Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Happy birthday MboweHata mimi nimeona ni vema nikaungana na Dunia yote kumtakia heri hiyo Mtu huyu, Tunu ya Taifa na Mwamba wa siasa za kisasa barani Afrika.
Tajiri/Bilionea aliyeamua kutumia Utajiri wake wa Halali kupigania haki za Masikini wa Tanzania waliopachikwa Jina la kudhalilisha la Wanyonge na Watawala.
Tofauti na Matajiri wengi wa Tanzania walioupata Utajiri kwenye siasa, Yeye alipata Utajiri wake Nje ya Siasa lakini ameamua kuutumia kukomboa wananchi walioporwa kila kitu na wenye madaraka.
View attachment 3095656
sasa huyu naye nani anafanyaga nini ili iweje i hate you??Hata mimi nimeona ni vema nikaungana na Dunia yote kumtakia heri hiyo Mtu huyu, Tunu ya Taifa na Mwamba wa siasa za kisasa barani Afrika.
Tajiri/Bilionea aliyeamua kutumia Utajiri wake wa Halali kupigania haki za Masikini wa Tanzania waliopachikwa Jina la kudhalilisha la Wanyonge na Watawala.
Tofauti na Matajiri wengi wa Tanzania walioupata Utajiri kwenye siasa, Yeye alipata Utajiri wake Nje ya Siasa lakini ameamua kuutumia kukomboa wananchi walioporwa kila kitu na wenye madaraka.
View attachment 3095656
Usilolijua utakesha ukihisi watuMatusi, Uchawi na Utekaji ndio nguzo ya ccm
Chawa pro max wa MboweErythrocyte hivi unakuwaje chadema chama ambayo inanuksi hawashindi hata kwa dakika wai mie nimeagaga huko wakati lowasa kakosa urais nilichoka na presha
Acha uchawa dogo janja utakuja acha marinda rehaniMatusi, Uchawi na Utekaji ndio nguzo ya ccm
Huku chawa wa mama kule chawa wa mbowe anzisheni ligi yenu ya machawaChawa pro max wa Mbowe
Chawa Mkuu unasemaje?Huku chawa wa mama kule chawa wa mbowe anzisheni ligi yenu ya machawa
Mimi Sasa chawa wa Nan?Chawa Mkuu unasemaje?
Freeman hakuzaliwa siku ya Uhuru wa Tanganyika kweli?Hata mimi nimeona ni vema nikaungana na Dunia yote kumtakia heri hiyo Mtu huyu, tunu ya Taifa na Mwamba wa siasa za kisasa barani Afrika.
Tajiri/Bilionea aliyeamua kutumia Utajiri wake wa halali kupigania haki za Masikini wa Tanzania waliopachikwa Jina la kudhalilisha la Wanyonge na Watawala.
Tofauti na Matajiri wengi wa Tanzania walioupata Utajiri kwenye siasa, yeye alipata Utajiri wake Nje ya Siasa lakini ameamua kuutumia kukomboa wananchi walioporwa kila kitu na wenye madaraka.
View attachment 3095656
Mbowe ubarikiwe na udumu zaidi CHADEMA kwani tunakuhitaji zaidi leo kuliko jana!Hata mimi nimeona ni vema nikaungana na Dunia yote kumtakia heri hiyo Mtu huyu, tunu ya Taifa na Mwamba wa siasa za kisasa barani Afrika.
Tajiri/Bilionea aliyeamua kutumia Utajiri wake wa halali kupigania haki za Masikini wa Tanzania waliopachikwa Jina la kudhalilisha la Wanyonge na Watawala.
Tofauti na Matajiri wengi wa Tanzania walioupata Utajiri kwenye siasa, yeye alipata Utajiri wake Nje ya Siasa lakini ameamua kuutumia kukomboa wananchi walioporwa kila kitu na wenye madaraka.
View attachment 3095656
Kazaliwa mwaka 1961Happy birthday mheshimiwa
Miaka ngapi now, make kikokoto kinaficha umri....
Happy birthday mtu mwenye fikra huruMnajidanganya Sana
Nimetukanwa matusi mazito kuliko haya, Endeleeni kunitukana tuone mwisho wenu utakuajeAcha uchawa dogo janja utakuja acha marinda rehani
DelusionsHata mimi nimeona ni vema nikaungana na Dunia yote kumtakia heri hiyo Mtu huyu, tunu ya Taifa na Mwamba wa siasa za kisasa barani Afrika.
Tajiri/Bilionea aliyeamua kutumia Utajiri wake wa halali kupigania haki za Masikini wa Tanzania waliopachikwa Jina la kudhalilisha la Wanyonge na Watawala.
Tofauti na Matajiri wengi wa Tanzania walioupata Utajiri kwenye siasa, yeye alipata Utajiri wake Nje ya Siasa lakini ameamua kuutumia kukomboa wananchi walioporwa kila kitu na wenye madaraka.
View attachment 3095656
Hata mimi nimeona ni vema nikaungana na Dunia yote kumtakia heri hiyo Mtu huyu, tunu ya Taifa na Mwamba wa siasa za kisasa barani Afrika.
Tajiri/Bilionea aliyeamua kutumia Utajiri wake wa halali kupigania haki za Masikini wa Tanzania waliopachikwa Jina la kudhalilisha la Wanyonge na Watawala.
Tofauti na Matajiri wengi wa Tanzania walioupata Utajiri kwenye siasa, yeye alipata Utajiri wake Nje ya Siasa lakini ameamua kuutumia kukomboa wananchi walioporwa kila kitu na wenye madaraka.
View attachment 3095656