Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
SawaFanyeni masihara ila wanacho fanya mabeberu wa ulaya na America ni bomu linalosubiri kulipika,na ujinga huu ukiendelea tunaweza ingia wwwIII
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaFanyeni masihara ila wanacho fanya mabeberu wa ulaya na America ni bomu linalosubiri kulipika,na ujinga huu ukiendelea tunaweza ingia wwwIII
HahahahaKuna taarifa zimezagaa jiji la Petersburg Urusi kuwa Putin kafariki dunia
hahahahaaa sifungaman na ww ila inabid nicheke tuUtakuta Mtoa Mada Yupo Sigimbi huko Kashika Ki Tecno /Infinix chake Akiandika Ugoro tu
Ukiamka Usisahau Kuanika Hayo Magodoro uliyo Loweka
wanaotaja ndo wanaeza kuwa wahusikaAnapolala Putin ni watu wachache sana wanapajua kwa sasa. Chakula chake pia kinaandaliwa mbali sana na ni dakika za mwisho waandaaji wanatajiwa Pa kukipeleka.
ttzo kubwa lipo.kwenye ufahamu wako hisia zinakuongoza badala.ya uhalisiaYaani wewe ndo bure kabisa,eti zinafika kesho? zote zitaishiwa kuwa destroyed as Russian Legitimate Target.Sasa hizo silaha alizopewa kujikinga ziko wapi mbona kuchezea kichapo ndo kunashika kasi?huko Mariupol Urusi ime-besiege Mji zaidi ya three weeks mbona hizo za kujikinga hazijasaidia? I stand with Putin chapa hao Vibaraka Raisi wa Ukraine kazi kuongea daily bila focus,leo anataka mazungumzo,kesho anaomba silaha, nadhani sasa huyo kibaraka Zelensiky a Comedian ndo anaona reality kuwa vita siyo filamu za hollywood.Go Russia! Putin piga vibaraka
Naona unafurahia Urusi kuivamia Ukraine na kuuwa raia wengi wasio na hatia vile, lakini elewa kuwa mpaka sasa hivi Urusi yenyewe imeshapoteza majenerali 7, makanali zaidi ya 17 (mmoja akiuwawa na askari wake mwenyewe waliokata tamaa), askari zaidi ya 23,000, mateka takriban 600, vifaru zaidi ya 680, Magari ya deraya takriban 2000, ndege za kivita zaidi ya 100 (ikawalazimu wasitumie mashambulizi ya ndege tena kwa vile zilikuwa zinaangushwa sana) na helicopter za kivita zaidi ya 250, na meli kubwa zaidi ya kivita ya Moscow imewalazimu kuhamisha meli zao zote kuzitoa mpakani na kuzipeleka mbali sana ndani ya bahari nyeusi. Hii meli ya Moscow ndiyo ilikuwa inarusha makombora ya masafa marefu ili kupiga ndani ya Ukraine. Ukraine ilipoteza ndege zake nyingi mwanzoni mwa vita ikiwemo na ile ndege ya Mriya kwa sababu ya kuvamiwa zikaharibiwa nyingi zikiwa airport kabla hazijaingia vitani.
Urusi wanafanya uharibifu wa aina ya vita ya kwanza ya dunia siyo vita ya kisasa, na wanauwa raia na kurabibu miundo mbinu zaidi ya kuuwa askari wa upinzani. Baada ya meli ya Moscow kuzamishwa, makambora ya masafa marefu yatakuwa machache, na sasa watapigana vita conventional ndipo uone udhaifu wa jeshi la urusi.
hahahaaaThread 'Je, Umoja wa Ulaya (EU) walitaka kutikisa mbuyu wakajikuta wanatikisa makalio?' Je, Umoja wa Ulaya (EU) walitaka kutikisa mbuyu wakajikuta wanatikisa makalio?
Sasa hiyo matter of time ndio chap?Huyo wanamuondoa chap only matter of time
Kila mtoto na baba yake au?Na utakuta mtoa mada Ni mama mtu mzima mwenye watoto wake watatu.
HahahaDuh hakika Tz iliwahi kua no. 1 kwa upelelezi Duniani.
Sisi team Putin wa kwa Mtogole bado tunaamini West na wanyangalika wenu mumeshikwa lubaya...hamuchomoki na Kyiv tushaiweka kibindoni mwendo mdundo.Wengi uwenda hawato amini na uwenda wengi watafikiri ni uchawi ila jambo zito kutoka ndani ya Russia Federation lita iyacha dunia midomo wazi na vita kusimama.
