Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100%Unauhakika na hichi unasema?
KGB ilivunjwa tangu 1991 kwa sasa kuna FSBwashabiki wa Ukraine baada ya kutembelea kichapo kwenye uwanja wa vita,Vipi Mbona Media za Magharibi zilimuaminisha Ukraine kuwa akipewa silaha na Askari watamshinda Urusi,Mbona sasa wanaulizana silaha zao zinaishia wapi hawaoni impact.Sasa wewe chawa wa mabeberu ndo unakuja na theories dhaifu za west eti Afya ya Putin imeguswa,story ya Parkinson Disease wanahangaika nayo mwaka wa pili sasa Putin anaendelea kudunda,Mbona huongelei Afya ya Sleepy Biden Rais wa USA ambaye anapoteza kumbukumbu hadharani na kusalimia hewa?kwa taarifa yako,Shirika la Ujasusi la Russia(KGB) liko macho halilali,Marekani na West Europe wanashangaa tu na Putin Majuzi kawapiga Mkwara kwa kuzindua Intercontinental Balistic Missile,I stand with Russia,Go Putin Piga hao mabeberu
Unaona hivyo ni vyombo vya habari? Vipo wapi kwingineko kama siyo kueneza propaganda za Putin?Nahao walofungia RT SPUT NIK nk
Wamefungia ili wawalishe matango pori namnayala kweli
Usilazimishe watu wasikie unachotaka waache watu watafte wanachotaka kukisikiaUnaona hivyo ni vyombo vya habari? Vipo wapi kwingineko kama siyo kueneza propaganda za Putin?
Facebook na Youtube inatumiwa na watu wote duniani, haziendeshi propaganda, hata wewe unawezka unachoona. Iweje jambo hilo liogopwe na serikali ya Urusi ilhali hata wananchi wake wanaweka. Kuna Youtubers wa Urusi wanalalamika kukosa mapatao kwani walikuwa wanategema Youtube ambayo imefungwa.
Hujazukuzia kutazama vyombo hivyo, lakini hawaviruhusu kwenye channel za nchi zao kwa sababu ya vikwazo. Wewe tafuta unayependa propaganda za urusi fungua channel za urusi utazipata tu.Usilazimishe watu wasikie unachotaka waache watu watafte wanachotaka kukisikia
Wangetuachia wenyewe tunajua kipi chakusikia nakuona nakwawakati upi ila walofanya wao upuuzi tuu
Wengine tunapenda kuskiliza propaganda za RT watuache wasitulazimishe na huu ndio uhuru wamaoni mnaouhubiria huko kwenye demokrasia ambao leo mnaikiuka
Hamna hoja
hahahahaaView attachment 2198268Unatumia hii simu unapata wapi ujasiri wa kumkosoa mtoa uzi?
kama wanaeza kumfungia media je huon udogo wa urusi , je unapata wap ujasiri wa kujiaminisha yasiyokuwepoNahao walofungia RT SPUT NIK nk
Wamefungia ili wawalishe matango pori namnayala kweli
Mambo ya kizManiKuna taarifa zimezagaa jiji la Petersburg Urusi kuwa Putin kafariki dunia
Unaripot kutokea wap..Anapolala Putin ni watu wachache sana wanapajua kwa sasa. Chakula chake pia kinaandaliwa mbali sana na ni dakika za mwisho waandaaji wanatajiwa Pa kukipeleka.
Kwamtogole Tandale.Unaripot kutokea wap..
Sasa hayo ni maisha gani? Nilidhani yeye ni haogopi kitu na mbabe kweli kweli,kumbe kwenye uhai kila ndege hukuja mbawa zakeAnapolala Putin ni watu wachache sana wanapajua kwa sasa. Chakula chake pia kinaandaliwa mbali sana na ni dakika za mwisho waandaaji wanatajiwa Pa kukipeleka.