulichunguza jambo na kupokea matokeo.
Waafrika walielewa kanuni nyingi sana za nature.
Mfano dhana ya kinu na mchi ili waweze kutwanga ina maana walijua jinsi gravity force inavyofanya kazi. Mjinga mjinga asielewa anaweza kufikiri kinu ni jambo rahisi kumbe kanunu za newton zime aply kabla hata Newton haja propose hizo fomula.
Ukija kwenye mziki. Waafrika walielewa sound wave zinavyotokea na kuunda vifaa mbali mbali vya mziki kama ngoma marimba nk.
Tabia yaa kuamini kila ubunifu wa mwafrika ni wa kijinga wakati ubunifu huo huo unakuzwa mataifa mengine.
Mfano kungfu ni utamaduni uliogundiliwa China na una aminika ni ugunduzi mkubwa ila mieleka iliigunduliwa Afrika magharibi haiwezi kuwa jambo la maana.
Nje ya Afrika jamba lina maana ila likifanyika Afrika linakuwa la kawaida na bahati mbaya waafrika wenyew wamekubaliana ku promote mambo ya nje na kudunisha mambo yao hata kama ni makubwa vipi.
wewe unafikiri kwa nini mawe yanapatikana kila sehemu mpaka tunafukuzia mbwa,lakini dhahabu kuipata ni issue!!Duniani kote watu wenye akili kama Wajapan, Wakorea, Wazungu wa Ulaya na hata Wachina japo wapo wengi ila hawazaliani tena kivile
Watu wasio na akili au wenye akili ndogo ndio wanaongoza kuzaliana kwa fujo , je Dunia itaendelea kupata tena maendeleo na ubunifu iliyokuwa ikipata kama watu wenye akili hawataki kuzaliana!?
View attachment 2845588
View attachment 2844266
Uvivu na hatujakutana na hali ngumu ya maisha ambayo utatoa msukumo wa kufanya kazi. Yaani ile mtu unaona nisipopambana hapa na kufa njaa. Utafanya tu kazi.Hili ndo kosa tunalolifanya. Make tegemezi ndo wengi kuliko wazalishaji. Mfano mzuri hapa tz. Mwa watu 61 ml watoto. Wamama wa nyumban na wazee ni karibia 45 ml. Kwa hiyo wazalishaji ni 15 ml tu Sasa hapo uchumi unakuaje