Dunia nzima yamtakia kheri ya siku ya kuzaliwa Freeman Mbowe

Dunia nzima yamtakia kheri ya siku ya kuzaliwa Freeman Mbowe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hata mimi nimeona ni vema nikaungana na Dunia yote kumtakia heri hiyo Mtu huyu, tunu ya Taifa na Mwamba wa siasa za kisasa barani Afrika.

Tajiri/Bilionea aliyeamua kutumia Utajiri wake wa halali kupigania haki za Masikini wa Tanzania waliopachikwa Jina la kudhalilisha la Wanyonge na Watawala.

Tofauti na Matajiri wengi wa Tanzania walioupata Utajiri kwenye siasa, yeye alipata Utajiri wake Nje ya Siasa lakini ameamua kuutumia kukomboa wananchi walioporwa kila kitu na wenye madaraka.

Screenshot_2024-09-14-14-30-31-1.png
 
Hbdy Mbowe mezaliwa meanza sikia jina lako till today bado uko kwenye siasa ww ni mfano wa kuigwa na vijana wengi sana umewapa platiform vijana wengi sana wengine wakaja kukusaliti kwa sababu ya njaa ndo siasa ilivyo ila uliwasemehe na mambo yakaendelea kama kawaida ukistaaafu utupe kitabu ya maisha yako from childhood to retirement.
 
Hata mimi nimeona ni vema nikaungana na Dunia yote kumtakia heri hiyo Mtu huyu, Tunu ya Taifa na Mwamba wa siasa za kisasa barani Afrika.

Tajiri/Bilionea aliyeamua kutumia Utajiri wake wa Halali kupigania haki za Masikini wa Tanzania waliopachikwa Jina la kudhalilisha la Wanyonge na Watawala.

Tofauti na Matajiri wengi wa Tanzania walioupata Utajiri kwenye siasa, Yeye alipata Utajiri wake Nje ya Siasa lakini ameamua kuutumia kukomboa wananchi walioporwa kila kitu na wenye madaraka.

View attachment 3095656
Lucus msambwanda wa mbowe huyu
 
Hata mimi nimeona ni vema nikaungana na Dunia yote kumtakia heri hiyo Mtu huyu, Tunu ya Taifa na Mwamba wa siasa za kisasa barani Afrika.

Tajiri/Bilionea aliyeamua kutumia Utajiri wake wa Halali kupigania haki za Masikini wa Tanzania waliopachikwa Jina la kudhalilisha la Wanyonge na Watawala.

Tofauti na Matajiri wengi wa Tanzania walioupata Utajiri kwenye siasa, Yeye alipata Utajiri wake Nje ya Siasa lakini ameamua kuutumia kukomboa wananchi walioporwa kila kitu na wenye madaraka.

View attachment 3095656
Nchimbi kaondoa maji yote kwenye bwawa- kambale wamehamia kwenye birth day
 
Back
Top Bottom