Habari ambazo sio Rasmi upo uwezekani Kremlin ikapigwa na kitu kizito mpaka sasa ninavyo andika majasusi wa dunia wakiongozwa na Team hatari ya Mossad wapo ktk kazi nzito kuiyacha dunia ktk mtanzinko mkubwa na uwenda kuziacha serikali nyingi za ki imla kujiuliza maswali mara mbilimbili.
Nini hasa chanzo cha Taarifa hii na kwa nini sasa.
Vita Ya Ukraine ni vita ilikuwa ina julikana na idara za usalama za dunia zilijuwa.
Zipo tetesi mpango wao kumuondoa Putin haukufanikiwa japo zipo tetesi wamefanikiwa kumkata makali pamoja na kuigusa afya yake.
Jambo nchi za magharibi wanajuwa ni hakika kwa sasa ni Putin kutumia silaha za hatari za nyuklia kitisho hichi kina siri nzito sana na siri hii niuwenda Putin ameweza kupata top secret juu ya mpango wa nchi za magharibi na kuamua kama mbwai iwe mbwai tu. Nakama unavyo juwa ktk mambo yasiri nyeti kama hizi nilazima mwenye siri hiyo apotezwe au awapoteze.
Kiukweli kitisho cha nyukilia kina fanya mataifa kama marekani na washirika wake kutokulala nakutafuta mbinu zaku silence mission za Putin.
Mbaya kuliko yote nchi za magharibi wameamua kutumia intelligence yao kuhakikisha wana mpata mtu mmoja kuliko vita.
Hali kwa sasa ni ya hatari kwa maeneo yote ya magharibi midege yao wanaita Beast Hunters ipo tayari kwa plan B . If pla A ita faile hakuna njia ila kumuondoa Putin ktk kiti but silence mission with conspiracy. Hii ni mission ngumu hasa ukizingatia ndani ya Kremlin wanajuwa hili litatokea. Japo hawajuwi litatokeaje. Maana hizi taasisi za kijasusi wanazidiana maujanja na mpaka sasa uwenda jamaa wamesha muweka kwenye target zao.
IHuenda wewe unasoma taarifa serikali ya urusi ambako wamezuia hata facebook na Youtube isifanye kazi kusudi watu wasipate ukweli. Kwa hali hiyo unasema hao majenerali wote hawakuuwawa, hivyo vifaru vinavyongua mitaani siyo vya urusi na hata hiyo meli iliyozama haikupigwa na Ukraine bali iliungua yenyewe tu lakini kwa usalama wa meli nyingine zisije kuungua peka yake ikabidi wazihamishie mbali na Ukraine.Western Media Zinakupoteza, Naona data zako unatoa The Kyiev Independent ! Unategemea wakwambie nini kingine zaidi ya hizo propaganda za upande mmoja ?
Kama Ukraine anachezea na jeshi lake lina retreat, unaweza vipi ku confirm hzo data ilihali miji mingi anazidi kuikalia Urusi, ao wakusanya data wamefika saa ngap kwnye territory aliokalia adui wakaconfirm hzo data kwa kuona hizo machines na fallen bodies ?
Western Medias are brainwashing you
Mkuu unamzungumzia PUTIN au PUNYETO
Mtu upo popobawa manzese unazungumzia top secret za dunia kweli mkuu?
Unayajua ya hapa nchini yanayoendelea kati ya yule askofu na kind lake la push gang?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wameteuliwa kuchinja na kuuwa watu walio wapokea Kama wakimbizi,....waliamrishwa na mungu kuvamia taifa la watu na kuuwa Kila kitu na kuiita nchi ya ahadi.....story Kama hiz hata wangoni watajiita taifa teule from South Africa to songea and kantalamba,.....ko wao mungu kawateuwa kuwa Bora af mm na wew Ni pusy tuWaisraeli ni taifa teule kwani uongo?
Yaweza kuwa ni baba zee zima na wajukuu lukuki mkuuNa utakuta mtoa mada Ni mama mtu mzima mwenye watoto wake watatu.
Sio hao wauwaji unao wajua wewe mkuuWaisraeli ni taifa teule kwani uongo?
Unauhakika na hichi unasema?Sasa kama siri hii umeijua wewe chinga sasa anashundwaje Putin kujua? Alafu usipate shida sana Israel hawataki kujiingiza kwenye huu mgogoro sema mnamforce ajiingize tu ila hataki ata kdg.
Usitishe watu hii vita ni kati ya Russia na U.S (Ukraine)
Sent using Jamii Forums mobile app